Chuki yangu juu ya wakoloni [ Ujerumani & Uingereza ] haitafutwa na mpumbavu yoyote mpaka pale watakapo piga goti mbele yangu na familia yangu kwa walicho wafanyia Babu na Bibi kamwe ni jeraha lisilo futika katika moyo wangu.
# Kazi ya vibaraka ni kusifia na kutetea wakoloni endelea maana ndio kazi mliyo kuwa nayo hata wakati wa ukoloni mpo radhi kuona ndugu zenu wakiteswa na wakoloni Ila nyie mkiendeleza kazi ya kulamba makalio ya wakoloni ila chunga sana unapo lamba makalio ya watesi utalamba na vinyesi vyao ukidhani ni siagi ipo kwenye makalio yao.