Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane


Yethu wangu... Kumbe safari yooote alopanga Elizabeth Dominic ilikuwa ni ya kwenda kufanya hivi........

I salute u mamito!!!

Wapi ubwabwaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha ninune nipunguze siku za kuishi....!

Asiyekubali kushindwa...namsubiri my wii Madame B akuje atoe tamko
we chekelea tu ngoja na wewe upinduliwe. Madame B usikubali kuachia ngazi kirahisirahisi banana hadi kieleweke.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
huyu Erickb52 nae ni majanga tuu ndugu yangu, mwenyekiti gani anaruhusu mapinduzi katika mapenzi utafikiri tupo jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo??

Mi ni majanga kweli na sishangai....watu wanaopiganiaga haki za watu huwa ni mwiba kwa wezi na wapenda dhuruma....sasa iweje Madame B amiliki vifanyio sita mwenyewe?
Kwani anaona wengine vifanyio vyao havipendi kucheza na wenzao?
Eboooo haki sawa DEMBA
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
we chekelea tu ngoja na wewe upinduliwe. Madame B usikubali kuachia ngazi kirahisirahisi banana hadi kieleweke.

Hahahaa hapa hapinduliwi mtu...! Chocs ni wangu wa kufa na kuzikana....siku hizi ushaniona na SACCOS DEMBA ?
Naipenda sana ndoa yangu ukizingatia tuko busy kusaka kazaigot na Chocs wangu hahahaaa
Wera weraaaaaa
 
Last edited by a moderator:

Duh. . . . vifanyio??!!
mmh yangu masikio mie!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…