Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Mbongo mpe picha tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpe na picha,atakupa kila kitu.Mbongo mpe mada.
Kimeandikwa na Elon musk mwenyewe?Soma kitabu kinachoitwa The Secret Behind Elon Musk, Chapter 100"
View attachment 3171909
Tajiri Elon Musk aliyeteuliwa na Rais Trump kuongoza idara mpya ya Ufanisi wa Serikali, ameingia kwa mara ya kwanza kwenye ofisi za bunge la Marekani kwa ajili ya kufanya kikao huku akiwa amembeba mabegani mtoto wake kipenzi anayeitwa X. Elon anamkubali sana huyu mtoto wake.
Inasemekana huyu X amepandikizwa AI system kwenye ubongo wake.
Kiufupi uwezo wa akili wa X ni mara kumi ya binadamu genious.
Hapo kwenye kikao pamoja na umri wake kuwa mdogo alielewa agenda zote za kikao na ndie anayempa elon idea mpya za kiubunifu.
Acha utoto basi binadamu anakuwaje programmed manYes, huyo mtoto kawekewa chip ya AI, and X is not an ordinary kid, he is super genius
Kachumbari imezidiwa pilipili kichaa na chumvi nyingi sana.Mmmh! Hauna Kashata Mkuu?? Tangawizi kama imezidi ukali hivi!!!
au aaaah au basi, source??
Acha utoto basi binadamu anakuwaje programmed man
😂😂😂😂 kamix mbilimbi, vinegar na ndimu… hqdi meno yanaumaMmmh! Hauna Kashata Mkuu?? Tangawizi kama imezidi ukali hivi!!!
au aaaah au basi, source??
Ok nakubali niko nyuma kiongozi.Naomba unambie kwa lugha nyepesi sio kuleta article ambazo huelewi nini kinafanyika.Hiyo chip ya AI ambayo iko injected kwenye mfumo wa binadamu inakuwa activated vipi? (Nachojua hiyo chip lazima ipate electrical energy kuwa active,so which part of human body does generate electrical energy?)Uko nyuma sana ww na dunia ya leo
![]()
Everything You Need to Know About Neuralink as First Human Receives Chip | Enterprise Tech News EM360
The human race took a huge step towards the future this week - as the first human has had a chip implanted in his head by Elon Musk’s Neuralink.em360tech.com
What does Neuralink do?
Neuralink’s mission aims to allow humans to communicate with computers through the power of thought.
Be youHuyu jamaa nikiwa mkubwa nataka kuwa kama yeye 😎
Nothing is impossibleAcha utoto basi binadamu anakuwaje programmed man
😂😂😂😂Let him bring the best version of himselfBe you
Mada ya nn, we mpe picha, mada na content anashusha yeyeMbongo mpe mada.