Elizabeth, kabla ya kifo chako uliwahi kuwaomba msamaha watu weusi?

Ukweli mchungu!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
High iq[emoji3581][emoji3581]
 
Ni lin mwafrica aliwah kuwa huru hadi hizo monarch ziombe msamaha? Tuanzie hapo kwanza
 
Yawezekana aliomba au pia hakuomba.

Njaa yetu nayo inachangia kudharaulika.

Huyo huyo mtamwita mbaya huyo huyo anawakopesha, utakuwa na nguvu gani za kumlaumu
 
Inasikitisha sana
Kulialia hakuwezi kukupa muongozo, 60 years baadae ya ukoloni Bado unajisaidia porini, wanafunzi wanakaa chini mama mjamzito anakufa Kwa kukosa huduma halafu unawalaumu waingereza FOOL
 
Wachina na Wakorea Kusini wenyewe pia wamewahi kuwa watumwa wa Japan hapo karibu kabisa karne ya 19 na 20.
Hakuna ukweli wowote maana utumwa ni human nature shukuru hao wazungu wameukomesha... Afrika tu utumwa ulikuwepo hata kabla ya kuja wazungu... Babu zako wa Tabora wamekuwa wakinunua na kuuza weusi wenzao wakati wa long distance trade na warabu
 
Uko sahihi
 
Hawa ni wazalendo weusi uchwara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…