Eliud Kipchoge avunja rekodi yake mwenyewe na kuwa mwanariadha wa kwanza kukimbia KM 42 kwa chini ya saa 2

Eliud Kipchoge avunja rekodi yake mwenyewe na kuwa mwanariadha wa kwanza kukimbia KM 42 kwa chini ya saa 2

Nimekuliza who holds the world record.
This is not a marathon record.

Soma articles za CNN na The New Yorker nimeweka links hapo juu.

Hizi mbio hazitambuliwi kwa sababu ameweka watu wa kumsaidia asipigwe upepo.

It is not a natural marathon.
 
Eliud kama hana haja ya kuweka record kwa nini anakimbia?

Unataka kusema Eliud hataki kuvunja record ya sub 2 hours bila kusaidiwa na watu wanaozuia upepo usimpige?
Tayari ashavunja record. Wewe nyamaza tu maana huna unachosema hapa. Unakera watu bure.
 
Sasa unapinga nn kumbe hata kwenye riadha hujui mambo yanaendaje...


Kwhyo unataka kusema wale amabao wankua namba 4 na 5 nyuma ya wale watatu katika kikundi cha kwanza cha huaga nao wanasaidiwa na wenzao kisa wameuzia upepo...
Then mbna huaga hawashindi na wakati upo nyuma ya watu wanne hku wenzao wakipasua upepo...

Jealousy, jealousy, jealousy
Uzi huu si wangu, ni wa Kipchoge.

Mimi si mwanariadha, sasa utanipaje challenge ya wanariadha?
 
Hawa wenzake walianzia katikati au ni vipi maana sielewi?
 
Nani kakwambia ni record ya marathon...
He is already a world record holder..alichukua last year berlin...

Huyu ni mtu mwenye maona...si kila kitu ungoje mpka wengine wapange ndio ukafanye ..jaribu na wewe kufanya mambo yako kivyako..
Hii si rekodi ya marathon.

Kakimbia kwa kusaidiwa na watu waliozuia upepo usimpige.

Eliud Kipchoge is a great runner, he has a wirld record and all.

Lakini hapa kaanzisha mchezo mpya, hizi si mbio za marathon. Ni mbio za kusaidiwa na watu usipigwe na upepo labda.
 
This is not a marathon record.

Soma articles za CNN na The New Yorker nimeweka links hapo juu.

Hizi mbio hazitambuliwi kwa sababu ameweka watu wa kumsaidia asipigwe upepo.

It is not a natural marathon.
wewe ni chizi mda mrefu tu akili yako haipo sawa
 
Tayari ashavunja record. Wewe nyamaza tu maana huna unachosema hapa. Unakera watu bure.
Record gani? Inayotambuliwa na chama gani?

Kasaidiwa na watu kuzuia upepo, kasaidiwa na watunza muda.

Not a natural marathon.

Arudie tena kukimbia bila kusaidiwa hivyo, akiweza kukimbia ndani ya masaa mawili hapo kuna kitu kipya cha kusheherekea.

Vinginevyo what is the difference between this and doping?

Vyote viwili ni kutumia artificial assistance to run a certain distance in a certain time.

This is just like doping.

That is why no respectable body of athletics recognizes this as a record.
 
Sasa unapinga nn kumbe hata kwenye riadha hujui mambo yanaendaje...


Kwhyo unataka kusema wale amabao wankua namba 4 na 5 nyuma ya wale watatu katika kikundi cha kwanza cha huaga nao wanasaidiwa na wenzao kisa wameuzia upepo...
Then mbna huaga hawashindi na wakati upo nyuma ya watu wanne hku wenzao wakipasua upepo...

Jealousy, jealousy, jealousy
Hakuna chama cha riadha cha kimataifa kinachoitambua hii kama world record.

Hao wa 4 na 5 huwa hawa arrange a deliberate set of people to run ahead to give them an advantage against the wind.

This is like doping. No difference.

Siwezi kuwa na jealousy na mtu ambaye si competitor wangu, mimi sinmwanariadha, sasa jealousy itaanzia wapi?
 
Wamerekani ndio wenye wanajua kila kitu...wakisema basi ndio kwel...
Mbona basi data zao jiwe anazikataa na hku mkiwaita mabeberu...mnafiki mkubwa wewe
This is not a marathon record.

Soma articles za CNN na The New Yorker nimeweka links hapo juu.

Hizi mbio hazitambuliwi kwa sababu ameweka watu wa kumsaidia asipigwe upepo.

It is not a natural marathon.
 
Huyo jamaa ako na ujinga kwa DNA.
Sasa unapinga nn kumbe hata kwenye riadha hujui mambo yanaendaje...


Kwhyo unataka kusema wale amabao wankua namba 4 na 5 nyuma ya wale watatu katika kikundi cha kwanza cha huaga nao wanasaidiwa na wenzao kisa wameuzia upepo...
Then mbna huaga hawashindi na wakati upo nyuma ya watu wanne hku wenzao wakipasua upepo...

Jealousy, jealousy, jealousy
 
Ni ngumu kumeza hii, huyu Mkenya anataka kufanya kitu ambacho hakiingii akilini, sijui nini anawaza muda huu, neno 'badass' litapata maana na tafsiri mpya leo.

Mbio zenyewe ataanza 09:15am
Kwa watani wetu wa Kusini, ili kuwapa picha ya umbali anaokimbia chini ya masaa mawili, ni kama kutoka Dar hadi Mlandizi, kwa ndugu zangu hapa Kenya hiyo ni kama kutoka Nairobi hadi Lari.

TV nyingi duniani zitapeperusha moja kwa moja mubashara, hata zetu hapa Kenya naona zimeweka live, anajadiliwa kitaani nyumba kwa nyumba. Muhimu sana maana inawapa hamasa vijana wengi kwamba linawezekana na itawezekana.

Pia kampuni ya Youtube inapeperusha mubashara

----UPDATE----

Eliud Kipchoge ran a staggering 1:59:40, shattering the mythical sub-two marathon barrier as he completed the #INEOS Challenge in majestic fashion on the streets of Vienna

--
ELIUD KIPCHOGE: MWANARIADHA WA KWANZA KUKIMBIA KM 42 KWA CHINI YA SAA 2


Mwanariadha raia wa Kenya, Eliud Kipchoge ameweka rekodi ya kuwa Mwanariadha wa kwanza Duniani kumaliza mbio za marathon kwa muda wa chini ya saa mbili
View attachment 1230550
Kipchoge mwenye miaka 34, amekimbia Kilometa 42.2 kwa kutumia muda wa saa 1, dakika 59 na sekunde 40 kwenye michuano ya Ineos 1:59 huko Vienna, Australia

Hata hivyo, rekodi hiyo haitatambuliwa kama rekodi rasmi Ulimwenguni kwasababu ameweka rekodi hiyo katika michuano isiyo ya wazi

Aidha, katika jaribio lake la mwisho kutaka kuweka rekodi hiyo mnamo mwaka 2017 alishindwa kwa sekunde 25


Magufuli amechangi sana Kipchoge kushinda,kwakuwa nchi za afrika mashariki yeyre ndiye mwenyekiti
 
Record gani? Inayotambuliwa na chama gani?

Kasaidiwa na watu kuzuia upepo, kasaidiwa na watunza muda.

Not a natural marathon.

Arudie tena kukimbia bila kusaidiwa hivyo, akiweza kukimbia ndani ya masaa mawili hapo kuna kitu kipya cha kusheherekea.

Vinginevyo what is the difference between this and doping?

Vyote viwili ni kutumia artificial assistance to run a certain distance in a certain time.

This is just like doping.

That is why no respectable body of athletics recognizes this as a record.
Wewe nimeona ni malaya. Sina la ziada.
 
But it's a record. That's the bitter truth.
Hakuna chama cha riadha cha kimataifa kinachoitambua hii kama world record.

Hao wa 4 na 5 huwa hawa arrange a deliberate set of people to run ahead to give them an advantage against the wind.

This is like doping. No difference.
 
Record gani? Inayotambuliwa na chama gani?

Kasaidiwa na watu kuzuia upepo, kasaidiwa na watunza muda.

Not a natural marathon.

Arudie tena kukimbia bila kusaidiwa hivyo, akiweza kukimbia ndani ya masaa mawili hapo kuna kitu kipya cha kusheherekea.

Vinginevyo what is the difference between this and doping?

Vyote viwili ni kutumia artificial assistance to run a certain distance in a certain time.

This is just like doping.

That is why no respectable body of athletics recognizes this as a record.
What is a marathon according to you?
 
Wamerekani ndio wenye wanajua kila kitu...wakisema basi ndio kwel...
Mbona basi data zao jiwe anazikataa na hku mkiwaita mabeberu...mnafiki mkubwa wewe
Mimi mwenyewe Mmarekani na sijawahi kumuita Mmarekani beberu.

Usikariri nyambafu wewe.
 
Heheeeee!!mbna basi iaaf wamempongeza...
Jibu swali langu kwanza, no.4 ba 5 katika marathon kulingana na akili zako ai huaga baridi haiwapati kwa sababu ya wale watatu walioko mbele katika kikundi cha kwanza...

Mbna basi huaga hawashindi na wakati wenzao wanapasua upepo hku wao wakiwa nyumba km wasindikizaji katika kundi[emoji1787][emoji1787]
Hakuna chama cha riadha cha kimataifa kinachoitambua hii kama world record.
 
Back
Top Bottom