Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Used walizotumia wachina hazitatufaaNa hizo howo zinazokuja zinakuwaje nadhani kama automaker anatengeneza both aina zote kutokana na soko la dunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Used walizotumia wachina hazitatufaaNa hizo howo zinazokuja zinakuwaje nadhani kama automaker anatengeneza both aina zote kutokana na soko la dunia
Hizo sawa ila bahati nzuri kwa bei z mchina labda kwa kiasi wapo watakaomudu au tutapata zile alizouza nchi nyingine za RHDUsed walizotumia wachina hazitatufaa
Mchina hashindwi kutoa bidhaa kwa ajili ya soko fulani,,,,,Tatizo letu ni right hand drive na China left hand.
Mchina aimarishe Yutong iwe imara ataua soko la Scania.
sio ku compete tu watawazidi mno by far china hajawahi kuchemka kwenye technologyLeo kuna watu wanaichukulia poa COMAC C919 wanasema haitaweza kucompete na Airbus na Boeing
Kufikia mwaka 2030 wataanza kuzalisha COMAC C929 large body
Tutakuwepo 🫵
sio ku compete tu watawazidi mno by far china hajawahi kuchemka kwenye technology
Hapa akifanikiwa tayari dunia itakuwa mikononi mwaka na ulaya itakuwa baibaiUmesema vyema
Ni suala la muda tu COMAC kudominate the skies
Bibi yako ndo Feki ProductChina ni mtu wa copy and paste,hana na wala hakuwahi kua na technology yoyote ya maana,ni mwizi TU na bidhaa zake nyingi zinazaraulika duniani.
FAKE=CHINESE PRODUCTS
Unfortunately, hakuna promotion hata Hapa Africa ya gari za umeme za yule Mzimbabwe!vp za huyu mwanetu mzimbabwe za full mserereko si ndo atatisha zaidi
We mwenyewe waelewe kitu made in china maana yakeBibi yako ndo Feki Product
Wazungu Nowadays wanamsujudu Mchina
Alifanya kama CEO wa Microsoft wakati huo wakati akiichela iphone ya kwanza kuwa hakuna mtu wa kuinunua kwa bei hiyo ni kichekeshoHapa akiulizwa na mtangazaji kuhusu gari za EV za BYD
View attachment 3269245
Alionekana ni mtu mwenye furaha sana iliyo pitiliza
Hali ya sasa ilivyo sasa
In 2024, BYD surpassed Tesla to become the world's largest manufacturer of electric vehicles, with BYD selling more new energy vehicles (including battery electric vehicles and plug-in hybrids) than Tesla.
View attachment 3269262View attachment 3269263
Ziracompete vizuri tu. Mchina kila mahali atashika.Leo kuna watu wanaichukulia poa COMAC C919 wanasema haitaweza kucompete na Airbus na Boeing
Kufikia mwaka 2030 wataanza kutengeneza COMAC C929 large body
Tutakuwepo 🫵
Sure, kama trend itaendelea hivihivi.Miaka ijayo gari used kwa pande za huku kwetu nyingi zitakua ni kutoka china sio japan tena
Hili jambo gumu sana mkuu, ni sawa na kusema Chinese phones ziuwe soko la iPhones kwa Afrika. Hapa kitakachotokea segmentation ya soko lake.Mchina aimarishe Yutong iwe imara ataua soko la Scania.
wale jamaa ni kituko wasipokuwa makini mpaka waondoke madarakani US itakuwa haina mshirikaElon na Trump wanajazana ujinga tu mpaka wanaharibu hata biashara