Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane


chama, niache nipumue na my sweet.
Kawalia nini!
Yaani nakwambia 2015 lazima mkalie upanga na Tutawaburuza mpaka mtujue sie M4C ni nani.
Muache Ben Saanane wangu atulie, mwanaume wa shoka, kifua Six pack.
 
Last edited by a moderator:
Ndoa zilizosainiwa na Baba V karibia zote ni mkosi mtupu;
Ndoa yangu mpya naisajili kwa Erickb52;

Nimekaa hapa nawasikiliza tu.. leo angalau ndo nimefumbua macho na angalau nakumbuka hata jina na jinsia yangu baada ya kunywa mfululizo tangu alipotangazwa raisi mpya wa TFF.. bili yao nimewaandikia cheque asubuhi hii dadadeki..
 
Last edited by a moderator:

U nani wewe hadi uvunje ndoa hii???
 
Last edited by a moderator:
Eti ni kweli kuwa rais mpya ni Bishanga?
Nimekaa hapa nawasikiliza tu.. leo angalau ndo nimefumbua macho na angalau nakumbuka hata jina na jinsia yangu baada ya kunywa mfululizo tangu alipotangazwa raisi mpya wa TFF.. bili yao nimewaandikia cheque asubuhi hii dadadeki..
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haaa
Hivi kumbe unawaza kuwa festi ledi shosti.
chama miss u sana uko wapi lakini?
chama, niache nipumue na my sweet.
Kawalia nini!
Yaani nakwambia 2015 lazima mkalie upanga na Tutawaburuza mpaka mtujue sie M4C ni nani.
Muache Ben Saanane wangu atulie, mwanaume wa shoka, kifua Six pack.
 
Last edited by a moderator:
Vin Diesel anataka nyama laini laini achana naye.
Wakwangu atatangaza ndoa hapa, kikwetu wanawake
ni mwiko kupeleka tangazo la ndoa.

Hahahahaaa
Kwangu pamejaa neema full...kama unamtaka Vin Diesel sema tu nikukabidhi maana nayeye ni screpa km wewe
 
Last edited by a moderator:
Baba V katika iyo bili naona walisahau chupa nzima ya grants nilijibebea mwenyewe ndo mafufuka apa njoo tuzimue

Kichuna wangu DEMBA asante kunipeti peti maana hangover balaa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…