Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
In effect walimbeba, kwa kuzuia upepo usimpige.Kwn walimbeba...
Kwhyo unapinga hakukimbia mwenyewe
Ndiyo maana hakuna chama cha mbio cha kimataifa kinachoitambua hii mbio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
In effect walimbeba, kwa kuzuia upepo usimpige.Kwn walimbeba...
Kwhyo unapinga hakukimbia mwenyewe
This is not a marathon record.
Soma articles za CNN na The New Yorker nimeweka links hapo juu.
Hizi mbio hazitambuliwi kwa sababu ameweka watu wa kumsaidia asipigwe upepo.
It is not a natural marathon.
Tayari ashavunja record. Wewe nyamaza tu maana huna unachosema hapa. Unakera watu bure.Eliud kama hana haja ya kuweka record kwa nini anakimbia?
Unataka kusema Eliud hataki kuvunja record ya sub 2 hours bila kusaidiwa na watu wanaozuia upepo usimpige?
Uzi huu si wangu, ni wa Kipchoge.
Mimi si mwanariadha, sasa utanipaje challenge ya wanariadha?
Hii si rekodi ya marathon.
Kakimbia kwa kusaidiwa na watu waliozuia upepo usimpige.
Eliud Kipchoge is a great runner, he has a wirld record and all.
Lakini hapa kaanzisha mchezo mpya, hizi si mbio za marathon. Ni mbio za kusaidiwa na watu usipigwe na upepo labda.
wewe ni chizi mda mrefu tu akili yako haipo sawaThis is not a marathon record.
Soma articles za CNN na The New Yorker nimeweka links hapo juu.
Hizi mbio hazitambuliwi kwa sababu ameweka watu wa kumsaidia asipigwe upepo.
It is not a natural marathon.
Record gani? Inayotambuliwa na chama gani?Tayari ashavunja record. Wewe nyamaza tu maana huna unachosema hapa. Unakera watu bure.
Hakuna chama cha riadha cha kimataifa kinachoitambua hii kama world record.Sasa unapinga nn kumbe hata kwenye riadha hujui mambo yanaendaje...
Kwhyo unataka kusema wale amabao wankua namba 4 na 5 nyuma ya wale watatu katika kikundi cha kwanza cha huaga nao wanasaidiwa na wenzao kisa wameuzia upepo...
Then mbna huaga hawashindi na wakati upo nyuma ya watu wanne hku wenzao wakipasua upepo...
Jealousy, jealousy, jealousy
This is not a marathon record.
Soma articles za CNN na The New Yorker nimeweka links hapo juu.
Hizi mbio hazitambuliwi kwa sababu ameweka watu wa kumsaidia asipigwe upepo.
It is not a natural marathon.
Hawa wenzake walianzia katikati au ni vipi maana sielewi?
Sasa unapinga nn kumbe hata kwenye riadha hujui mambo yanaendaje...
Kwhyo unataka kusema wale amabao wankua namba 4 na 5 nyuma ya wale watatu katika kikundi cha kwanza cha huaga nao wanasaidiwa na wenzao kisa wameuzia upepo...
Then mbna huaga hawashindi na wakati upo nyuma ya watu wanne hku wenzao wakipasua upepo...
Jealousy, jealousy, jealousy
Ni ngumu kumeza hii, huyu Mkenya anataka kufanya kitu ambacho hakiingii akilini, sijui nini anawaza muda huu, neno 'badass' litapata maana na tafsiri mpya leo.
Mbio zenyewe ataanza 09:15am
Kwa watani wetu wa Kusini, ili kuwapa picha ya umbali anaokimbia chini ya masaa mawili, ni kama kutoka Dar hadi Mlandizi, kwa ndugu zangu hapa Kenya hiyo ni kama kutoka Nairobi hadi Lari.
TV nyingi duniani zitapeperusha moja kwa moja mubashara, hata zetu hapa Kenya naona zimeweka live, anajadiliwa kitaani nyumba kwa nyumba. Muhimu sana maana inawapa hamasa vijana wengi kwamba linawezekana na itawezekana.
Pia kampuni ya Youtube inapeperusha mubashara
----UPDATE----
Eliud Kipchoge ran a staggering 1:59:40, shattering the mythical sub-two marathon barrier as he completed the #INEOS Challenge in majestic fashion on the streets of Vienna
--
ELIUD KIPCHOGE: MWANARIADHA WA KWANZA KUKIMBIA KM 42 KWA CHINI YA SAA 2
Mwanariadha raia wa Kenya, Eliud Kipchoge ameweka rekodi ya kuwa Mwanariadha wa kwanza Duniani kumaliza mbio za marathon kwa muda wa chini ya saa mbili
View attachment 1230550
Kipchoge mwenye miaka 34, amekimbia Kilometa 42.2 kwa kutumia muda wa saa 1, dakika 59 na sekunde 40 kwenye michuano ya Ineos 1:59 huko Vienna, Australia
Hata hivyo, rekodi hiyo haitatambuliwa kama rekodi rasmi Ulimwenguni kwasababu ameweka rekodi hiyo katika michuano isiyo ya wazi
Aidha, katika jaribio lake la mwisho kutaka kuweka rekodi hiyo mnamo mwaka 2017 alishindwa kwa sekunde 25
Wewe nimeona ni malaya. Sina la ziada.Record gani? Inayotambuliwa na chama gani?
Kasaidiwa na watu kuzuia upepo, kasaidiwa na watunza muda.
Not a natural marathon.
Arudie tena kukimbia bila kusaidiwa hivyo, akiweza kukimbia ndani ya masaa mawili hapo kuna kitu kipya cha kusheherekea.
Vinginevyo what is the difference between this and doping?
Vyote viwili ni kutumia artificial assistance to run a certain distance in a certain time.
This is just like doping.
That is why no respectable body of athletics recognizes this as a record.
Hakuna chama cha riadha cha kimataifa kinachoitambua hii kama world record.
Hao wa 4 na 5 huwa hawa arrange a deliberate set of people to run ahead to give them an advantage against the wind.
This is like doping. No difference.
What is a marathon according to you?Record gani? Inayotambuliwa na chama gani?
Kasaidiwa na watu kuzuia upepo, kasaidiwa na watunza muda.
Not a natural marathon.
Arudie tena kukimbia bila kusaidiwa hivyo, akiweza kukimbia ndani ya masaa mawili hapo kuna kitu kipya cha kusheherekea.
Vinginevyo what is the difference between this and doping?
Vyote viwili ni kutumia artificial assistance to run a certain distance in a certain time.
This is just like doping.
That is why no respectable body of athletics recognizes this as a record.
Mimi mwenyewe Mmarekani na sijawahi kumuita Mmarekani beberu.Wamerekani ndio wenye wanajua kila kitu...wakisema basi ndio kwel...
Mbona basi data zao jiwe anazikataa na hku mkiwaita mabeberu...mnafiki mkubwa wewe
Hakuna chama cha riadha cha kimataifa kinachoitambua hii kama world record.