Elon Musk is a croock freemason ushahidi umewekwa wazi the code X is debunked

Elon Musk is a croock freemason ushahidi umewekwa wazi the code X is debunked

Moja Kati ya watu wapuuzi ni mwandishi 😃😁.
👉 Usikute ana kaa kwa shemeji yake😁😃🤒
👉Mtu ana project ambazo ziko wazi, magari ya umeme nayo Ni free Mason 😁🤔
👉Barabara ya chini kwa chini nayo Ni free masson 😁🤔
👉Safari za anga nazo ni free Mason🤔😁
👉 Tweeter na Facebook lengo SI dunia ikonect we una hisi nini??
👉Halafu usikute dogo ana kaa kwa shemeji, na mla nyeto mkubwa mshamba_hachekwi 🤒

Huna haja ya kupambana naye, yeye ameamua kuishi katika ulimwengu wa kufikirika. Anaongelea kuhusu freemason, wakati hata maana yake haijui.
Ameongelea vitu vya kawaida sana katika kujiepusha. Mfano anasema usiweke utambulisho wako kamili katika mitandao ya kijamii. Hilo tangu hii mitandao inakuja tulisha elimishwa hapo. Na ndiyo maana tunawashauri vijana wasiwe waraibu wa mitandao na kuweka bayana maisha yao ya kawaida. Ni hatari, maana watu wasio na malengo mema wanaweza kuzitumia visivyo.
 
Huna haja ya kupambana naye, yeye ameamua kuishi katika ulimwengu wa kufikirika. Anaongelea kuhusu freemason, wakati hata maana yake haijui.
Ameongelea vitu vya kawaida sana katika kujiepusha. Mfano anasema usiweke utambulisho wako kamili katika mitandao ya kijamii. Hilo tangu hii mitandao inakuja tulisha elimishwa hapo. Na ndiyo maana tunawashauri vijana wasiwe waraibu wa mitandao na kuweka bayana maisha yao ya kawaida. Ni hatari, maana watu wasio na malengo mema wanaweza kuzitumia visivyo.
Nimeona nimlipue tu🤒, maana Wana katisha tamaa ma Hustlers 💪.
👉Mtu ana Pambana Kisha utasikia alitoa kafara Yule🤔
 
Nimeona nimlipue tu🤒, maana Wana katisha tamaa ma Hustlers 💪.
👉Mtu ana Pambana Kisha utasikia alitoa kafara Yule🤔

Wamejawa na uvivu wa kufikiri. Mtu anaamka mpaka anaenda kulala hana mpango wowote. Mtu anaanza tarehe 1 mpaka 30 hana mpango wowote. Mtu anaanza januari mpaka desemba hana vision yoyote. Sasa anafikiri akifika miaka kuanzia 35 ndiyo atatoboa. Huku akikazana na misemo ya bahati yangu inakuja. Thubutu yako, utaendelea kushuhudia tu wenzako wakipiga hatua za maendeleo huku ukiishia kukaa vijiweni kuwazungumzia.
 
Hivi kujiunga Freemasonry au kupata hii nafasi inakuwaje, maana ni nafasi adimu sana na ngumu mmno kuipata thus why tunapiga piga kelele tuu hapa,
Kama ni rahisi kujiunga huko mason Tafadhali member aliyepo huko naomba ukuje inbox, otherwise hizi ni propaganda tuuu na wivu
 
Back
Top Bottom