Elon Musk: My wife is a Robot

Elon Musk: My wife is a Robot

Mwanaume kupata watoto na mwanamke ni jambo ambalo halizuiliki na ni ngumu sana mwanamke kuweka mgomo eneo hilo sababu hata yeye anataka mtoto.

Shida ni nyie wanawake kugeuza mahusiano fursa ya kujipatia kipato ili kutatua shida zenu ambazo ukizitazama hazina umuhimu wa kupewa kipaumbele kwa namna nyie mnazipa kipaumbele.

Sisi wanaume hatuna shida kuishi na mwanamke akiwa anajitambua na hana drama za kitoto, awe focused kwenye maisha tu na sio kuchuna mwanaume, kufuja pesa zake, kulazimisha mahitaji yake binafsi kuwa kipaumbele kwa mwanaume, kulazimisha attention hata muda ambao anatakiwa kuprovide space ya kufanya mambo mengine ya kifamilia, etc.

Hizi kero ndizo zinatufanya wanaume tuone mzigo sana kudeal na wanawake binadamu sababu Wanawake ninyi mnaona kuwa kuleta drama, visa, maghubu, vituko, na fujo kwenye mahusiano ni sehemu ya mahusiano jambo ambalo si kweli.


Sasa ngoja bwana Elon Musk atutengenezee pisi zetu hizi. Nakuwa nae kabatini. Mwanamke akileta za kuleta nalitoa kabatini, naliwasha natandika godoro tunaanza kupeana utamu. Sitaki kelele wala kuingiliwa na "my wangu robot"

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]dadek nimecheka huko mwishoni
Mkuu mahusiano yamekufanyq nini
 
According to report Elon Musk and his company are on the final stages of making a Robot Wife. The supply of Robot Wives is expected to roll out in September 2023. They will reach Africa by November 2023.

Robot Wife will use batteries that last in accordance with menstrual circle. Batteries will only be charged for full three days and operate for a month. Sex with a Robot Wife will require a Password, Pattern or Fingerprint to avoid tempering with. The Robot will cost at around R60 000 to R150 000 depending on the specs.

View attachment 2624687View attachment 2624689
Jamani hawa wazungu wanacheza na ubinadamu mradi kwao ni biashara. Ngoja muone serikali za magharibi wakianzisha ndoa za robot kama zile za jinsia moja. Kisha usije shangaa ndoa zikifungwa makanisa ya huko ulaya. Halafu wajinga huku afrika wataambiwa eti ni haki za binadamu kisha wataingiza siasa kutetea🤣😂🏃🏃😪😎
 
Jamani hawa wazungu wanacheza na ubinadamu mradi kwao ni biashara. Ngoja muone serikali za magharibi wakianzisha ndoa za robot kama zile za jinsia moja. Kisha usije shangaa ndoa zikifungwa makanisa ya huko ulaya. Halafu wajinga huku afrika wataambiwa eti ni haki za binadamu kisha wataingiza siasa kutetea[emoji1787][emoji23][emoji125][emoji125][emoji25][emoji41]
Kwa marobot hutaona watu wakipinga, mbna ndo watashangilia sanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimeinukuu mahali, nikaiweka kamusini ili isomeke kwa lugha ambayo wanawake wote wakipita hapa wataielewa vyema kabisaa

-----------------------------------------------------------------
ELON MUSK KUZINDUA MKE ROBOTI

Bilionea Elon Musk na kampuni yake ya Teknolojia wako katika hatua za mwisho za kutengeneza Mke Roboti ( Robot Wives) na uzinduzi Rasmi unatarajiwa kuanza Septemba 2023 na Kwa Nchi za Afrika watapatikana kuanzia mwezi Novemba 2023.

Mke Robot atatumia betri ambazo hudumu kwa mzunguko wa hedhi. Betri zitachajiwa kwa siku tatu kamili pekee na kufanya kazi kwa mwezi mmoja.
Roboti itagharimu karibu Kwa kiasi cha USD $3,144 ambazo ni sawa na Pesa za Tanzania Shilingi 7,416,026.

------------------------------------------------------------------

Ngoja nikachukue mkopo wa kununua wanawake wawili wa bandia

Hapa hakutokuwa na habari za vizinga, midomo mirefu, uchepukaji wala kunyimwa mbususu
FB_IMG_1684436233270.jpg
 
Back
Top Bottom