Trump ni ressuruction ya Magufuli iliofanyika USA🤣!!! Ni mwendo ule ule wa ubatizo wa motoNajua kuna watumishi wa serikali mafisadi,wazembe,wezi walioko dunia ya tatu especially Tanzagiza sasa hivi watakuwa wanamchukia sana Trump na Elon kama ambavyo walimchukia Magu, maana Trump anawakumbusha mateso ambayo waliwahi kupitishwa na chuma miaka ile... View attachment 3246417
Huyu siyo hasira pekee, hata uwezo wake wa kufikiri ana tatizo!Sasa hasira za nini mamii?
Umepiga Pentagon
Akague vyeti vyao vya taaluma na ikibidi watumbuliwe ☹🤪Magufuli alikua mbele ya muda...
Sana tu, na yule mtu angezaliwa mataifa ya huko kwa wenzetu, pengine angeweza kuwa ni moja ya notable figures ambao historia yao inafuatiliwa na ulimwengu...Magufuli alikua mbele ya muda...
Trump ni embodiment ya kiongozi imara,shupavu,mzalendo na mwenye maono.... na siku zote huwa wanakuwa na maadui wengi sana hasa wa ndani ya mataifa yao.Trump ni ressuruction ya Magufuli iliofanyika USA🤣!!! Ni mwendo ule ule wa ubatizo wa moto
Mzee unaishi dunia gani?Sitaki kuamini kama marekani napo kuja wafanyakazi hewa
Punguza hasira, katafute index namba ya form 4.Mfuate we bwege
Huyo jamaa ni moja ya machawa ambao kwa uchangiaji wake wa mada tu humu ndani inaonesha hata form four hakumaliza, na ni obvious kama sio yeye basi baba yake ambaye alikuwa analisha familia ya nyumbani kwao alikutana na rungu la jpm, na ndio maana mpaka leo kila akiskia jina Magufuli anapatwa na tumbo la kuharaManina zako ku.ma wewe
Sio mwezi tu toka tumchagueHuku Bongo mbunge haonekani jimboni mwake mwezi mzima na wananchi wanachekelea tu.