Wood Stone
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 647
- 1,012
Kenya wametuzidi. Kipindi kile Kenya vs Tanzania mpira ulikuwa unaoneshwa KBC lakini hapa TZ, hola. TBC na zingine wapo busy na mambo yao. KBC imerusha live hili tukio toka Viena ingekuwa bongo sidhani kama ingeoneshwa live. Sasa hivi Safari Tanzania imekuwa ya kisiasa, inatangaza mambo ya kupiga kura, sijui ukajiandikishe. Ila tukio lilonishangaza sana Kenya ni lile la Odinga kuapishwa kama raisi halafu polisi wanalinda usalama wa raia mpaka zoezi likaisha kwa amani na mwisho wa siku Kenyata na Odinga wanakutana ikulu kuzungumza. Ingekuwa bongo, huyo Odinga sijui angekuwa wapi leo maana angeshitakiwa kwa kesi ya uhaini. Kenya wanajitambua
Hongereni Kenya
1:59:40
Hongereni Kenya
1:59:40