Elizabeth, kabla ya kifo chako uliwahi kuwaomba msamaha watu weusi?

Elizabeth, kabla ya kifo chako uliwahi kuwaomba msamaha watu weusi?

Chuki yangu juu ya wakoloni [ Ujerumani & Uingereza ] haitafutwa na mpumbavu yoyote mpaka pale watakapo piga goti mbele yangu na familia yangu kwa walicho wafanyia Babu na Bibi kamwe ni jeraha lisilo futika katika moyo wangu.

# Kazi ya vibaraka ni kusifia na kutetea wakoloni endelea maana ndio kazi mliyo kuwa nayo hata wakati wa ukoloni mpo radhi kuona ndugu zenu wakiteswa na wakoloni Ila nyie mkiendeleza kazi ya kulamba makalio ya wakoloni ila chunga sana unapo lamba makalio ya watesi utalamba na vinyesi vyao ukidhani ni siagi ipo kwenye makalio yao.
bibi na babu zako walikuwa wapumbav ndio maana wakatawaliwa , nawapongeza ancestors wa kizungu kuwa wise enough kutawala ancestors , km bado hujaelewa bas utatawaliwa 100yrs tena maana hujifunz nini kilikufanya ukatawaliwa , China , USA ,India. , SA , Both Korea , Brazil , wote walitawaliwa ila sasa hv wapo juu kuwazid wakoloni wenyew , kwann sisi bado tunalia lia tu hatuamki , mtu anajenga kibanda cha mlinz kwa 11M hlf upo hapa kupambana na PAST km vile present yako inashawish
 
Lakini wakoloni weusi ndio wamemtesa Sana mwafrika kuliko wakoloni weupe,nani ajui maumivu ya tozo, ufisadi, udikteta, Bora ya wakoloni weupe walitutesa lakini maisha yalikuwa bora, elimu bora, afya bora, ajira tele kuliko wakoloni weusi .
hahahahaaaaaa
 
bibi na babu zako walikuwa wapumbav ndio maana wakatawaliwa , nawapongeza ancestors wa kizungu kuwa wise enough kutawala ancestors , km bado hujaelewa bas utatawaliwa 100yrs tena maana hujifunz nini kilikufanya ukatawaliwa , China , USA ,India. , SA , Both Korea , Brazil , wote walitawaliwa ila sasa hv wapo juu kuwazid wakoloni wenyew , kwann sisi bado tunalia lia tu hatuamki , mtu anajenga kibanda cha mlinz kwa 11M hlf upo hapa kupambana na PAST km vile present yako inashawish
Kwa hiyo wewe unataka wasilaumiwe kwa makosa waliotufanyia ?
 
sasa walikuja kufanya nini Zanzibar na pwani ya Tanzania bara , je mashamba wakijilimia wao ? au walikuwa wanaviwanda vya mashine ? na kwann wao ni 1st class na wanaishi mijini tu huwakuti vijijini ? ukielewa hayo maswali huez pinga kuwa na wao walishiriki hiyo biashara , waulize wazanzibar kwann walikuwa wanawachinja waarabu mapema baada ya mapinduzi ya 1964

Wewe hujui unachokiongea, unahitaji elimu ili kuondokana na chuki/kasumba uliyonayo. Narudia tena hujui unachokiongea, nenda vijijini utawakuta japo wamepungua tofauti na hapo zamani, wengine wamefariki na wengine wamehamia mijini, kwahiyo unaumia na kuteseka ukiwaona wakiishi mijini!! Na kuishi kwao mijini ndio sababu ya wao walishiriki biashara ya utumwa!! Unahitaji elimu kijana
 
Hawa nao wapumbavu wengine wakijani wana nafasi yao pia ya kusemwa kwa ujinga na upumbavu wao wanao watendea WATANZANIA Ila kwa sasa tulizungumzia kwanza hili jibwa dikteta katili uaji lililo kufa na damu za Babu na Bibi yangu mikononi mwake wacha liende kwa wauaji wenzake huko . familia ya kijambazi iliyo jaa damu za watu wa kila rangi.
kuna faida gn ya kumzungumzia wkt UTUMWA + UKOLONI ushapita zama tyr
 
Waafrika kutwa kulaumu wazungu utafikiri wapo bungeni kutunga habari ya tozo, unakusanya 500b Kila mwaka unanunua V8 halafu kununua ambulance hautaki Kisha unakuja kumlaumu mzungu.
hahahahaaaaaa
 
Na wewe acha kulaumu waarabu,, huyo gadafi kauawa na mtu mweusi +wazungu, na hapa sijui utasemaje!!
waarabu wapumbav sana , kweny serikali kuu hadi uenyekiti huez sikia mwafrika kapewa shavu hata km ni raia wa kuzaliwa kweny nchi zao za kiarabu , WABAGUZI SANA HAO
 
acha ubishi bas , video zipo kibao zipo shuhuda kibao au unatumia smartkitochi ?

Narudia tena acha chuki, hujaishi nao na wala hujatembea nchi zao ukajionea japo kidoncho tu, hakuna jamii watu wake wamestaarabika na wakarimu hapa duniani kama waarabu, japo sio wote lakini most of them wako poa ukilinganisha na jamii zingine
 
Ningepata nafasi ya kukutana na wewe ningekunasa vibao kwa huu ushenzi unao andika hapa.
mwanzon sikumuelewa huyo jamaa ila nmekuja kumuelewa , waafrika hatuna focus ya nini tunataka na hili ndo ttzo , huez poteza muda kulaumu utumwa na ukoloni km vile ni wewe pekee ulipitia utumwa na ukoloni , cha msingi ni kutatua matatizo yanayotukabili sasa hv mf Rushwa , Tozo kubwa , Unyanyapaa , UFISADI na Unemployment , Ila kuanza kuzungumzia mamba ya Ukoloni na utumwa ni kuonesha kiwango kdg cha ufikiri
 
Muda mwingine uchunge kauli unazo toa juu ya waathirika wa jambo fulani utakuja kupigwa kwa kauli zako za kipumbavu kwa waathirika.
hao waathirika ndo walikuwa push factor , hawapendani Wasachomana wao kwa wao mf huko Libyia , ni Misri na Algeria walitoa training grounds za waasi kwenda kumtoa Ghadaf , pia huko Somalia ni Ethiopia alikuwa anachochea ghasia kwa kuwa mlango wa silaha kuingia Somalia pia huko Liberia na Sierra Leone ni nchi jirani ndo zilikuwa vituo vya waasi kuanzishia harakati zao pia huko Central Africa , Sudan na Chad walitrain vikund vya kigaid kwenda kuichafua C.Africa , pia huko DRC tumeona M23 ikiwa backed na Rwanda pia ADF ikiwa km njia ya UG kuingia na kuiibia DRC maliasili zao , LAWAMA LAZIMA ZIANZIE KWETU SISI KABLA YA KUWALAUMU TULIOWAPA MWANYA KUJA KUFANYA YAO
 
mwanzon sikumuelewa huyo jamaa ila nmekuja kumuelewa , waafrika hatuna focus ya nini tunataka na hili ndo ttzo , huez poteza muda kulaumu utumwa na ukoloni km vile ni wewe pekee ulipitia utumwa na ukoloni , cha msingi ni kutatua matatizo yanayotukabili sasa hv mf Rushwa , Tozo kubwa , Unyanyapaa , UFISADI na Unemployment , Ila kuanza kuzungumzia mamba ya Ukoloni na utumwa ni kuonesha kiwango kdg cha ufikiri
Kama umeshindwa kujibu swali langu la mwanzo , achana na comment zangu kureply . maana unaonekana ni mpumbavu .
 
Waandishi wa vitabu vingi vya historia wengi wameandika upotoshi na uzushi mwingi sana Ili kuwabrainwash waafrika wajenge chuki pia ni kama njia za watawala wa kiafrica kujifichia kutupa lawama juu ya kushindwa kwao kuwaletea waafrika maendeleo.
Kutawaliwa sio kizuizi cha nchi kutokuendelea
CHINA , INDIA , USA , BRAZIL ,BOTH KOREA , SINGAPORE , SA EGYPT , ETC
 
waarabu wapumbav sana , kweny serikali kuu hadi uenyekiti huez sikia mwafrika kapewa shavu hata km ni raia wa kuzaliwa kweny nchi zao za kiarabu , WABAGUZI SANA HAO

Mimi huwa nawachana laiv watu kama wewe, chuki zimekujaa, jitathmini upya!

Hapa unavyo waona waarabu wanapata nafasi za ubunge ujue wanakubalika na wanaleta maendeleo kwenye majimbo yao, hapo hakuna namna ni lazima tuwapigie kura, hatuangalii cha rangi wala race ya mtu, tunachotaka ni maendeleo na sio chuki. Refer shabibi huko gairo wanampenda na kumkubali sana, meatu kipindi cha hamisi mbuzi, na sasa wanamkumbuka. Endelea kuumia na kuteseka kijana.

Huko uarabuni kama hawajitokezi/hawakidhi!! Unataka wapachikwe tu hata kama hawakidhi!!! Acha roho mbaya na chuki kijana, tutafute hela, kulialia hakusaidii kitu.
 
Wazungu wameondoka Miaka 50 iliyopita bado mnalialia tu! Waswahili wakishafeli kinachobaki ni kujificha kwenye lawama
 
Kwa hiyo wewe unataka wasilaumiwe kwa makosa waliotufanyia ?
wao walikuwa sahihi ndio maana walitutawala , sis tulifer ndio maana tulitawaliwa , hili sio la kubishana ,kwann ETHIOPIA haikutawaliwa ?
 
wao walikuwa sahihi ndio maana walitutawala , sis tulifer ndio maana tulitawaliwa , hili sio la kubishana ,kwann ETHIOPIA haikutawaliwa ?
Kuendelea kujibizana na mpumbavu kutadhihirisha kuwa na mimi ni mpumbavu.

N.b: Ningepata nafasi ya kukutana na nyie watu wawili kwenye huu uzi ninge hakikisha midomo yenu haitoi tena hizi kauli .
 
Jana pimbi moja nyeusi kama lami ikanitumia text w'app kwamba R.I.P malkia elizbet ikinitaka ni-share kwa watu wengine,ni ujinga tu.

Unaweza mtu ukajiuliza wanakupa faida gani hawa watu?well msaada wa dawa?hawa wazungu sijui waarabu hakuna siku wamemthamini Mwafrica ni sisi wenyewe jukumu letu kuthaminiana.
Ungepika block hio PIMBI[emoji35][emoji34][emoji35]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom