Elizabeth, kabla ya kifo chako uliwahi kuwaomba msamaha watu weusi?

Elizabeth, kabla ya kifo chako uliwahi kuwaomba msamaha watu weusi?

Magufuli alituomba radhi wakazi wa kigamboni aliosema tupige mbizi?
Ubaguzi ni asili ya mwanadamu Obama mwenyewe alibaguliwa hotelini Kenya na wakenya in favor of wageni wazungu walioi gia in the same hotel.
 
Huko twitter kumechafuka sana toka Utangazwe msiba wa Lizzy mpaka tajiri wa dunia (Jeff bezo) ilibidi aongee nae,,,mana sio blacks,indians,Irish wamefurahi wengine wanasherekea kabisa kama Wa-Irish wanacheza kabisa kwenye kasri huko london noma Yan #Blacktwitter #irishtwitter #indiantwitter ni hatar kama serikali ya waingereza hawatajifunza kupitia huu msiba basi tena!
 
Kuna Bahari sijui Atlantic hiyo ina miili ya watumwa waliokufa wakisafirishwa kwenda marekani tena huku wamefungwa minyororo inahuzunisha sana!
 
Mimi ni pimbi but at least naijali asili yangu na najitambua.

Wewe unaejiona mjanja kujipendekeza kwa hao ngozi nyeupe jua wao wanakuona nyani tu,kwa maneno mengine wakipita sehemu wakakukuta wewe na ngozi yako ya mkaa pembeni yako pana mbwa na paka mmejificha mvua chini ya mti watasaidia hao wanyama wakuache hapo zikikukaa vizuri kichwani.
Ubaguzi unao wewe unaehisi wewe ni bora kuliko wao huku ukiwa huwezi kuprove how you're smart.
 
Pro Ukraine rightnow
20220909_225937.jpg
 
Dunia haiko fair.
Binafsi nadhani ni mihemko kumwaga chuki mtandaoni dhidi ya bidada Eliza.

Waafrica tumenyanyasana sana baada ya utawala wa hawa watu kiasi sioni tofauti yoyote.

Hebu tuombane misamaha sisi kwa sisi halafu baada ya hapo tudai misamaha kutoka ughaibuni.


Aibu zetu.
Watu hawajui kitu na kuwasaidia tu ni kwamba Queen Elizabeth ndiyo aliiondoa South Afrika kwenye jumuiya ya madola baada ya makaburu kukataa kubadiri sera zake za ubaguzi wa rangi na alikuja kuirudisha baadaye baada ya kuombwa na Nelson Mandela baadae ya apartheid policy kukomeshea. Hiyo Malema ni mpumbavu tu Kama wapumbavu wengine kina Mugabe, wanaojificha kwenye Afrikanism huku wakishindania kunyonya waafrika wenzao.
 
Dikteta liuaji limekufa na damu za ndugu zetu wacha liende likakutane na madikteta mauaji menzake huko. Familia iliyo jaa damu za watu mbalimbali duniani sio wa Irishi, sio waafrika, sio wachina , sio waindia kila aina ya watu hilo lifamilia limemwaga damu zao . wacha waende wakakutane na wauaji wenzao huko waendako.
Rainha-Elizabeth.jpg
 
Huko twitter kumechafuka sana toka Utangazwe msiba wa Lizzy mpaka tajiri wa dunia (Jeff bezo) ilibidi aongee nae,,,mana sio blacks,indians,Irish wamefurahi wengine wanasherekea kabisa kama Wa-Irish wanacheza kabisa kwenye kasri huko london noma Yan #Blacktwitter #irishtwitter #indiantwitter ni hatar kama serikali ya waingereza hawatajifunza kupitia huu msiba basi tena!
Wapi hapo London wanaposhangilia kifo Cha Queen? Unadhani nao ni wapumbavu Kama nyie mlioshangilia kifo Cha Magufuli?
 
Biashara ya watumwa wasilaumiwe wazungu pekee hata mwafrika akwepi lawama hii. Mzungu wala muarabu akuingia field vijijini kukamata watu bali Kazi hii ilifanywa na waafrika wenzetu wakiwemo machief, ndugu nk. Kama mwafrika anatolewa congo kwa escot ya watu sita wakiswaga rundo la watu kwa miezi huku wakipita vijijini na wanavijji wakiwaaangalia tu wenzao wanaswagwa bila hata kuwasaidia kwa kuwaua hao wafanyabiashara na kuacha wenzao waafrika waswagwe hadi Pwani. uoni kwamba mwafrika nao ni sehemu ya lawama.
Mbona wamasai na wakurya wao awakuchukuliwa utumwani.
 
Jana pimbi moja nyeusi kama lami ikanitumia text w'app kwamba R.I.P malkia elizbet,ni ujinga tu.

Unaweza mtu ukajiuliza wanakupa faida gani hawa watu?well msaada wa dawa?hawa wazungu sijui waarabu hakuna siku wamemthamini Mwafrica ni sisi wenyewe jukumu letu kuthaminiana.

Waarabu huwa mnawasingizia bure tu, ukiombwa ushahidi utaanza kujikuna kichwa, tulishawahi kutupiwa maganda ya ndizi na mwarabu? Au kufananishwa na sokwe?
 
Mwafrika ndie anaependa kuchukuliwa utumwani check zamani walichukuliwa kwa nguvu leo ma elfu wanalia kuomba viza kwenye ofisi za ubalozi Ili waende utumwani, huku maelfu wakifa baharini wakigombea kwenda kuwa machinga na kubeba mabox utumwani huku raslimali tele zimejaa wakimuachia Mchina anasomba kwao
 
Waarabu huwa mnawasingizia bure tu, ukiombwa ushahidi utaanza kujikuna kichwa, tulishawahi kutupiwa maganda ya ndizi na mwarabu? Au kufananishwa na sokwe?
Hujui Kama dada zako Wanafanyia Ukatiri mpaka wanauawa wanapokwenda kufanya kazi za ndani Uarabuni? Au hilo halikuhusu?
 
Dikteta liuaji limekufa na damu za ndugu zetu wacha liende likakutane na madikteta mauaji menzake huko. Familia iliyo jaa damu za watu mbalimbali duniani sio wa Irishi, sio waafrika, sio wachina , sio waindia kila aina ya watu hilo lifamilia limemwaga damu zao . wacha waende wakakutane na wauaji wenzao huko waendako.View attachment 2351860
Mwenzako kafa at 96 sijui wewe utakufa katka umri Gani? Ni aibu kuchukia mtu ambaye hajawahi hata kukuona personaly tena mwanamke.
 
Hujui Kama dada zako Wanafanyia Ukatiri mpaka wanauawa wanapokwenda kufanya kazi za ndani Uarabuni? Au hilo halikuhusu?

Tumeshikilia hili hili la wafanyakazi wa ndani,, je! Ulikuwepo na ukashudia matukio hayo?

Huku hawateswi wafanyakazi mpaka kuuawa!! Mfanyakazi anamuuwa madam wake au tumeamua kujitoa ufahamu!!

Mimi bwana sidanganyiki na hizi story za jamii,Facebook na Twitter + vijiwe vya kahawa, waarabu wamebarikiwa sana, tuwape kongole hawa jamaa.
 
Watu hawajui kitu na kuwasaidia tu ni kwamba Queen Elizabeth ndiyo aliiondoa South Afrika kwenye jumuiya ya madola baada ya makaburu kukataa kubadiri sera zake za ubaguzi wa rangi na alikuja kuirudisha baadaye baada ya kuombwa na Nelson Mandela baadae ya apartheid policy kukomeshea. Hiyo Malema ni mpumbavu tu Kama wapumbavu wengine kina Mugabe, wanaojificha kwenye Afrikanism huku wakishindania kunyonya waafrika wenzao.
Mugabe ni mwizi aliyejifichia kwenye kichaka cha uzalendo SAwa na matozo kutwa kuvaa skafu ya uzalendo feki wa kusaza kodi zetu.
Wapigania UHURU walipigania maslai ya binafsi kwa kuwapotosha waafrika wengi wawape sapoti ya kuwafukuza wakoloni eti watakula mema ya nchi baada ya wakoloni kuondoka wao ndio wakageuka wakoloni wapya huku wakiiba mali za waafrika na kuficha Ulaya,wakiwaua waafrika kwa udikteta, ufisadi,nk huku mamilioni ya waafrika wakiishi maisha ya kimbwa kabisa.
Mwafrika amekuwa na maisha magumu Sana baada ya UHURU, huku wapigania UHURU wao na familia zao wakilamba asali kwa kuishi kifahari kabisa,ndani ya wachimba chumvi wasiojua kesho wataamkaje.
Chek familia ya Odinga, Moi, Kenyatta,mobutu, Mugabe,nk ni kielelezo cha kwamba UHURU ulikuwa kwa maslai ya baba zao na uzao wao.
 
Mwenzako kafa at 96 sijui wewe utakufa katka umri Gani? Ni aibu kuchukia mtu ambaye hajawahi hata kukuona personaly tena mwanamke.
Chuki yangu juu ya wakoloni [ Ujerumani & Uingereza ] haitafutwa na mpumbavu yoyote mpaka pale watakapo piga goti mbele yangu na familia yangu kwa walicho wafanyia Babu na Bibi kamwe ni jeraha lisilo futika katika moyo wangu.

# Kazi ya vibaraka ni kusifia na kutetea wakoloni endelea maana ndio kazi mliyo kuwa nayo hata wakati wa ukoloni mpo radhi kuona ndugu zenu wakiteswa na wakoloni Ila nyie mkiendeleza kazi ya kulamba makalio ya wakoloni ila chunga sana unapo lamba makalio ya watesi utalamba na vinyesi vyao ukidhani ni siagi ipo kwenye makalio yao.
 
Tumeshikilia hili hili la wafanyakazi wa ndani,, je! Ulikuwepo na ukashudia matukio hayo?

Huku hawateswi wafanyakazi mpaka kuuawa!! Mfanyakazi anamuuwa madam wake au tumeamua kujitoa ufahamu!!

Mimi bwana sidanganyiki na hizi story za jamii,Facebook na Twitter + vijiwe vya kahawa, waarabu wamebarikiwa sana, tuwape kongole hawa jamaa.
Wewe binafsi uliwahi kufika ulaya ikarushiwa ndizi? Wangekuwa wabaguzi Obama angekuwa Rais? Us army ingekuwa na ma general weusi? Vipi wewe ukiona Mgombea ubunge mzungu anataka ubunge utampa? Kama mchezaji wa mpira tu mzungu amewatoa povu vipi angekuwa mwanasiasa? Acheni upumbavu
 
Chuki yangu juu ya wakoloni [ Ujerumani & Uingereza ] haitafutwa na mpumbavu yoyote mpaka pale watakapo piga goti mbele yangu na familia yangu kwa walicho wafanyia Babu na Bibi kamwe ni jeraha lisilo futika katika moyo wangu.

# Kazi ya vibaraka ni kusifia na kutetea wakoloni endelea maana ndio kazi mliyo kuwa nayo hata wakati wa ukoloni mpo radhi kuona ndugu zenu wakiteswa na wakoloni Ila nyie mkiendeleza kazi ya kulamba makalio ya wakoloni ila chunga sana unapo lamba makalio ya watesi utalamba na vinyesi vyao ukidhani ni siagi ipo kwenye makalio yao.
Lakini wakoloni weusi ndio wamemtesa Sana mwafrika kuliko wakoloni weupe,nani ajui maumivu ya tozo, ufisadi, udikteta, Bora ya wakoloni weupe walitutesa lakini maisha yalikuwa bora, elimu bora, afya bora, ajira tele kuliko wakoloni weusi .
 
Back
Top Bottom