Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 6,607
- 14,076
๐๐๐๐๐Mimi mbona kitambo naweza , yaani naenda mabio hatar tatzo connection
Nyumbani kwenu watatangaza msiba! Nakushauri usijaribu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐Mimi mbona kitambo naweza , yaani naenda mabio hatar tatzo connection
Well said Bro.Hatari sana No Human is Limited
Kutoka Dar mpaka Mlandizi ni km 55.Ni ngumu kumeza hii, huyu Mkenya anataka kufanya kitu ambacho hakiingii akilini, sijui nini anawaza muda huu, neno 'badass' litapata maana na tafsiri mpya leo.
Mbio zenyewe ataanza 09:15am
Kwa watani wetu wa Kusini, ili kuwapa picha ya umbali anaokimbia chini ya masaa mawili, ni kama kutoka Dar hadi Mlandizi, kwa ndugu zangu hapa Kenya hiyo ni kama kutoka Nairobi hadi Lari.
TV nyingi duniani zitapeperusha moja kwa moja mubashara, hata zetu hapa Kenya naona zimeweka live, anajadiliwa kitaani nyumba kwa nyumba. muhimu sana maana inawapa hamasa vijana wengi kwamba linawezekana na itawezekana.
Pia kampuni ya Youtube inapeperusha mubashara
Mhh! Yaani hili tukio litaangaliwa zaidi kuliko hayo mengineVipi na yule mkenya aliyeolewa south hawataonesha live akitinduliwa marinda?
Wazungu hawakawiiiTetesi za dawa pia zikianza usiache kutuarifu