Elon Musk akiwa na mtoto wake kipenzi X

Elon Musk akiwa na mtoto wake kipenzi X

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
20241208_095633.jpg

Tajiri Elon Musk aliyeteuliwa na Rais Trump kuongoza idara mpya ya Ufanisi wa Serikali, ameingia kwa mara ya kwanza kwenye ofisi za bunge la Marekani kwa ajili ya kufanya kikao huku akiwa amembeba mabegani mtoto wake kipenzi anayeitwa X. Elon anamkubali sana huyu mtoto wake.

Inasemekana huyu X amepandikizwa AI system kwenye ubongo wake.

Kiufupi uwezo wa akili wa X ni mara kumi ya binadamu genious.

Hapo kwenye kikao pamoja na umri wake kuwa mdogo alielewa agenda zote za kikao na ndie anayempa elon idea mpya za kiubunifu.
 
View attachment 3171909
Tajiri Elon Musk aliyeteuliwa na Rais Trump kuongoza idara mpya ya Ufanisi wa Serikali, ameingia kwa mara ya kwanza kwenye ofisi za bunge la Marekani kwa ajili ya kufanya kikao huku akiwa amembeba mabegani mtoto wake kipenzi anayeitwa X. Elon anamkubali sana huyu mtoto wake.

Inasemekana huyu X amepandikizwa AI system kwenye ubongo wake.

Kiufupi uwezo wa akili wa X ni mara kumi ya binadamu genious.

Hapo kwenye kikao pamoja na umri wake kuwa mdogo alielewa agenda zote za kikao na ndie anayempa elon idea mpya za kiubunifu.
Asee
 
Amepandikizwa ai
View attachment 3171909
Tajiri Elon Musk aliyeteuliwa na Rais Trump kuongoza idara mpya ya Ufanisi wa Serikali, ameingia kwa mara ya kwanza kwenye ofisi za bunge la Marekani kwa ajili ya kufanya kikao huku akiwa amembeba mabegani mtoto wake kipenzi anayeitwa X. Elon anamkubali sana huyu mtoto wake.

Inasemekana huyu X amepandikizwa AI system kwenye ubongo wake.

Kiufupi uwezo wa akili wa X ni mara kumi ya binadamu genious.

Hapo kwenye kikao pamoja na umri wake kuwa mdogo alielewa agenda zote za kikao na ndie anayempa elon idea mpya za kiubunifu.
Amepandikizwa Ai eti inasemekana? Ni story za gahawa. Hawa watu majaribio hawayafanyi kwa familia zao bali kwa watu wengine.
Kwani elon hataki kuwa na akilia mara 10 ya aliyonayo? Kwanini hajaweka chip kichwani analipa watu wengine wawekewe wao?
Hizo ni story za ghahawa sheikh,
 
Back
Top Bottom