ELON MUSK ALIPO ULIZWA KUHUSU BYD MIAKA KAMA KUMI ILIOPITA ALICHEKA SANA ILA SASA HALI IMEBADILIKA GHAFLA

ELON MUSK ALIPO ULIZWA KUHUSU BYD MIAKA KAMA KUMI ILIOPITA ALICHEKA SANA ILA SASA HALI IMEBADILIKA GHAFLA

BYD ni nzuri na sio kuwa ni nzuri kitechnology kuliko Tesla, ila iko hivi..!!

BYD ya China ina lead in selling EV sbb in China Population is already 1.4 bil, so market ya China au idadi ya watu wa China ni mara 5 zaidi ya Marekani, sasa wanunuzi wengi wa BYD ni wachina, Malaysia, yaani mostly all Asian countries mpaka India and BYD is more cheaper kuliko Tesla

So, ki technology Tesla yuko vema sana like Apple phones vs BYD is Android phones like Samsung or Huawei or Xiaomi etc..!!

So bei za Tesla vs BYD is the selling point kubwa kwa BYD, itabidi Elon apunguze bei hata kama is better in Tech kuliko BYD..!!
Technology ipi ujue nyie watu mnachekesha humu
 
Back
Top Bottom