DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
[emoji1787]au ana gonoNgoja wadada wamkute huyo robot amekaba nafasi yao, lazima wata mzushia kwamba anangoma...[emoji1787]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787]au ana gonoNgoja wadada wamkute huyo robot amekaba nafasi yao, lazima wata mzushia kwamba anangoma...[emoji1787]
wamewekewa chip ya wivu, utakula mbata hadi utamkumbuka demu wako Kidawa!!!nitaoa hao bots wawili
Mwnykiti wa chaputa taifa dronedrakezikija Bongo wadada watakufa njaa
Sasa kwa hayo mamilioni si ninunue tu ki IST kimoja halafu chenji nikaripie mahali kwa toto la kinyantuzu tuzae na kuongeza watu duniani.Eeh ankoli
Sasa hizi vitu umelist vinahushiana nini tena na hawa "my wetu" wapya tunaotengenezewa?Ushoga hautoshi, usagaji hautoshi, sasa ni robots
Yesu turehemu
Naaam.Aiiiiiiii naona mkijizima data na kujiliwaza kuwa mmepona majukumu?
Robots wakawazalie na watoto, ila najua wanaume wa ukweli wanao mcha Mungu watabaki na sisi.
Mwanaume kupata watoto na mwanamke ni jambo ambalo halizuiliki na ni ngumu sana mwanamke kuweka mgomo eneo hilo sababu hata yeye anataka mtoto.Aiiiiiiii naona mkijizima data na kujiliwaza kuwa mmepona majukumu?
Robots wakawazalie na watoto, ila najua wanaume wa ukweli wanao mcha Mungu watabaki na sisi.
Huhitaji betri kumalizia kupiga mzigo si imeshaingia unandelea kupiga tako za nguvu hadi wazungu hao.Namsubiria mchina kwenye copy najua wakichina atafika kwenye mia6 ,manake kwanza ncheke maana bot wakichina anaweza kukata moto wakati unapiga mambomambo Mara low betri please charge
Na hapo ndipo utamu utazidi maana hiyo hata ninyi huwa mnatufanyia inaitwa Kuifinyia kwa ndani.Ngoja mje mbanwe hizo mashine zenu, ndio mtatulia
Sidhani kama lengo hapa ni kumreplace bali lengo ni kupata mbadala ili kupunguza usumbufu. Lengo ingekuwa kumreplace mbona ingeshawezekana kitambo.Mkuu, kumreplace mwanamke sio jambo rahisi. Wameumbwa kipekee sana.
Mkuu piga picha upo na roboti ndani asubuhi linakuamsha na makofi sababu limeingia virus software imecorrupt.Sidhani kama lengo hapa ni kumreplace bali lengo ni kupata mbadala ili kupunguza usumbufu. Lengo ingekuwa kumreplace mbona ingeshawezekana kitambo.
Mwanamke anakuja na kero 80% halafu 20% ndio anakupa raha. Sasa wewe unaweza kudeal na kitu ambacho kiliumbwa kukupa raha kwa 90% na kero zake hata zikiwa 10% inakuwa kama hakuna kero kabisa, ila kinaamua kufanya kinyume kinakupa kero kwa 80% halafu raha kwa 20% tena hiyo 20% haupo pekee yako anawapa na wengine?!
Sasa nikishika robot langu hapa nina uhakika wa kupewa 100% ya raha. Maana hatubishani, tunasikilizana, tunapendana, tunaaminiana, hanifuji pesa, haulizi upo wapi kila dakika, hachunguzi Sim yangu, etc.
Wao wapo agensti ze woldiSasa kwa hayo mamilioni si ninunue tu ki IST kimoja halafu chenji nikaripie mahali kwa toto la kinyantuzu tuzae na kuongeza watu duniani.
Wazungu hovyo kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahKufanya ngono na robot kutahitaji password su fingerprints
Wabongo kwenye vitu kama hivi wanakuwa na akili za kujiongeza.
Wanaweza kuliiba halafu wakali flash kuondoa password zako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au UTI sugu??Ngoja wadada wamkute huyo robot amekaba nafasi yao, lazima wata mzushia kwamba anangoma...[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani nyie watuu khaaahNamsubiria mchina kwenye copy najua wakichina atafika kwenye mia6 ,manake kwanza ncheke maana bot wakichina anaweza kukata moto wakati unapiga mambomambo Mara low betri please charge
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiiiihRobot wa kichina anaweza ang'ate dushe kabisa na kuling'ofoa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaWatayawekea na gubu? Maana kuna raha zake mwanamke usiku ana gubu unamtandika haswa gubu lote linayeyuka anabaki tu yaani wewe.......
Wakitokaa nistueeNa Husband robot wanatoka lini?