Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
- Thread starter
-
- #61
Umesema ukweli mkuu....Kuna vitu vinachekesha Sana kwa kweliUjinga kweli mzigo. kwahiyo kuchukua ubingwa kunafanyeje utopolo wasiwe wakurupukaji? Mnasema kagoma hawezi cheza utopolo, Simba wakamchukua, then mnalia lia kwenye media kwamba ni mchezaji wenu. Sasa mlimsajiri wa nn kama hana huko. Tuwaiteje kama sio wakurupukaji?
Halafu b4 hujachukua hiyo misimu mi3 nani alikuwa mbabe wako kwa misimu m4? Utopolo hamjawahi kujielewa asee
Huyo pacome na Aziz K mnaowasifia kuwa bora kwanini wako hapa hawachezi ulaya??Utasema ana level za kina ronaldo mnavyoshangaa kwanza mchezaji kama ni mzuri asingefeli ulaya kimemshinda nini mpaka aje acheze huku kajamba nani
Manzoki mwingine? Hiyo ni kawaida yenu kwa usajili wa kusadikika!Aliyekuwa mchezaji wa As vita ya DR Congo Ellie Mpanzu yupo nchini kusaini mkataba wa awali wa kucheza Simba baada ya Dili lake ubelgiji kushindikana
Mpanzu kasaini miaka mitatu na atajiunga na kikosi Cha Simba kuendelea na ratiba za mazoezi kusubiri mpaka dirisha litakapo funguliwa ili aingizwe rasmi ktk mfumo
Inasemekana Yanga walikuwa wanammendea pia ( kimya kimya ) ndio maana mnyama wakaamua kumvuta mapema
Mnaongeaga hivyohivyo ila mwisho wa msimu mnaenda hukohuko kufata wachezaji, niwataje kwa majina?Atacheza namba ngapi pale Yanga? Labda asajiliwe kuja kumsaidia Jimmy Kindoki pale Jangwani.
Mnaongeaga hivyohivyo ila mwisho wa msimu mnaenda hukohuko kufata wachezaji, niwataje kwa majina?Atacheza namba ngapi pale Yanga? Labda asajiliwe kuja kumsaidia Jimmy Kindoki pale Jangwani.