cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tubeti watu wa kwanza kwanza kuzinunua hizo robot hata kama zitauzwa bei kubwa.
1. Mapadre [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji41]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tubeti watu wa kwanza kwanza kuzinunua hizo robot hata kama zitauzwa bei kubwa.
1. Mapadre [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na ikizima gafla dushe halichomoki mpaka kiwe on
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipooowamewekewa chip ya wivu, utakula mbata hadi utamkumbuka demu wako Kidawa!!!
Ngoja mje mbanwe hizo mashine zenu, ndio mtatulia
Vyuma lazima viumane,msisahau kuweka lubricant'Mashine' kubanwa na mashine sio ishu...
Mbona bei sio rafiki? Wangeweka bei elekeziR150000 sawa na 18535795.32Tsh
Muweke grease,,,kufinyiwa na mashine sio mchezoNa hapo ndipo utamu utazidi maana hiyo hata ninyi huwa mnatufanyia inaitwa Kuifinyia kwa ndani.
Huu ni uzushi. Siyo kweli.According to report Elon Musk and his company are on the final stages of making a Robot Wife. The supply of Robot Wives is expected to roll out in September 2023. They will reach Africa by November 2023.
Robot Wife will use batteries that last in accordance with menstrual circle. Batteries will only be charged for full three days and operate for a month. Sex with a Robot Wife will require a Password, Pattern or Fingerprint to avoid tempering with. The Robot will cost at around R60 000 to R150 000 depending on the specs.
View attachment 2624687View attachment 2624689
Na walaaniweWao wapo agensti ze woldi
According to report Elon Musk and his company are on the final stages of making a Robot Wife. The supply of Robot Wives is expected to roll out in September 2023. They will reach Africa by November 2023.
Robot Wife will use batteries that last in accordance with menstrual circle. Batteries will only be charged for full three days and operate for a month. Sex with a Robot Wife will require a Password, Pattern or Fingerprint to avoid tempering with. The Robot will cost at around R60 000 to R150 000 depending on the specs.
View attachment 2624687View attachment 2624689
Kwa hasira hizi mtavunja mishipa ya degedo na ma robot 🤣🤣🤣🤣Mwanaume kupata watoto na mwanamke ni jambo ambalo halizuiliki na ni ngumu sana mwanamke kuweka mgomo eneo hilo sababu hata yeye anataka mtoto.
Shida ni nyie wanawake kugeuza mahusiano fursa ya kujipatia kipato ili kutatua shida zenu ambazo ukizitazama hazina umuhimu wa kupewa kipaumbele kwa namna nyie mnazipa kipaumbele.
Sisi wanaume hatuna shida kuishi na mwanamke akiwa anajitambua na hana drama za kitoto, awe focused kwenye maisha tu na sio kuchuna mwanaume, kufuja pesa zake, kulazimisha mahitaji yake binafsi kuwa kipaumbele kwa mwanaume, kulazimisha attention hata muda ambao anatakiwa kuprovide space ya kufanya mambo mengine ya kifamilia, etc.
Hizi kero ndizo zinatufanya wanaume tuone mzigo sana kudeal na wanawake binadamu sababu Wanawake ninyi mnaona kuwa kuleta drama, visa, maghubu, vituko, na fujo kwenye mahusiano ni sehemu ya mahusiano jambo ambalo si kweli.
Sasa ngoja bwana Elon Musk atutengenezee pisi zetu hizi. Nakuwa nae kabatini. Mwanamke akileta za kuleta nalitoa kabatini, naliwasha natandika godoro tunaanza kupeana utamu. Sitaki kelele wala kuingiliwa na "my wangu robot"
Huu ni uzushi. Siyo kweli.
Mauzo kwa mara ya kwanza lzima ywe bei, after hapo lazima lishuke beiMbona bei sio rafiki? Wangeweka bei elekezi
Elon atayawekea utelezi wa kushato😂Vyuma lazima viumane,msisahau kuweka lubricant
Aiiiiiiii naona mkijizima data na kujiliwaza kuwa mmepona majukumu?
Robots wakawazalie na watoto, ila najua wanaume wa ukweli wanao mcha Mungu watabaki na sisi.
Mimi ntabaki na wewe dear Sina hela za robot 😆😆Aiiiiiiii naona mkijizima data na kujiliwaza kuwa mmepona majukumu?
Robots wakawazalie na watoto, ila najua wanaume wa ukweli wanao mcha Mungu watabaki na sisi.
Yote hayo musk kayazingatia.Kuna raha yake mwanamke anaponionea wivu, Kuna raha yake pale tunalumbana na kupatana, Kuna raha yake mwanamke anaponionesha madeko, Kuna raha ya kipekee tunapokaa na kujadiri mustakabali wa mambo yanayotuzunguka. Kuna raha yake ninaposhikwa ni kimuhemuhe kuona mwanamke wangu anavyotamaniwa na wakora anavyotembea, anavyoshirikiana na kuongea na watu wengine. Mungu aliweka haya yote ili kuufanya upendo kati ya jinsia mbili ubaki wa KIPEKEE. Robot hawezi kuyafanya haya yote so daima nitampenda mwanamke halisi na hata kuwafundisha watoto wangu kubaki katika NATURALITY.