Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao majizi,wabadhirifu,wazembe hawana la kufanya kwa Elon Musk zaidi ya kulia lia tu wakitafuta huruma na kuandamana...Huy
Huyu Elon na Trump Ni fagio la chuma,
Wazee WA kutoa mlungula, sijui Elon akikufikia utampa mlungula Bei gani😅
Yule Bwana Alikua hatari sana. Angekuwepo mpaka Leo Tanzania ingekua mbali sana kimaendeleo.Nakumisi Mh Magufuli
Kwanin wahuni?USA inaongozwa na wahuni.
Unaniuliza kwa nini wahuni wakati huo huo unasema mimi ni mnufaika nadhani tubaki na hilo jibu lako la mwisho maana wabongo kwa kuongea bila kuudhi au kutukana hamuwezi kabisa..Kwanin wahuni?
Kuna utawala wa kihuni zaidi ya ule unaolea ufisadi?
Bila shaka wewe ni mnufaika wa tawala mbovu zilizogubikwa na ufisadi,rushwa,uzembe na matabaka.
Hivi neno mhuni alimuhudhi unapo mtamkia mwenzako au alikuhudhi unapotamkiwa wewe?Unaniuliza kwa nini wahuni wakati huo huo unasema mimi ni mnufaika nadhani tubaki na hilo jibu lako la mwisho maana wabongo kwa kuongea bila kuudhi au kutukana hamuwezi kabisa..
Achana na huyo, paradim yake imeshaguswa na DOGE akamkumbusha mwenda zakeHivi neno mhuni alimuhudhi unapo mtamkia mwenzako au alikuhudhi unapotamkiwa wewe?
... ... AAHOOO!Najua kuna watumishi wa serikali mafisadi,wazembe,wezi walioko dunia ya tatu especially Tanzagiza sasa hivi watakuwa wanamchukia sana Trump na Elon kama ambavyo walimchukia Magu, maana Trump anawakumbusha mateso ambayo waliwahi kupitishwa na chuma miaka ile... View attachment 3246417
... badilisha tu secretary, yaani siku akija kukukagua kwanza apokelewe na kitu 'catalogue'!Huy
Huyu Elon na Trump Ni fagio la chuma,
Wazee WA kutoa mlungula, sijui Elon akikufikia utampa mlungula Bei gani😅
Mzimu wa Magu unaendesha serikali ya Marekani. Wafanyanyakazi wa serikali ya US cha moto watakiona mwaka huu.Taasisi iliyoanzishwa na RIASI DONALD TRUMP ya Ukaguzi wa Ufanisi WA serikali ya marekani (GOVERNMENT EFFICIENT) chini ya mkurugenzi wake yaani DOGE-(Director of Government Efficient) Bwana Elon Musk.
Sasa imepewa jukumu la uhakiki WA serikali kuu kwa watumishi hewa na wale watumishi wasiowajibika ipasavyo.
Katika kuanza Kazi yake, Bw. Elon musk ameandika kupitia ukurasa wake WA "X" kua,
"Kufuatia utelekezaji WA maelekezo ya Raisi Donald Trump, Hivi punde watumishi wote WA serikali kuu watapokea EMAIL zinazowataka kuelezea utendaji wao kazini Kwa wiki iliyopita.
Kushindwa kujibu hiyo EMAIL itachukuliwa tayari umejiuzulu"
View attachment 3246370
JPM hakua smart, usimlinganishe na Trump/Musk. Mfano wafanyakazi hewa aliwapunguza ila nafasi zilizokua overlapping kwa kazi moja mfano DC, DAS, Mwenyekiti wa halmashauri zikabaki vilevile. Ilipaswa aweke katiba mpya ili kupunguza nafasi zisizo na tija.Magufuli alikua mbele ya muda...
Mbona Makonda cheti feki na hakufanywq chochote? JPM was overrated na wajingaKama sio cheti feki jua tu huyu ni mkwepa kodi
Wahuni kuliko wapi?USA inaongozwa na wahuni.
Ukiwataja Puerto Rico unapewa kesi mazee..Wahuni kuliko wapi?
wewe jamaa ukiskiaga au kuona JPm katajwa sehemu yoyote huwa unehemkwa sana, ungekuwa mwanamke nafikiri ungekuwa unapata period ya ghalfa mara kwa mara mbweha wewe.... mtu alishakufa ila bado anakutesa tuJPM hakua smart, usimlinganishe na Trump/Musk. Mfano wafanyakazi hewa aliwapunguza ila nafasi zilizokua overlapping kwa kazi moja mfano DC, DAS, Mwenyekiti wa halmashauri zikabaki vilevile. Ilipaswa aweke katiba mpya ili kupunguza nafasi zisizo na tija.
Haya kuna mashirika yanaingiliana majukumu kama Baraza la uwezeshaji kiuchumi, baraza la maendeleo ya taifa n.k ni overlapping ila hakuunganisha haya mashirika.
Yule alikua anaendeshwa na chuki tu hakudhamiria kupunguza wafanyakazi au taasisi hewa.
Blah blah kivipi wakati nimeeleza kulikua na kazi zina overalap na mashirika yanaingiliana kazi ila JPM hakuyafuta au kuunganisha!! Ni tofauti na anachofanya Musk sio tu kuondoa wafanyakazi hewa ila kufuta mashirika yasiyo na tija na kupunguza wafanyakazi wasio na tija au kazi zinazoingiliana. Sasa wanafanana vipi na huyo shetani wenu?Comment yako imejaa blah blah ambazo hazina mantiki yoyote zaidi ya chuki
Wajinga ndio aliwashika akili, sasa mwenge unakula mabilion za kodi mbona hakufuta? Mbona hakupunguza posho za wabunge? Kwenye vyeti feki mbona aliacha kina Makonda eti kisa sio nafasi ya kiutendaji!!tunachojuq sisi Jpm alithubutu kuondoa wafanyakazi hewa serikalini ambapo kodi za wanainchi zilikuwa zinapotelea huko
Magu yupi? JPM alishindwa kufuta mwenge ila huyu Musk angefuta!! So huyo shetani haingii hata robo kwa Trump.Trump anatembea na biti za Magu mpaka awanyooshe.
Huyo Elon na Trump wanatafuta kuuawa tu hawana lolote....wameshashiba corn flakes na maziwa.Taasisi iliyoanzishwa na RIASI DONALD TRUMP ya Ukaguzi wa Ufanisi WA serikali ya marekani (GOVERNMENT EFFICIENT) chini ya mkurugenzi wake yaani DOGE-(Director of Government Efficient) Bwana Elon Musk.
Sasa imepewa jukumu la uhakiki WA serikali kuu kwa watumishi hewa na wale watumishi wasiowajibika ipasavyo.
Katika kuanza Kazi yake, Bw. Elon musk ameandika kupitia ukurasa wake WA "X" kua,
"Kufuatia utelekezaji WA maelekezo ya Raisi Donald Trump, Hivi punde watumishi wote WA serikali kuu watapokea EMAIL zinazowataka kuelezea utendaji wao kazini Kwa wiki iliyopita.
Kushindwa kujibu hiyo EMAIL itachukuliwa tayari umejiuzulu"
View attachment 3246370