Ellie Mpanzu asaini Msimbazi

Umesema ukweli mkuu....Kuna vitu vinachekesha Sana kwa kweli
 
Utasema ana level za kina ronaldo mnavyoshangaa kwanza mchezaji kama ni mzuri asingefeli ulaya kimemshinda nini mpaka aje acheze huku kajamba nani
Huyo pacome na Aziz K mnaowasifia kuwa bora kwanini wako hapa hawachezi ulaya??
 
Manzoki mwingine? Hiyo ni kawaida yenu kwa usajili wa kusadikika!
 
Atacheza namba ngapi pale Yanga? Labda asajiliwe kuja kumsaidia Jimmy Kindoki pale Jangwani.
Mnaongeaga hivyohivyo ila mwisho wa msimu mnaenda hukohuko kufata wachezaji, niwataje kwa majina?
 
Atacheza namba ngapi pale Yanga? Labda asajiliwe kuja kumsaidia Jimmy Kindoki pale Jangwani.
Mnaongeaga hivyohivyo ila mwisho wa msimu mnaenda hukohuko kufata wachezaji, niwataje kwa majina?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…