Elon Musk: My wife is a Robot

Elon Musk: My wife is a Robot

Aiiiiiiii naona mkijizima data na kujiliwaza kuwa mmepona majukumu?

Robots wakawazalie na watoto, ila najua wanaume wa ukweli wanao mcha Mungu watabaki na sisi.
Mwanaume kupata watoto na mwanamke ni jambo ambalo halizuiliki na ni ngumu sana mwanamke kuweka mgomo eneo hilo sababu hata yeye anataka mtoto.

Shida ni nyie wanawake kugeuza mahusiano fursa ya kujipatia kipato ili kutatua shida zenu ambazo ukizitazama hazina umuhimu wa kupewa kipaumbele kwa namna nyie mnazipa kipaumbele.

Sisi wanaume hatuna shida kuishi na mwanamke akiwa anajitambua na hana drama za kitoto, awe focused kwenye maisha tu na sio kuchuna mwanaume, kufuja pesa zake, kulazimisha mahitaji yake binafsi kuwa kipaumbele kwa mwanaume, kulazimisha attention hata muda ambao anatakiwa kuprovide space ya kufanya mambo mengine ya kifamilia, etc.

Hizi kero ndizo zinatufanya wanaume tuone mzigo sana kudeal na wanawake binadamu sababu Wanawake ninyi mnaona kuwa kuleta drama, visa, maghubu, vituko, na fujo kwenye mahusiano ni sehemu ya mahusiano jambo ambalo si kweli.


Sasa ngoja bwana Elon Musk atutengenezee pisi zetu hizi. Nakuwa nae kabatini. Mwanamke akileta za kuleta nalitoa kabatini, naliwasha natandika godoro tunaanza kupeana utamu. Sitaki kelele wala kuingiliwa na "my wangu robot"
 
Namsubiria mchina kwenye copy najua wakichina atafika kwenye mia6 ,manake kwanza ncheke maana bot wakichina anaweza kukata moto wakati unapiga mambomambo Mara low betri please charge
Huhitaji betri kumalizia kupiga mzigo si imeshaingia unandelea kupiga tako za nguvu hadi wazungu hao.
 
Mkuu, kumreplace mwanamke sio jambo rahisi. Wameumbwa kipekee sana.
Sidhani kama lengo hapa ni kumreplace bali lengo ni kupata mbadala ili kupunguza usumbufu. Lengo ingekuwa kumreplace mbona ingeshawezekana kitambo.

Mwanamke anakuja na kero 80% halafu 20% ndio anakupa raha. Sasa wewe unaweza kudeal na kitu ambacho kiliumbwa kukupa raha kwa 90% na kero zake hata zikiwa 10% inakuwa kama hakuna kero kabisa, ila kinaamua kufanya kinyume kinakupa kero kwa 80% halafu raha kwa 20% tena hiyo 20% haupo pekee yako anawapa na wengine?!

Sasa nikishika robot langu hapa nina uhakika wa kupewa 100% ya raha. Maana hatubishani, tunasikilizana, tunapendana, tunaaminiana, hanifuji pesa, haulizi upo wapi kila dakika, hachunguzi Sim yangu, etc.
 
Sidhani kama lengo hapa ni kumreplace bali lengo ni kupata mbadala ili kupunguza usumbufu. Lengo ingekuwa kumreplace mbona ingeshawezekana kitambo.

Mwanamke anakuja na kero 80% halafu 20% ndio anakupa raha. Sasa wewe unaweza kudeal na kitu ambacho kiliumbwa kukupa raha kwa 90% na kero zake hata zikiwa 10% inakuwa kama hakuna kero kabisa, ila kinaamua kufanya kinyume kinakupa kero kwa 80% halafu raha kwa 20% tena hiyo 20% haupo pekee yako anawapa na wengine?!

Sasa nikishika robot langu hapa nina uhakika wa kupewa 100% ya raha. Maana hatubishani, tunasikilizana, tunapendana, tunaaminiana, hanifuji pesa, haulizi upo wapi kila dakika, hachunguzi Sim yangu, etc.
Mkuu piga picha upo na roboti ndani asubuhi linakuamsha na makofi sababu limeingia virus software imecorrupt.
 
Kufanya ngono na robot kutahitaji password su fingerprints

Wabongo kwenye vitu kama hivi wanakuwa na akili za kujiongeza.

Wanaweza kuliiba halafu wakali flash kuondoa password zako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Namsubiria mchina kwenye copy najua wakichina atafika kwenye mia6 ,manake kwanza ncheke maana bot wakichina anaweza kukata moto wakati unapiga mambomambo Mara low betri please charge
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani nyie watuu khaaah
 
Back
Top Bottom