Elimu yetu Tanzania: Mbona International Schools hazina 'Holiday Package' kama shule nyingine?

Elimu yetu Tanzania: Mbona International Schools hazina 'Holiday Package' kama shule nyingine?

Watoto wanakuwa wana fatigue. Holiday ni wakati wa watoto ku bond na wazazi na watoto kupumzika. Holiday package is a scam. The government needs to intervene kwa ajili ya afya ya watoto. Swala la malezi ya watoto ni jukumu la mzazi na siyo shule. Shule jukumu lao ni wakati wakiwa shule.
 
Hii dunia ni ya kibepari. Kiwango chako Cha uchumi ndiyo kinakusukuma ukale stendi, gesti, lodge, motel, ama hoterini? Na hoteli pia zina jadhi tofauti...nyota 0,1,2,3,4, na ,5.

Ukiwa hotel ya nyota 5 utauziwa soda kwa elfu 5 au zaidi wakati kwenye kiduka Cha mangi inauzwa 500.

Hata ktk elimu ni hivyo hivyo. Moeleke mwanao pahala unapotaka wewe. Hulazimishwi na ustake usawa ktk dunaia ya leo ya ubepari.
 
Hayo madubwasha Yana DUMAZA UBONGO WA WATOTO ila tukisema tutapingwa na wazazi wasio elewa
Sio kupingwa shule Ni soko huria mpeleke huyo wako huko kusiko Ni mi school package waachie wazazi wengine wapeleke huko kwenye mi school package simple.Au mpeleke shule za serikali huwa hawana Cha school package wala homework wakiambiwa Julia tawanyika shule imeishia shuleni.Mpeleke shule za serikali hatapewa homework Wala school package awe primary au secondary .Wakifunga shule wamefunga vitabu na maraftari aweza viacha huko huko shule akarudi likizo mikono mitupu ai enjoy maisha na wewe mzazi wake
 
Sio kupingwa shule Ni soko huria mpeleke huyo wako huko kusiko Ni mi school package waachie wazazi wengine wapeleke huko kwenye mi school package simple.Au mpeleke shule za serikali huwa hawana Cha school package wala homework wakiambiwa Julia tawanyika shule imeishia shuleni.Mpeleke shule za serikali hatapewa homework Wala school package awe primary au secondary .Wakifunga shule wamefunga vitabu na maraftari aweza viacha huko huko shule akarudi likizo mikono mitupu ai enjoy maisha na wewe mzazi wake
SI kwa kunishukia huku Yehodaya
 
Shule zinakaribia kufungwa. Hii maana yake ni nini? Maana yake walimu wamefanya kazi wakamaliza syllabus wamefunzidha vizuri. Wanafunzi mwamesoma vizuri na wamesimamiwa vizuri.

Sasa wanaenda kupumzika kwa mwezi mzima. Ratiba ya shule imeisha inaanza ratiba nyingine ya nyumbani. Mtoto anahitaji kupumzisha akili. Mtoto anahitaji ku socialize na ndugu, majirani marafiki na wanafunzi wenzake toka nchi mbalimbali.

Kama anawea huu ni muda wa kwenda kuanglia tembo anafananaje kule Serengeti.

Kimsingi ratiba ya shule imeisha kwani ratiba ya mwalimu ni vipindi vyake vya darasani. MWalimu mzembe au shule yenye wazembe ndizo hupenda sana kupelekea mambo ya shuleni nyumbani.

Mojawapo ni hili kwamba sasa shule zinafungwa, badala ya mwanafunzi kupumzika wanamrundikia rundo la homework za likizo wanaziita "Holiday Package" na bila aibu zimefikia kiwango cha kutangawzwa mitandaoni.

TUmeuendekeza hadi umekuwa sehemu ya maisha.

Shule za Kimataifa, International Schools hazifanyi jambo hilo, wao wanahakikisha kila kitu mwalimu umemaliza ndani ya dakika 80 za kipindi chako. Shule hizi hukuti hata siku moja mtoto anapewa "Holiday Package" aifany wakati wa likizo, mwalimu wa namna hiyo akifanya anafukuzwa kazi.

Kumbe, hili "Holiday Package hazitakiwi bali ni uzembe tunaoundekeza kwa kushindwa kukagua yanayoendelea mashuleni.

Kinachosababisha ni kwamba baadhi ya wamiliki wa shule wanadhani kuwekeza kuwapata walimu wazuri ni gharama. Mwanzoni hawaajiri walimu wa somo fulani, ikiaribia ndipo wanaajiri. Au kama wamemuajiri utakuta walimu hawalipwi mishahara kwa wakati na wakati mwingine hawalipwi kabisa.

Mwalimu wa namna hiyo lazima ataandaa "Holiday Package" kwa wanafunzi wake, kwa sababu ya uzembe huo ambao hauwezekani kwenye international schools.

shule ziache uzembe, tuhimize kufutwa hizi "Holiday Package" ibaki kwa wale tu wanaozipenda.
International school bongo ni chache nyingi ya hizo ni English Medium school.
 
Hayo madubwasha Yana DUMAZA UBONGO WA WATOTO ila tukisema tutapingwa na wazazi wasio elewa
Yanadumaza kweli akili ndio maana wahindi huenda na watoto wao kwenye business sisi tuko busy kuwarundikia wanetu mi homework kibao wanasahau hata haki za msingi za mtoto kucheza, pia wazazi wanapenda kusikia watoto wakiongea kingereza huku walimaliza shule hawajui mambo mengine ya kijamii Matokeo Yao wanakuwa tu mzigo
 
Kaka,
Hivi umeshakaa na walimu wa sasa hivi? Hawana vitabu kama Abbot, Backhouse uliyosoma, wana rundo la maswali ya past papers wanaita QUESTION BANKING.

Concept hawajui kabisa ndiyo maana failures ni wengi licha ya wingi wa hizi frustrating Home Package.

Kikubwa hawaingii darasani kwa sababu wamiliki hawawapi salary kwa wakati, au hawawapi kabisa.

Sasa watoto sikuhizi wanakila kitu na wanakula mzinga wa kufeli
 
Shule zinakaribia kufungwa. Hii maana yake ni nini? Maana yake walimu wamefanya kazi wakamaliza syllabus wamefunzidha vizuri. Wanafunzi mwamesoma vizuri na wamesimamiwa vizuri.

Sasa wanaenda kupumzika kwa mwezi mzima. Ratiba ya shule imeisha inaanza ratiba nyingine ya nyumbani. Mtoto anahitaji kupumzisha akili. Mtoto anahitaji ku socialize na ndugu, majirani marafiki na wanafunzi wenzake toka nchi mbalimbali.

Kama anawea huu ni muda wa kwenda kuanglia tembo anafananaje kule Serengeti.

Kimsingi ratiba ya shule imeisha kwani ratiba ya mwalimu ni vipindi vyake vya darasani. MWalimu mzembe au shule yenye wazembe ndizo hupenda sana kupelekea mambo ya shuleni nyumbani.

Mojawapo ni hili kwamba sasa shule zinafungwa, badala ya mwanafunzi kupumzika wanamrundikia rundo la homework za likizo wanaziita "Holiday Package" na bila aibu zimefikia kiwango cha kutangawzwa mitandaoni.

TUmeuendekeza hadi umekuwa sehemu ya maisha.

Shule za Kimataifa, International Schools hazifanyi jambo hilo, wao wanahakikisha kila kitu mwalimu umemaliza ndani ya dakika 80 za kipindi chako. Shule hizi hukuti hata siku moja mtoto anapewa "Holiday Package" aifany wakati wa likizo, mwalimu wa namna hiyo akifanya anafukuzwa kazi.

Kumbe, hili "Holiday Package hazitakiwi bali ni uzembe tunaoundekeza kwa kushindwa kukagua yanayoendelea mashuleni.

Kinachosababisha ni kwamba baadhi ya wamiliki wa shule wanadhani kuwekeza kuwapata walimu wazuri ni gharama. Mwanzoni hawaajiri walimu wa somo fulani, ikiaribia ndipo wanaajiri. Au kama wamemuajiri utakuta walimu hawalipwi mishahara kwa wakati na wakati mwingine hawalipwi kabisa.

Mwalimu wa namna hiyo lazima ataandaa "Holiday Package" kwa wanafunzi wake, kwa sababu ya uzembe huo ambao hauwezekani kwenye international schools.

shule ziache uzembe, tuhimize kufutwa hizi "Holiday Package" ibaki kwa wale tu wanaozipenda.
Mimi mwanangu hafanyi huo upuuzi yaani kama ni weekend anapumzika anajumuika kwenye social skills zaidi na kuparticipating kwenye social work kwa vitendo mtoto ndo kwanza miaka 4 eti mavitabu kwenye bag 10..hapana hapana.

Alafu walimu wa bongo wa English medium ni full kukaririsha watoto na sio kukuza capacity thinking ya watoto wetu..ni shida .
 
Kaka,
Hivi umeshakaa na walimu wa sasa hivi? Hawana vitabu kama Abbot, Backhouse uliyosoma, wana rundo la maswali ya past papers wanaita QUESTION BANKING.

Concept hawajui kabisa ndiyo maana failures ni wengi licha ya wingi wa hizi frustrating Home Package.

Kikubwa hawaingii darasani kwa sababu wamiliki hawawapi salary kwa wakati, au hawawapi kabisa.
Walimu wa Sasa hamna kitu hasa Hawa wa English medium wanaajiriwa Kwa vile wanajua kingereza ila hawajasoma ualimu na wengi ni kutoka Uganda, Kenya, Hadi Malawi na wengi hawajui skills za ufundishaji na shule nyingi zina focus kufundisha past papers Ili watoto wafaulu tu kwa wingi shule ipate wanafunzi wengi ila vichwani hamna kitu kabisa, walimu wa Sasa na zamani ni tofauti ingawa wazazi wanatoa ada kubwa huko private
 
Sasa watoto sikuhizi wanakila kitu na wanakula mzinga wa kufeli
Kuna upumbavu mwingine eti la saba na la nne lazima wakae boarding kwa ajili ya mitiani, inashangaza sana, wakati mitihani yenyewe karibu watoto wote wanafaulu na hakuna mzazi anayepeleka mtoto wake shule ya kata aliyetoka English medium primary school.

Ni ujinga mtupu na utapeli utapeli tu bin chupli chupli.
 
Kuna upumbavu mwingine eti la saba na la nne lazima wakae boarding kwa ajili ya mitiani, inashangaza sana, wakati mitihani yenyewe karibu watoto wote wanafaulu na hakuna mzazi anayepeleka mtoto wake shule ya kata aliyetoka English medium primary school.

Ni ujinga mtupu na utapeli utapeli tu bin chupli chupli.
Hyo ya kukaa boarding Ili wapige hela za wazazi wajinga sikuhizi watoto wote wanafaulu kwenda form one bila kukaa boarding. Sema design na wizara ya elimu watendaji wamelala maana Kuna madudu mengi ada tu ya private msingi ni kubwa kuliko bachelor halafu walimu wao ni wahuni na unqualified pia mtoto akiwa slow learner wanamfukuza eti atashusha wastani wa shule why focusing kwenye ufaulu zaidi
 
Natamani shule za Ufundi kama mfano VETA zingekua na course fupi fupi hasa za kipindi cha likizo, ambapo mwanafunzi akirudi likizo, anapata muda wa kujiunga kule kwenye ufundi kama kushina nguo, magari, marekebisbo ya mitambo, uhunzi, ufundi mitambo, umeme nk..hata kama ni zile bazics tu..ili mwanafunzi akimaliza darasa lasaba/form 4 nk awe angalau na ujuzi mqingine
 
Mkuu maisha hayana holiday...kila aliefanikiwa hamalizi kazi zake zote ofisini.japo unaona kama hawana...ukichunguza wana (projects and assignments)....
Usizoeshe wanao kuwa kuna muda ambao mambo yote muhimu yanawekwa pose ili ale bata kwanza.....
Nina uhakika kuwa mtoto wako hasomi international school.

Shule unazolinganisha hazifanani,kwenye ufundishaji,mtaala,hadhi,sinyllabus na hata malengo ya elimu na kadhalika.kwa mfano kuna CBC ya English medium, CBC ya kiswahili,British Carriculum na Cambridge.....

Sasa wewe na Mimi watoto wetu wanasoma CBC ya kayumba alafu unataka waende na curriculum ambayo hata haitambui mitihani kama assessment ya uwezo wa mtoto.
Usikariri.

Mwalimu mkuu hapa.
Mwl are you serious??!!watoto wadogo akili inahitaji relaxation bwanaa....kusoma from January to December not fair na mnakomoa mpk walimu mfano June holiday walimu wengi wenye likizo hapo wanashindwa kwenda mnawalazimisha wafundishe kiukweli inachosha,inakera na kuudhi hamjui tuu....!!!
Back to students mnacomplicate wanafunzi washindwe kupumzika...km mwalimu makini akiutumia vzr mda wake ndani ya timetable ya mwaka anamaliza syllabus yote hapa nazungumzia Basic Maths yenye topics nyingi zaidi nafikir ktk masomo yoote...!!!

Serikali sio wajinga kuweka likizo ,na inasaidia pia mwl kupumzika na mwanafunzi kujipanga upya na kujifunza kwa wenziwe..shule za siku hizi mtoto anafika saa kumi na mbili asubuhi anatoka kumi na mbili jioni..akirudi hoii bin taaban

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Mkuu maisha hayana holiday...kila aliefanikiwa hamalizi kazi zake zote ofisini.japo unaona kama hawana...ukichunguza wana (projects and assignments)....
Usizoeshe wanao kuwa kuna muda ambao mambo yote muhimu yanawekwa pose ili ale bata kwanza.....
Nina uhakika kuwa mtoto wako hasomi international school.

Shule unazolinganisha hazifanani,kwenye ufundishaji,mtaala,hadhi,sinyllabus na hata malengo ya elimu na kadhalika.kwa mfano kuna CBC ya English medium, CBC ya kiswahili,British Carriculum na Cambridge.....

Sasa wewe na Mimi watoto wetu wanasoma CBC ya kayumba alafu unataka waende na curriculum ambayo hata haitambui mitihani kama assessment ya uwezo wa mtoto.
Usikariri.

Mwalimu mkuu hapa.

Maisha kweli yako tofauti sana.
Walioendelea wanamasaa ya kazi, huwezi mtafuta usiku ukaanza kueleza habari za kazi wala weekend ni nafasi ya kupumzika,kupata muda wa kua na familia pia kujiendeleza na mambo binafsi mfano kujifunza kuogelea, kwenda mbuga za wanyama n.k

Likizo ni muda wa mtoto kujifunza kitu tofauti na shule,kujifunza vitu kama computer,lugha za kimataifa,maisha ya uhalisia,kujifunza ujuzi wa ziada kutegemea na mtoto anapenda nini. Na hii ndio njia ya kumfanya mtoto akikua awe na kujiamini na maamuzi binafsi.
Una duka likizo kaa na mtoto mfunze biashara ndio muda wake, akikua anaelewa teyari kuliko kumsubiri akue unamkabidhi duka haelewi na anakua muoga wa kuendeleza biashara
 
Mwalimu mkuu,
Japokuwa response yako ina tone ya kejeli khna sehemu nitaziongelea.

Kwanza sijajizungumzia hivyo wanangu wanasoma wapi, hivyo siyo hoja humu.

Ila umeongelea curriculum nalo halikuwa jambo langu. Nilichoongelea ni uzembe wenu walimu kumaliza syllabus tena hiyohiyo ya Wizara.

Mmeweka vipindi hadi vinaitwa REMEDIAL lakini bado hamalizi syllabus.

Kama umemaliza syllabus una haja gani ya Holiday Package.

Umesema hata maofisini ni hivyohivyo, nakukubalia, ila bado ni uzembe vilevile.

Ukiwa kazini piga kazi maliza katika muda wako, zaidi ya hapo ni uvivu tu.

Ni kweli baadhi ya curricullum hazimpimi mtu kwa rundo la mitihani, nyinyi mnaita Question Bank. Hawa walisha research wakaona it was useless and they benefit and they are ruling the world.

Hivyo walimu pigeni kazi wakati wa vipindi vyenu vya darasani. Walipeni walimu mshahara wasihamehame.

Mathematics form 1 ina vipindi 231, sasa utavimalizaje kwa mwaka ukiendekeza uvivu.

Fuateni ratiba, full stop.
Exactly uwezekano wa kumaliza topics upoo...kama mwl atatumia 80mins zake vzr kabisaa....mbona wapo wanamaliza bila hizo za kwenda likizo!!!kujituma tuu...!!mi sikubaliani na haya mateso ya wanafunzi jamani
Kingine wazazi siku hizi wanakimbia majukumu yao wamewaachia walimu na wadada wa kazi hapo ndo shida ilipo hapo...

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Imefikia wakati watoto mpaka jumamosi hawapumziki wanalazimishwa kwenda shule. Nini maana ya kupumzika sasa!?
 
I think wanangu watasoma kwa Raha sitataka ma too much homework enzi tukiwa tunasoma hapakuwaga na holiday package wala too much homework sikuhizi Hadi chekechea wanapewa homework inasikitisha sana
Sana mtoto ana miaka 3 au 3 anapewa homework du hatar sana
 
Back
Top Bottom