Elon Musk aanza kufanya uhakiki wa watumishi hewa nchini Marekani

Elon Musk aanza kufanya uhakiki wa watumishi hewa nchini Marekani

Ni ujinga tu. sasa wakimjibu nani atazisoma email zote hizo?

Atajuaje ukweli wa hizo email au ni kutaka kujipa ujuaji kwa kitu kisichowezekana.
 
Ndio maana nasema wafuasi wa JPM ni wajinga jinga. Sasa hapa unasema kuhusu majizi, unasahau Mwanyika ambaye ndio alisababisha tuingie hasara ya Matrillioni kupitia makinikia sio tu alifutiwa mashtaka bali alipewa ubunge na kufanyiwa kampeni na JPM!! ila unavyoongea hapa utadhani JPM alikua serious kupambana na wezi!!
Mjinga ni mama yako mzazi mbwea wewe, na Magufuli ataendelea kukuumiza mpaka unaingia kaburini falaa wewe, maana traum aliyokuacha nayo sio ya kupona leo wala kesho...

Magufuli atendelea kukumbukwa kama moja ya maraisi bora kuwahi kutokea hapa nchini, na ndio maana mpaka leo bado yupo mioyoni mwa watanzania wengi na haiitaji kuimbwa bibi yako wa kizanzibari dalala wa rasimali za taifa letu.

Kamwambie na mumeo kibaraka zitto kwamba licha
Aniumize kwa lipi? Zaidi nafurahi tu maana nchi ilikua inaelekea shimoni kabisa!! Ilifika hatua hadi CAG anakatazwa kukagua manunuzi ya ndege na mfuko wa Rais!! Ila wajinga wanakwambia eti msafi!! Sasa msafi anaogopa ukaguzi wa nini? Mkiitwa wajinga mnapanic.

Anakumbukwa na nani? Mbona waliomtukana JPM ndio mmewapa uongozi huko CCM? Ona CCM wanavyompiga vijembe kila siku mngekua mnampenda si mngewakataa hao viongozi?

Haya maadhimisho ya mazishi kule chato hawakuzidi watu 200!! Nilitegemea mngejaza watu malaki.... mnampenda kwa maneno tu ila vitendo zero.
Kumchafua ili iweje kwani akiwa msafi au akiwa mchafu anafaida au madhara gani kwa chadema? Mfano 2025, mgombea wa CCM ni anti-JPM, Lissu ni anti-JPM na zitto ni anti-JPM sasa embu niambie hao wote hawampendi JPM na ndio potential presidential candidates je kupendwa kwa JPM kutamuathiri nani?

Kwa comment hii naweza ona aina ya wafuasi wa JPM yaani zero IQ kabisa alafu mkiitwa wajinga mnapanic. Jibu hoja kwanini JPM alizuia CAG asikague TGFA na mfuko wa Rais kama ni msafi?
Haya endelea kupambana na marehemu mpaka kiama chako mtoto wa kahaba wewe.

Hayo maswali nenda kamuulize mume wako kibaraka zitto na huyo cag au wakishindwe kukujibu kamuulize mama ako.
 
Wakuu,

Taasisi iliyoanzishwa na Rais Donald Trump ya Ukaguzi wa Ufanisi WA serikali ya marekani (GOVERNMENT EFFICIENT) chini ya mkurugenzi wake yaani DOGE-(Director of Government Efficient) Bwana Elon Musk.

Sasa imepewa jukumu la uhakiki WA serikali kuu kwa watumishi hewa na wale watumishi wasiowajibika ipasavyo.

Katika kuanza Kazi yake, Bw. Elon musk ameandika kupitia ukurasa wake WA "X" kua,

"Kufuatia utelekezaji WA maelekezo ya Raisi Donald Trump, Hivi punde watumishi wote wa serikali kuu watapokea EMAIL zinazowataka kuelezea utendaji wao kazini Kwa wiki iliyopita"
Kushindwa kujibu hiyo email itachukuliwa tayari umejiuzulu"


==================================================

Federal workers across the U.S. government received an email on Saturday afternoon asking them to account for what they did in the past week — and Elon Musk says they will lose their jobs if they don't respond.


The emails arrived several hours after Musk, who is leading the Department of Government Efficiency team that has orchestrated the mass firings of at least 20,000 government workers over the past month, gave notice about the apparent ultimatum.

"Consistent with President @realDonaldTrump's instructions, all federal employees will shortly receive an email requesting to understand what they got done last week," Musk wrote on X, which he owns. The post ends: "Failure to respond will be taken as a resignation."

The emails, which NPR has confirmed, were sent by the Office of Personnel Management (OPM). They ask workers to reply and provide "approx. 5 bullets of what you accomplished last week and cc your manager," and give a deadline of Monday 11:59 p.m. ET. They ask that no classified information be shared.

OPM said in a statement that the emails are "part of the Trump Administration's commitment to an efficient and accountable federal workforce," and that "agencies will determine any next steps."

The legality of the request is questionable, given it was made directly by OPM and not by agencies themselves. Many federal workers are covered by civil service protections that prevent them from being fired without cause.

Source: NHPR

Kumbe tumewawahi hata PEPMIS walikuwa hawana...?
 
MAGUFULI haters ukilitaja tu hilo jina wanatokwa povu utafikiri wamebwia omo
M$enge sana huyu jamaa yaani kwa jinsi anavyohemkwa kila akiona jina la magufuli humu ndani angekuwa mwanamke nahisi angekuwa anapatwa na period ya ghafla...

Huyu dhairi ni miongoni mwa maadui wa taifa ambao magu alijua kudeal nao effectively, huyu ni chawa wa zitto na wote tunajua zitto alivyokuwa kibaraka wa mabeberu, zitto alikuwa anakosoa kila kitu kinachofanywa na magu... mpaka watu wakamuona baada ya lisu yeye ndio mzalendo jasiri anayefuata...awamu hii yeye na wafuasi wa chama chake wamegeuka kuwa machawa wa samia akiwemo huyu mpumbavvu hapa wakujiita zitto jnr.

kuna mambo mengi sana ya ovyo yanavyofanywa na serikali ya samia ambayo yanahatarisha ustawi wa taifa, lakini humsikii zitto akifungua mdomo wake kuyaongelea kama alivyokuwa anafanya kipindi cha Jpm, hii tu peke yake inakuonesha hawa ni vibaraka na wanamchukia jpm si kwa mabaya wanaojaribu kutuaminisha humu sijui ununuzi wa ndege sijui udikteta, bali wanamchukia sababu aliwakomesha kwenye nyendo zao chafu za usaliti za kuliumiza taifa.. sasa hivi wamefungwa midomo na asali wamebaki kupiga mapambio tu huku rasilimali zikiuzwa, halafu eti wanajiita wazalendo wapumbavvu kweli hawa... na magu ataendelea kuwakomesha akiwa huko huko kaburini wassenge hawa
 
Hayo maswali nenda kamuulize mume wako kibaraka zitto na huyo cag au wakishindwe kukujibu kamuulize mama ako.
We si unapotosha jamaa alikua mzalendo ndio ujibu sasa; kama JPM ni mzalendo kwanini alikataa CAG asikague manunuzi ya ndege? Na kwanini alikataa mfuko wa Rais usikaguliwe?

Ukijibu hili swali ndio utamaliza mjadala.
 
wanamchukia sababu aliwakomesha kwenye nyendo zao chafu za usaliti za kuliumiza taifa..
Hahahhaha JPM lunatics!! Yaani mafisadi kina Chenge, Muhongo, Mwanyika yalineemeka kipindi cha JPM alafu waje kuumia kina zitto? Kwa access ipi ya mali za umma alizonazo zitto au mpinzani yoyote??

Sis tunachopinga ni hadaa zenu kuwa JPM alikua mzalendo sijui msafi wakati hakuna ripoti ya CAG ambayo hakukuwa na audit queries kwa serikali. In fact CAG hadi alipungiziwa bajeti kutoka 80 B mpaka 40B yaani mkaguliwa anapunguza bajeti ya mkaguaji!! Alafu mlivyo wajinga mko busy kusifia eti alikua mzalendo.
 
Hivi Elon pamoja na utabiri wote huo bado analipwa mshahara na serikali ya Marekani?Nauliza tu
 
Back
Top Bottom