4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
bibi na babu zako walikuwa wapumbav ndio maana wakatawaliwa , nawapongeza ancestors wa kizungu kuwa wise enough kutawala ancestors , km bado hujaelewa bas utatawaliwa 100yrs tena maana hujifunz nini kilikufanya ukatawaliwa , China , USA ,India. , SA , Both Korea , Brazil , wote walitawaliwa ila sasa hv wapo juu kuwazid wakoloni wenyew , kwann sisi bado tunalia lia tu hatuamki , mtu anajenga kibanda cha mlinz kwa 11M hlf upo hapa kupambana na PAST km vile present yako inashawishChuki yangu juu ya wakoloni [ Ujerumani & Uingereza ] haitafutwa na mpumbavu yoyote mpaka pale watakapo piga goti mbele yangu na familia yangu kwa walicho wafanyia Babu na Bibi kamwe ni jeraha lisilo futika katika moyo wangu.
# Kazi ya vibaraka ni kusifia na kutetea wakoloni endelea maana ndio kazi mliyo kuwa nayo hata wakati wa ukoloni mpo radhi kuona ndugu zenu wakiteswa na wakoloni Ila nyie mkiendeleza kazi ya kulamba makalio ya wakoloni ila chunga sana unapo lamba makalio ya watesi utalamba na vinyesi vyao ukidhani ni siagi ipo kwenye makalio yao.