Elon Musk anafifisha dhana ya matajiri kuwa juu ya wanasiasa na taswira ya umwamba juu ya masuala ya dunia?

Elon Musk anafifisha dhana ya matajiri kuwa juu ya wanasiasa na taswira ya umwamba juu ya masuala ya dunia?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kuna baadhi ya matajiri duniani mfano George Soros na Bill Gates huwa wanatuhumiwa sana kuwa puppet masters wakiwaendesha wanasiasa kama vikaragosi vyao na kuwafanya watimize zinazodaiwa kuwa na ajenda zao ovu kama depopulation, mass control, ushoga n.k

Sasa inakuaje Elon Musk tajiri namba moja duniani amegeuka kuwa chawa wa Trump akishinda nyumbani kwa Trump na kuongozana naye kila mahali?!

Nani ana nguvu zaidi katika dunia kati ya matajiri wa kidunia na wanasiasa ?
 
Back
Top Bottom