Ellie Mpanzu asaini Msimbazi

Ellie Mpanzu asaini Msimbazi

Aliyekuwa mchezaji wa As vita ya DR Congo Ellie Mpanzu yupo nchini kusaini mkataba wa awali wa kucheza Simba baada ya Dili lake ubelgiji kushindikana

Mpanzu kasaini miaka mitatu na atajiunga na kikosi Cha Simba kuendelea na ratiba za mazoezi kusubiri mpaka dirisha litakapo funguliwa ili aingizwe rasmi ktk mfumo

Inasemekana Yanga walikuwa wanammendea pia ( kimya kimya ) ndio maana mnyama wakaamua kumvuta mapema
Msiwe mnawapandisha thamani wachezaji kwa kupitia mgongo wa yanga, yanga wangetaka kumchukua uyo mchezaji wangeshamchukua siku nyingi, yanga awakuwa na mpango nae Wala kocha akuwai kumhitaji tafuteni kingine cha kuongea!
 
Msiwe mnawapandisha thamani wachezaji kwa kupitia mgongo wa yanga, yanga wangetaka kumchukua uyo mchezaji wangeshamchukua siku nyingi, yanga awakuwa na mpango nae Wala kocha akuwai kumhitaji tafuteni kingine cha kuongea!
Yule afisa msemaji asingekuja na mikataba mbele ya kamera kulia lia kama anayetakwa anapatikana.
 
Bumunda nyingine hii hapa🤭
Atakuwepo mechi ya Jumapili na atasaidia ingawe mpate kona au short on and off target hata 1 Kwenye kombe la Akina Mama?

Maana mlitia aibu, hamjapata short off wala on target, hamjapata kona hata 1 wala faulo mliyochezewa wala mpira wa kurusha dhidi ya waarabu siku ile mlivyokuwa mnalawitiwa pale Libya 😀😀😀
 
Msiwe mnawapandisha thamani wachezaji kwa kupitia mgongo wa yanga, yanga wangetaka kumchukua uyo mchezaji wangeshamchukua siku nyingi, yanga awakuwa na mpango nae Wala kocha akuwai kumhitaji tafuteni kingine cha kuongea!
Kagoma ulikuwa mpango wa nani pale utopoloni
 
Msiwe mnawapandisha thamani wachezaji kwa kupitia mgongo wa yanga, yanga wangetaka kumchukua uyo mchezaji wangeshamchukua siku nyingi, yanga awakuwa na mpango nae Wala kocha akuwai kumhitaji tafuteni kingine cha kuongea!
KAGOMA VIPI MBONA HAMKUMCHUKUA?
 
Back
Top Bottom