Elon Musk akiwa na mtoto wake kipenzi X

Elon Musk akiwa na mtoto wake kipenzi X

View attachment 3171909
Tajiri Elon Musk aliyeteuliwa na Rais Trump kuongoza idara mpya ya Ufanisi wa Serikali, ameingia kwa mara ya kwanza kwenye ofisi za bunge la Marekani kwa ajili ya kufanya kikao huku akiwa amembeba mabegani mtoto wake kipenzi anayeitwa X. Elon anamkubali sana huyu mtoto wake.

Inasemekana huyu X amepandikizwa AI system kwenye ubongo wake.

Kiufupi uwezo wa akili wa X ni mara kumi ya binadamu genious.

Hapo kwenye kikao pamoja na umri wake kuwa mdogo alielewa agenda zote za kikao na ndie anayempa elon idea mpya za kiubunifu.


Yes, huyo mtoto kawekewa chip ya AI, and X is not an ordinary kid, he is super genius
 
Acha utoto basi binadamu anakuwaje programmed man

Uko nyuma sana ww na dunia ya leo



View: https://youtu.be/Gv_XB6Hf6gM?si=MnBoySWUxyCOp88e


View: https://youtu.be/DmqSYgM8QHc?si=BkKVmOQlHmJf8RRF

What does Neuralink do?

Neuralink’s mission aims to allow humans to communicate with computers through the power of thought.
 
Ee Mungu wape na hawa watoto wetu hivyo vipawa.
 
Uko nyuma sana ww na dunia ya leo


What does Neuralink do?

Neuralink’s mission aims to allow humans to communicate with computers through the power of thought.
Ok nakubali niko nyuma kiongozi.Naomba unambie kwa lugha nyepesi sio kuleta article ambazo huelewi nini kinafanyika.Hiyo chip ya AI ambayo iko injected kwenye mfumo wa binadamu inakuwa activated vipi? (Nachojua hiyo chip lazima ipate electrical energy kuwa active,so which part of human body does generate electrical energy?)

Fine,inaweza kuwa injected and activated kwa binadamu but does this make him super human as you claim?(big No)
 
Back
Top Bottom