Eliud Kipchoge avunja rekodi yake mwenyewe na kuwa mwanariadha wa kwanza kukimbia KM 42 kwa chini ya saa 2

Kenya wametuzidi. Kipindi kile Kenya vs Tanzania mpira ulikuwa unaoneshwa KBC lakini hapa TZ, hola. TBC na zingine wapo busy na mambo yao. KBC imerusha live hili tukio toka Viena ingekuwa bongo sidhani kama ingeoneshwa live. Sasa hivi Safari Tanzania imekuwa ya kisiasa, inatangaza mambo ya kupiga kura, sijui ukajiandikishe. Ila tukio lilonishangaza sana Kenya ni lile la Odinga kuapishwa kama raisi halafu polisi wanalinda usalama wa raia mpaka zoezi likaisha kwa amani na mwisho wa siku Kenyata na Odinga wanakutana ikulu kuzungumza. Ingekuwa bongo, huyo Odinga sijui angekuwa wapi leo maana angeshitakiwa kwa kesi ya uhaini. Kenya wanajitambua
Hongereni Kenya
1:59:40
 
Kwani unataka aitwe mtanzania? Wewe bwiji sana
 
Hiyo ndiyo kenya bwana, ingekuwa tanzania wangesema kakimbia kuunga mkono juhudi
 

Prophets of doom washapewa aibu. Kabla ya leo ungefaa kujua kwamba alibakisha tu sekunde 26 kutimiza hii ndoto, rekodi ambayo pia aliweka yeye mwenyewe. Chuki ni kitu mbaya sana
 
Ni 1:59:20
Kuwa mwangalifu na takwimu.
 
Kumbe ataandika historia na sio kuvunja rekodi....na hii ni kwasababu anakimbia mwenyewe na pia uwepo wa pacemakers ambao wanaingia na kutoka. Ila all in all inatuweka vizuri wanaafrika mashariki kwenye uso wa dunia hususan kwenye michezo.
Niambie ni rekodi gani ilishawekwa yenye anavunja leo na uliwekwa na nani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseee dahh ni sheedah mazeee...jamaa anatupiga promo ya hatareeeee, ila dah kwa wenzetu naona safari tv inawaonesha wahdzabe wakikula kobee!![emoji16][emoji196]
 
hongeraaa Eliud Kipchoge kwa mbio hizooo, well done

...sie twawaza kimbizana viunoniniii tuuuu...adi kwenu tushafikaaa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…