Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane


Duh Erickb52 umekomaa na hii hadi huku?
Madame B, Umesema hata nikisepa utakua na nani ?Nimekusikia....
Elizabeth Dominic......:A S new:
 
Last edited by a moderator:
unajikoshatu hapa ili mkeo akuone ni muaminifu kumbe hakuna kitu. Kutwa kutongoza wanawake humu

Kujikosha lazma siunajua mahaba yanadumu kwa kuweka upendo na matendo wazi...nampenda sana mpenzi wangu Chocs lazma niwe wazi DEMBA
 
Last edited by a moderator:
mzima bukheri wa afya..chini ya uangalizi wa kakio - unafikiri kinaharibika kitu!!!

haya nimerudi--full back back unichoke mwenyeeeewe wiii!!!

ila sijui unalalaga wewe mtu? Mumeo anakula saangapi masapto ya usiku?!?! khaaaa

Huyu ni kama mhindi...mlo ni mchana kweupeeeee!
Siunajua cha mchana kilivyo kitamu Paloma ?

Cc Heaven on earth
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa sasa si utanikosa bby wangu?
Moyo tangu lini ukadondoka na mtu akabaki hai?
Na kumbuka moyo haudondoki mara mbili....ulishakudondokea wewe hakuna mwingine!
Cc mwallu
A ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Halafu Paloma ujue Mungu hapendi

Ndio! Hapendi!

Kuzua ya kuzua kama ulivomzulia shogaangu Madame B wakati wenyewe wanashona wanadarizi ma mapenzi yao yanayeya!

Hapendi!!!
Hapendi upishi wako wewe Erickb52 wa kuyapika, kuyapakua na kuyamwaga kwenye sredi mambo ya mapenzi ya watu!!! Inahuuuuuu!!!

Hapendi kabisa!!!

Sasa mkodombwe unakuhusu!!! hii ni kama trailer tu!!! Bishanga apumzike sasa, umbebee mikoba yake ya kusutwa!!!
Chocs shosti utatuwia radhi kwa mumeo kusutwa lazima asutwe! Tena kwa kigoma cha kidumbaki!!! Kama unamuonea huruma sana mtie kamba, aingie adaab! aufyate!!!
 
Last edited by a moderator:
Babu si wanasema maini hayazeeki? Nyama utachemsha masaa matatu ila maini shurti ukarangize tu


Ndo mambo gani tena ya kuanza kumsumbua babu...

Mwache apumzike bwana....he had enough of his share...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
usaliti unaanza hivi hivi Chocs kua macho na mumeo
Hahahahaaa sasa si utanikosa bby wangu?
Moyo tangu lini ukadondoka na mtu akabaki hai?
Na kumbuka moyo haudondoki mara mbili....ulishakudondokea wewe hakuna mwingine!
Cc mwallu
 
Last edited by a moderator:

ila mwenyekiti ujue huo ni wizi
wa waume za watu tena kimachomacho
mi mtu akimgusa loya ujue ni kesi ya kummwagia
mtu kile kimiminika kinachobabua na kuharibu reception!!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…