Ellie Mpanzu asaini Msimbazi

Msiwe mnawapandisha thamani wachezaji kwa kupitia mgongo wa yanga, yanga wangetaka kumchukua uyo mchezaji wangeshamchukua siku nyingi, yanga awakuwa na mpango nae Wala kocha akuwai kumhitaji tafuteni kingine cha kuongea!
 
Msiwe mnawapandisha thamani wachezaji kwa kupitia mgongo wa yanga, yanga wangetaka kumchukua uyo mchezaji wangeshamchukua siku nyingi, yanga awakuwa na mpango nae Wala kocha akuwai kumhitaji tafuteni kingine cha kuongea!
Yule afisa msemaji asingekuja na mikataba mbele ya kamera kulia lia kama anayetakwa anapatikana.
 
Bumunda nyingine hii hapa🤭
 
Msiwe mnawapandisha thamani wachezaji kwa kupitia mgongo wa yanga, yanga wangetaka kumchukua uyo mchezaji wangeshamchukua siku nyingi, yanga awakuwa na mpango nae Wala kocha akuwai kumhitaji tafuteni kingine cha kuongea!
Kagoma ulikuwa mpango wa nani pale utopoloni
 
Msiwe mnawapandisha thamani wachezaji kwa kupitia mgongo wa yanga, yanga wangetaka kumchukua uyo mchezaji wangeshamchukua siku nyingi, yanga awakuwa na mpango nae Wala kocha akuwai kumhitaji tafuteni kingine cha kuongea!
KAGOMA VIPI MBONA HAMKUMCHUKUA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…