Elon Musk aanza kufanya uhakiki wa watumishi hewa nchini Marekani

Elon Musk aanza kufanya uhakiki wa watumishi hewa nchini Marekani

Blah blah kivipi wakati nimeeleza kulikua na kazi zina overalap na mashirika yanaingiliana kazi ila JPM hakuyafuta au kuunganisha!! Ni tofauti na anachofanya Musk sio tu kuondoa wafanyakazi hewa ila kufuta mashirika yasiyo na tija na kupunguza wafanyakazi wasio na tija au kazi zinazoingiliana. Sasa wanafanana vipi na huyo shetani wenu?


Wajinga ndio aliwashika akili, sasa mwenge unakula mabilion za kodi mbona hakufuta? Mbona hakupunguza posho za wabunge? Kwenye vyeti feki mbona aliacha kina Makonda eti kisa sio nafasi ya kiutendaji!!

Yule jamaa alijua kufanya maigizo na wajinga mkaingia kingi. Hiki anachofanya Musk ndio haswaa alipaswa kufanya JPM ila ndio hivyo nchi ya wajinga hii
Ungekuwa una akili timamu timilifu wala hata usingeangaika kuandika uharo wote huu MPUMBAVVU wewe,

Nimesema haijalishi zoezi lake lilikuwa lina ufanisi kiasi gani ila ule uthubutu tu ni hatua kubwa yakuelekea kwenye huo usahihi unaousema.. ila kwa sababu kichwa chako kimejaza chuki na makamasi umekimbilia kuandika vitu ambavyo wala hata havikuwa na ulazima kuviandika hapa...

Haya endelea kuumia hapo kisha ukimaliza uende ukamuadithie na mume wako zito kabwe kwamba huko JF kuna watu bado wanamkubali Jpm, kubwa jinga wewe.

Hili kuonesha tu wewe kimburu bado unaumizwa na Jpm angalia umeacha kabisa kiini cha hii mada na umedakia kujibu comments zilizomtaja magufuli, na dhairi ataendelea kukuumiza mpaka kufa kwako...

Halafu kwa upeo wangu nimekuja kugundua nyie wapumbaavu ambao mnajifanya eti ndio watanzania wenye akili na kudharau wengine huwa ni majizi tu na vibaraka tukianza na huyo mume wako zitto kabwe...

Yaani mtu akiwa tofauti na nyie kimtazamo tu basi huyo kwenu mnaomuona mjinga, wassenge kweli nyie na idol wako, kafie mbele huko
 
Halafu kwa upeo wangu nimekuja kugundua nyie wapumbaavu ambao mnajifanya eti ndio watanzania wenye akili na kudharau wengine huwa ni majizi tu na vibaraka tukianza na huyo mume wako zitto kabwe
Ndio maana nasema wafuasi wa JPM ni wajinga jinga. Sasa hapa unasema kuhusu majizi, unasahau Mwanyika ambaye ndio alisababisha tuingie hasara ya Matrillioni kupitia makinikia sio tu alifutiwa mashtaka bali alipewa ubunge na kufanyiwa kampeni na JPM!! ila unavyoongea hapa utadhani JPM alikua serious kupambana na wezi!!
 
JPM hakua smart, usimlinganishe na Trump/Musk. Mfano wafanyakazi hewa aliwapunguza ila nafasi zilizokua overlapping kwa kazi moja mfano DC, DAS, Mwenyekiti wa halmashauri zikabaki vilevile. Ilipaswa aweke katiba mpya ili kupunguza nafasi zisizo na tija.

Haya kuna mashirika yanaingiliana majukumu kama Baraza la uwezeshaji kiuchumi, baraza la maendeleo ya taifa n.k ni overlapping ila hakuunganisha haya mashirika.

Yule alikua anaendeshwa na chuki tu hakudhamiria kupunguza wafanyakazi au taasisi hewa.
Aliunganisha na kufuta mashirika kibao sema hakumaliza yote JPM alikuwa smart ya ya hao mabwana hata wao hawatamaliza hiyo kazi
 
Aliunganisha na kufuta mashirika kibao sema hakumaliza yote JPM alikuwa smart ya ya hao mabwana hata wao hawatamaliza hiyo kazi
Mbona NIDA ilimshinda mpaka samia amekuja ndio vitambulisho vinatoka na shirika kuunganishwa na RITA. Imagine JPM na ubabe wote ule ila NIDA ilimshinda alafu unasema kuna mashirika yasiyo na tija yalifutwa?
 
Mbona NIDA ilimshinda mpaka samia amekuja ndio vitambulisho vinatoka na shirika kuunganishwa na RITA. Imagine JPM na ubabe wote ule ila NIDA ilimshinda alafu unasema kuna mashirika yasiyo na tija yalifutwa?
Hata kipindi kile vitambulisho vilikuwa vinatoka hata Sasa pia Kuna watu wanazungushwa kwaajiri ya vitambulisho vya NIDA sio Kwa kuwa wewe umepata Leo basi uone Sasa ndo vinatoka.

Cha pili ni lini NIDA na RITA vimeunganishwa.
 
Kwaiyo kati ya RITA na NIDA ni taasisi ipi imefutwa ili ibaki moja?
Hazijafutwa ila zimeunganishwa kuunda taasisi moja tu ya utambuzi wa matukio muhimu maishani. Kma tu mashirika mengine 16 yalivyounganishwa kuunda taasisi mpya 7 hivi.
 
Hazijafutwa ila zimeunganishwa kuunda taasisi moja tu ya utambuzi wa matukio muhimu maishani. Kma tu mashirika mengine 16 yalivyounganishwa kuunda taasisi mpya 7 hivi.
Basi hazijuangana ila zinashare taarifa kuunganisha ni kama alivyofanya magufuli kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii
 
Unaniuliza kwa nini wahuni wakati huo huo unasema mimi ni mnufaika nadhani tubaki na hilo jibu lako la mwisho maana wabongo kwa kuongea bila kuudhi au kutukana hamuwezi kabisa..
Hebu niambie uhuni wa Elon Musk na Donald Trump uko wapi hapo?

Kwamba kuondoa ubadhirifu serikalini ni uhuni?

Wewe akili zako zimekaa kiibilisi, maana hata ibilisi na wafuasi wake huwa wanaamini Mungu ni katili sana.

binadamu waliozoea kuishi maisha ya kifisadi, wizi na ujanja ujanja huwa mnamchukia sana mtu ambaye ana uthubutu wa kuharibu mfumo wenu wa maisha, hata kama haukugusi wewe moja kwa moja....

Jaribu kufuatilia hata humu JF wengi wanaompondea Trump na Elon ni wafuasi wa Samia na Kikwete.. na sote tunajua mashabiki wa samia na kikwete ni watanzania wa aina gani, walizoea kuishi maisha gani...
 
Ndio maana nasema wafuasi wa JPM ni wajinga jinga. Sasa hapa unasema kuhusu majizi, unasahau Mwanyika ambaye ndio alisababisha tuingie hasara ya Matrillioni kupitia makinikia sio tu alifutiwa mashtaka bali alipewa ubunge na kufanyiwa kampeni na JPM!! ila unavyoongea hapa utadhani JPM alikua serious kupambana na wezi!!
Mjinga ni mama yako mzazi mbwea wewe, na Magufuli ataendelea kukuumiza mpaka unaingia kaburini falaa wewe, maana trauma aliyokuacha nayo sio ya kupona leo wala kesho...

Magufuli atendelea kukumbukwa kama moja ya maraisi bora kuwahi kutokea hapa nchini, na ndio maana mpaka leo bado yupo mioyoni mwa watanzania wengi na haiitaji kuimbwa wala kuwekewa mabango kila mahali kama bibi yako wa kizanzibari dalali wa rasimali za taifa letu.

Kamwambie na mumeo kibaraka zitto kwamba licha ya kampeni zenu za kumchafua Magu, ila bado watanzania wanampenda na hamuwaambii chochote watanzania kuhusu yeye...

Haya baada ya kusoma comment hii rudi ukasafishe viatu vya abdul maana naskia ndio anawaweka mjini awamu hii wewe na mumeo Zitto kabwe yule mchawi wa kigoma.
 
Basi hazijuangana ila zinashare taarifa kuunganisha ni kama alivyofanya magufuli kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii
Nimekuwekea link ya tangazo la serikali taasisi inakua mpya kabisa yenye kuunganisha majukumu ya NIDA na RITA!! hapa wapo kwenye transition period. Na sio RITA tu kuna mashirika zaidi ya 16 yaliunganishwa mfano baraza la uwezeshaji kiuchumi na shirika la taifa la maendeleo!! Kwahiyo yanaunganishwa kabisa MERGING sio cooperation.
 
Mjinga ni mama yako mzazi mbwea wewe, na Magufuli ataendelea kukuumiza mpaka unaingia kaburini falaa wewe, maana trauma aliyokuacha nayo sio ya kupona leo wala kesho...

Magufuli atendelea kukumbukwa kama moja ya maraisi bora kuwahi kutokea hapa nchini, na ndio maana mpaka leo bado yupo mioyoni mwa watanzania wengi na haiitaji kuimbwa wala kuwekewa mabango kila mahali kama bibi yako wa kizanzibari dalali wa rasimali za taifa letu.

Kamwambie na mumeo kibaraka zitto kwamba licha ya kampeni zenu za kumchafua Magu, ila bado watanzania wanampenda na hamuwaambii chochote watanzania kuhusu yeye...

Haya baada ya kusoma comment hii rudi ukasafishe viatu vya abdul maana naskia ndio anawaweka mjini awamu hii wewe na mumeo Zitto kabwe yule mchawi wa kigoma.
MAGUFULI haters ukilitaja tu hilo jina wanatokwa povu utafikiri wamebwia omo
 
Magufuli ataendelea kukuumiza mpaka unaingia kaburini
Aniumize kwa lipi? Zaidi nafurahi tu maana nchi ilikua inaelekea shimoni kabisa!! Ilifika hatua hadi CAG anakatazwa kukagua manunuzi ya ndege na mfuko wa Rais!! Ila wajinga wanakwambia eti msafi!! Sasa msafi anaogopa ukaguzi wa nini? Mkiitwa wajinga mnapanic.
Magufuli atendelea kukumbukwa kama moja ya maraisi bora kuwahi kutokea hapa nchini, na ndio maana mpaka leo bado yupo
Anakumbukwa na nani? Mbona waliomtukana JPM ndio mmewapa uongozi huko CCM? Ona CCM wanavyompiga vijembe kila siku mngekua mnampenda si mngewakataa hao viongozi?

Haya maadhimisho ya mazishi kule chato hawakuzidi watu 200!! Nilitegemea mngejaza watu malaki.... mnampenda kwa maneno tu ila vitendo zero.
Kamwambie na mumeo kibaraka zitto kwamba licha ya kampeni zenu za kumchafua Magu, ila bado watanzania wanampenda na hamuwaambii chochote watanzania kuhusu yeye...
Kumchafua ili iweje kwani akiwa msafi au akiwa mchafu anafaida au madhara gani kwa chadema? Mfano 2025, mgombea wa CCM ni anti-JPM, Lissu ni anti-JPM na zitto ni anti-JPM sasa embu niambie hao wote hawampendi JPM na ndio potential presidential candidates je kupendwa kwa JPM kutamuathiri nani?
Haya baada ya kusoma comment hii rudi ukasafishe viatu vya abdul maana naskia ndio anawaweka mjini awamu hii wewe na mumeo Zitto kabwe yule mchawi wa kigoma
Kwa comment hii naweza ona aina ya wafuasi wa JPM yaani zero IQ kabisa alafu mkiitwa wajinga mnapanic. Jibu hoja kwanini JPM alizuia CAG asikague TGFA na mfuko wa Rais kama ni msafi?
 
Nimekuwekea link ya tangazo la serikali taasisi inakua mpya kabisa yenye kuunganisha majukumu ya NIDA na RITA!! hapa wapo kwenye transition period. Na sio RITA tu kuna mashirika zaidi ya 16 yaliunganishwa mfano baraza la uwezeshaji kiuchumi na shirika la taifa la maendeleo!! Kwahiyo yanaunganishwa kabisa MERGING sio cooperation.
Sawa Kwa mtazamo wako unaona zimeunganishwa?
 
Back
Top Bottom