Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Elon Musk amekuwa mbogo baada ya baadhi ya taasisi kukataa kutii amri yake ya wafanyakazi wote wa umma Marekani wawe wanamtumia email kila wiki kuelezea walichofanya wiki iliyoisha!
Taasisi zilizokaidi amri yake ni pamoja Pentagon, FBI na State Department(Ofisi ya mambo ya nje) ambao wamewakataza watumishi wao kumtumia taarifa hiyo. Elon amewaambia Pentagon kama hawataki watafute kazi nyingine!
Tajiri kaburu amekamata kende za Wamarekani wote!
Taasisi zilizokaidi amri yake ni pamoja Pentagon, FBI na State Department(Ofisi ya mambo ya nje) ambao wamewakataza watumishi wao kumtumia taarifa hiyo. Elon amewaambia Pentagon kama hawataki watafute kazi nyingine!
Tajiri kaburu amekamata kende za Wamarekani wote!