Elon Musk aanza kufanya uhakiki wa watumishi hewa nchini Marekani

Elon Musk aanza kufanya uhakiki wa watumishi hewa nchini Marekani

Najua kuna watumishi wa serikali mafisadi,wazembe,wezi walioko dunia ya tatu especially Tanzagiza sasa hivi watakuwa wanamchukia sana Trump na Elon kama ambavyo walimchukia Magu, maana Trump anawakumbusha mateso ambayo waliwahi kupitishwa na chuma miaka ile... View attachment 3246417
Trump ni ressuruction ya Magufuli iliofanyika USA🤣!!! Ni mwendo ule ule wa ubatizo wa moto
 
Email tayari zishaanza kutumwa Kwa watumishi👇

Wanapaswa kuelezea Kwa point 5, mambo waliyofanya kazini wiki iliyopita.

Deadline Ni JUMATATU saa 5 asbuhi😅👇
 

Attachments

  • IMG_20250223_143619.png
    IMG_20250223_143619.png
    46.8 KB · Views: 2
Magufuli alikua mbele ya muda...
Sana tu, na yule mtu angezaliwa mataifa ya huko kwa wenzetu, pengine angeweza kuwa ni moja ya notable figures ambao historia yao inafuatiliwa na ulimwengu...

Mtu yule kuondoka mapema kiasi kile ilikuwa ni pigo kubwa sana kwa taifa, japo najua kuna wapumbavvu mafisadi na machawa wao huwa kila wakiskia jina lake wanapatwa na kwikwi.
 
Trump ni ressuruction ya Magufuli iliofanyika USA🤣!!! Ni mwendo ule ule wa ubatizo wa moto
Trump ni embodiment ya kiongozi imara,shupavu,mzalendo na mwenye maono.... na siku zote huwa wanakuwa na maadui wengi sana hasa wa ndani ya mataifa yao.

Ukifuatilia wengi wanaomchukia Trump ni wamarekani wenyewe hasa waliokuwa ni wanufaika wa utawala mbovu wa Biden uliokuwa umejaa ufisadi na rushwa na mambo mengi ya ovyo ovyo...

hata hapa kwetu ukifuatilia wanaochukizwa na kumpondea Trump kwanzia kwenye huu huu uzi ni machawa wa Samia, siku zote wezi,mafisadi na wazembe huwa wanazipenda sana tawala mbovu na dhaifu na wanachukizwa sana na viongozi imara na wazalendo aina ya Trump.
 
Manina zako ku.ma wewe
Huyo jamaa ni moja ya machawa ambao kwa uchangiaji wake wa mada tu humu ndani inaonesha hata form four hakumaliza, na ni obvious kama sio yeye basi baba yake ambaye alikuwa analisha familia ya nyumbani kwao alikutana na rungu la jpm, na ndio maana mpaka leo kila akiskia jina Magufuli anapatwa na tumbo la kuhara
 
Back
Top Bottom