Eliud Kipchoge avunja rekodi yake mwenyewe na kuwa mwanariadha wa kwanza kukimbia KM 42 kwa chini ya saa 2

Thank God. Congrats Eliud. You make us proud to be Kenyans.
 
Kutoka Dar mpaka Mlandizi ni km 55.

Get your facts right.
 
Kutoka Dar mpaka Mlandizi ni km 55.

Get your facts right.

Short of a paltry 12km, pia kumbuka nimetumia neno 'ni kama', ni vile sikuweza kukumbuka wapi panafahamika Tz na pana umbali wa kilomita 42km exactly.
 
Taarifa ya mbio za marathon kule Vienna zimetangazwa takriban kwa wiki sasa. Mashindano haya walitaka mkimbiaji yeyote avunje rekodi kwa kukimbia kilomita 42 kwa muda usiozidi masaa mawili juu ya alama. Iliwabidi watayarishaji wamkodie ndege mkimbiaji aliyewahi kukimbia umbali huo wa 42 kwa muda wa 2:02:1 ambaye anaitwa Ndugu Eliud Kipchoge wa Kenya kama kweli anaweza kuvunja rekodi hiyo ili jina lake liweze kuingia katika vitabu vya Guinnes. Leo katika kuithibitishia ulimwengu amevunja rekodi hiyo kwa kukimbia kilomita 42 kwa muda wa 1:40:2 na hivyo kufanya jina lake kuingia katika vitabu vya guinnes. Hili ni funzo kwetu kama Watanzania. Tuwekeze kwa akina Simbu ili majina yao yaje yatambuliwe dunia nzima kama ilivyo Eliud Kipchoge.
 
Jamaa noma sana na miaka yake 34. nimeikosa hiyo kitu live, nilchanganya nikajua ni kesho
Kumbe tayari imeisha
 
Hili jukwaa halihusiani na mambo ya siasa bhana, peleka kwenye majukwaa ya siasa huko
 
CONGRATULATIONS TO ELIUD KIPCHOGE CLOCKED @ 1:59:40
 
Tetesi za dawa pia zikianza usiache kutuarifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…