Elon Musk aanza kufanya uhakiki wa watumishi hewa nchini Marekani

Ni ujinga tu. sasa wakimjibu nani atazisoma email zote hizo?

Atajuaje ukweli wa hizo email au ni kutaka kujipa ujuaji kwa kitu kisichowezekana.
 
Mjinga ni mama yako mzazi mbwea wewe, na Magufuli ataendelea kukuumiza mpaka unaingia kaburini falaa wewe, maana traum aliyokuacha nayo sio ya kupona leo wala kesho...

Magufuli atendelea kukumbukwa kama moja ya maraisi bora kuwahi kutokea hapa nchini, na ndio maana mpaka leo bado yupo mioyoni mwa watanzania wengi na haiitaji kuimbwa bibi yako wa kizanzibari dalala wa rasimali za taifa letu.

Kamwambie na mumeo kibaraka zitto kwamba licha
Haya endelea kupambana na marehemu mpaka kiama chako mtoto wa kahaba wewe.

Hayo maswali nenda kamuulize mume wako kibaraka zitto na huyo cag au wakishindwe kukujibu kamuulize mama ako.
 
Kumbe tumewawahi hata PEPMIS walikuwa hawana...?
 
MAGUFULI haters ukilitaja tu hilo jina wanatokwa povu utafikiri wamebwia omo
M$enge sana huyu jamaa yaani kwa jinsi anavyohemkwa kila akiona jina la magufuli humu ndani angekuwa mwanamke nahisi angekuwa anapatwa na period ya ghafla...

Huyu dhairi ni miongoni mwa maadui wa taifa ambao magu alijua kudeal nao effectively, huyu ni chawa wa zitto na wote tunajua zitto alivyokuwa kibaraka wa mabeberu, zitto alikuwa anakosoa kila kitu kinachofanywa na magu... mpaka watu wakamuona baada ya lisu yeye ndio mzalendo jasiri anayefuata...awamu hii yeye na wafuasi wa chama chake wamegeuka kuwa machawa wa samia akiwemo huyu mpumbavvu hapa wakujiita zitto jnr.

kuna mambo mengi sana ya ovyo yanavyofanywa na serikali ya samia ambayo yanahatarisha ustawi wa taifa, lakini humsikii zitto akifungua mdomo wake kuyaongelea kama alivyokuwa anafanya kipindi cha Jpm, hii tu peke yake inakuonesha hawa ni vibaraka na wanamchukia jpm si kwa mabaya wanaojaribu kutuaminisha humu sijui ununuzi wa ndege sijui udikteta, bali wanamchukia sababu aliwakomesha kwenye nyendo zao chafu za usaliti za kuliumiza taifa.. sasa hivi wamefungwa midomo na asali wamebaki kupiga mapambio tu huku rasilimali zikiuzwa, halafu eti wanajiita wazalendo wapumbavvu kweli hawa... na magu ataendelea kuwakomesha akiwa huko huko kaburini wassenge hawa
 
Hayo maswali nenda kamuulize mume wako kibaraka zitto na huyo cag au wakishindwe kukujibu kamuulize mama ako.
We si unapotosha jamaa alikua mzalendo ndio ujibu sasa; kama JPM ni mzalendo kwanini alikataa CAG asikague manunuzi ya ndege? Na kwanini alikataa mfuko wa Rais usikaguliwe?

Ukijibu hili swali ndio utamaliza mjadala.
 
wanamchukia sababu aliwakomesha kwenye nyendo zao chafu za usaliti za kuliumiza taifa..
Hahahhaha JPM lunatics!! Yaani mafisadi kina Chenge, Muhongo, Mwanyika yalineemeka kipindi cha JPM alafu waje kuumia kina zitto? Kwa access ipi ya mali za umma alizonazo zitto au mpinzani yoyote??

Sis tunachopinga ni hadaa zenu kuwa JPM alikua mzalendo sijui msafi wakati hakuna ripoti ya CAG ambayo hakukuwa na audit queries kwa serikali. In fact CAG hadi alipungiziwa bajeti kutoka 80 B mpaka 40B yaani mkaguliwa anapunguza bajeti ya mkaguaji!! Alafu mlivyo wajinga mko busy kusifia eti alikua mzalendo.
 
Hivi Elon pamoja na utabiri wote huo bado analipwa mshahara na serikali ya Marekani?Nauliza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…