Elizabeth, kabla ya kifo chako uliwahi kuwaomba msamaha watu weusi?

Elizabeth, kabla ya kifo chako uliwahi kuwaomba msamaha watu weusi?

Hakuna ukweli wowote maana utumwa ni human nature shukuru hao wazungu wameukomesha... Afrika tu utumwa ulikuwepo hata kabla ya kuja wazungu... Babu zako wa Tabora wamekuwa wakinunua na kuuza weusi wenzao wakati wa long distance trade na warabu
Tena hii ndio jinai mbaya inatia doa wanyamwezi. Nilisoma sehemu, ilikua ndio kabila la ovyo wakikamata watu wa makabila mengine na kuwauza kama watumwa. Ilinifedhehesha sana.
 
Waandishi wa vitabu vingi vya historia wengi wameandika upotoshi na uzushi mwingi sana Ili kuwabrainwash waafrika wajenge chuki pia ni kama njia za watawala wa kiafrica kujifichia kutupa lawama juu ya kushindwa kwao kuwaletea waafrika maendeleo.
Kutawaliwa sio kizuizi cha nchi kutokuendelea
 
Jana pimbi moja nyeusi kama lami ikanitumia text w'app kwamba R.I.P malkia elizbet,ni ujinga tu.

Unaweza mtu ukajiuliza wanakupa faida gani hawa watu?well msaada wa dawa?hawa wazungu sijui waarabu hakuna siku wamemthamini Mwafrica ni sisi wenyewe jukumu letu kuthaminiana.
best comment ever , sio muarabu wala mweupe hakuna anaekujal
 
sijalilie pole chief. ila tabia ya ukwel siku zote haipendwi. UBAYA HAULIPWI KWA TABASAMU
solution ni kupambana km CHINA ili uheshimike na sio kuwa mvamiz km Urusi ili uheshimike , jana imepita wenzetu wanayaish maisha ya kesho ila sisi bado tunalia lia km vile tulitawaliwa pekee yetu
 
Waingereza wana nafasi yao kulamiwa na viongozi wetu pia wana nafac ya kulaumiwa.

Sasa ucmalaumu moja ukamuacha wengne wote walaumuwe. Kiufupi UKWELI USEMWE BILA KUTAZAMA USONI
angalia kesho , jana huez ibadili walaumu ancestors kwa kuwa vilaza mpk wakatawaliwa
 
White people's aids have contributed nothing to ustawi wa nchi za kiafrika.

Mfano rahisi:Tangu nchi nyingi za kiafrika zianze kupewa mikopo ndiyo exploitation ya rasilimali za taifa za Afrika zinaibiwa.

Swali:Tatizo ni nini?
Jibu:Tatizo ni waafrika wenyewe(wanapokuwa viongozi) pamoja na wazungu.
mkuu fungua akil vzr uelew ,ile 1T ya mama imeishia wap hlf ndo uje ujiulize kwa tunaibiwa , viongoz njaa hlf unalaumu wazungu
 
Mbona bado unaishi kama mtumwa kwenye nchi yako na hudai kuomba msamaha? Sana sana utaambiwa uende burundi
 
jamaa wanajijal wao zaidi wapo radhi ww huumie wao wafaidike
sis pia wajinga , laumu viongoz wa Iraq kuroiunga Iraq na umoja wa Asia , pia kutotumia diplomacy kutatua kuingiza nchi kweny machafuko , Uk Boris kajiuzulu , Pakistan Prime minister alijiuzulu , ila Sadam alihis madaraka ya bibi yake
 
Hao wazungu ndiyo walioenda Tripoli au Misrata kuanzisha maandamano? Kwani Ghadaf alikuwa Rais wa kwanza kupinduliwa na kuuawa na watu wake? Madikteta wote hufa in the same way, kuanzia Samwel Doe. Sami Abacha nawengine vifo vyao vilikuwa ni Kama stori tu.

Wakati wa utawala wake na sasaiv wapi kuna unafuu!! Walikua wanaitafuta demokrasia, sasa tayari wameipata demokrasia.

Kuhusu wazungu unataka kusema hawakuchochea hiyo vita/maandamano!! Au unafanya kazi kwa mzungu unawatetea kiasi hicho!! Yani wewe hata akiuliwa baba yako na bado utamtetea mzungu wako. Hii ndio AFILIKA

Mimi sichukii mtu yoyote, bali nachukia matendo yao dhidi ya nchi za kiislamu.
 
mtu akuumize alaf useme ni nature are you serious gee
kwann usiwaumize wao mpk uumizwe , mabab zetu walikuwa na makosa ya ubinafs na uroho wa madaraka huo mwanya aliutumia mtu mweupe kufanikisha malengo yao , sijawai sikia Thailand au Saudia Arabia au Ethiopia kutawaliwa sabab walikuwa wamoja
 
Biashara ya watumwa wasilaumiwe wazungu pekee hata mwafrika akwepi lawama hii. Mzungu wala muarabu akuingia field vijijini kukamata watu bali Kazi hii ilifanywa na waafrika wenzetu wakiwemo machief, ndugu nk. Kama mwafrika anatolewa congo kwa escot ya watu sita wakiswaga rundo la watu kwa miezi huku wakipita vijijini na wanavijji wakiwaaangalia tu wenzao wanaswagwa bila hata kuwasaidia kwa kuwaua hao wafanyabiashara na kuacha wenzao waafrika waswagwe hadi Pwani. uoni kwamba mwafrika nao ni sehemu ya lawama.
Mbona wamasai na wakurya wao awakuchukuliwa utumwani.
nmependa hii reasoning , kosa kubwa lipo miongon mwetu watu weusi
 
Waarabu huwa mnawasingizia bure tu, ukiombwa ushahidi utaanza kujikuna kichwa, tulishawahi kutupiwa maganda ya ndizi na mwarabu? Au kufananishwa na sokwe?
sasa walikuja kufanya nini Zanzibar na pwani ya Tanzania bara , je mashamba wakijilimia wao ? au walikuwa wanaviwanda vya mashine ? na kwann wao ni 1st class na wanaishi mijini tu huwakuti vijijini ? ukielewa hayo maswali huez pinga kuwa na wao walishiriki hiyo biashara , waulize wazanzibar kwann walikuwa wanawachinja waarabu mapema baada ya mapinduzi ya 1964
 
Tumeshikilia hili hili la wafanyakazi wa ndani,, je! Ulikuwepo na ukashudia matukio hayo?

Huku hawateswi wafanyakazi mpaka kuuawa!! Mfanyakazi anamuuwa madam wake au tumeamua kujitoa ufahamu!!

Mimi bwana sidanganyiki na hizi story za jamii,Facebook na Twitter + vijiwe vya kahawa, waarabu wamebarikiwa sana, tuwape kongole hawa jamaa.
acha ubishi bas , video zipo kibao zipo shuhuda kibao au unatumia smartkitochi ?
 
ila je walituomba msamaha kuchukua wazee wetu na kuwapeleka katk vita ambayo hata sisi haituhus...

na vipi walitopoza na nini kuhusu wale wazee wetu waliokufa vitani kwa manufaa yao


Wazee wetu wamefanywa watumwa na kudhulumiwa na sasa bado wanatuibia rasilimali zetu kupitia viongozi ambao ni vibaraka wao.
 
Back
Top Bottom