Elon Musk: Vyombo vya habari vimeshakufa, mitandao ya kijamii imechukua nafasi zao

Elon Musk: Vyombo vya habari vimeshakufa, mitandao ya kijamii imechukua nafasi zao

Aramun

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
461
Reaction score
2,213
Screenshot_2025-01-05-06-36-08-266_com.twitter.android-edit.jpg


Hata mimi naungana na bwana Musk, binafsi inaenda miaka 2 sasa nimeshasahau kitu inaitwa redio, runinga kutizama ni mara moja moja sana, tena siyo taarifa ya habari, natazama vipindi vingine kama mpira, wildlife nk.

Mainstream media za bongo zimejipangaje na hii transition inayoenda kutokea?
 
Sure, Radio na Tv zinaekelea kupotea huko mbeleni!!
 
View attachment 3192823

Hata mimi naungana na bwana Musk, binafsi inaenda miaka 2 sasa nimeshasahau kitu inaitwa redio, runinga kutizama ni mara moja moja sana, tena siyo taarifa ya habari, natazama vipindi vingine kama mpira, wildlife nk.

Mainstream media za bongo zimejipangaje na hii transition inayoenda kutokea?
Kila formal sector will die na zitazaliwa mpya

Ndio miili mipya tuliyoahidiwa na vitabu

The survival will be extractive, processing, manufacturing and products in general

80% of services will be replaced in less than 100 years
 
Tasinia ya habari kwa mainstream media imeshakufa miaka 4 Sasa. Hata waandishi wa habari taaluma zao hazina tena mvuto.
 
Kila formal sector will die na zitazaliwa mpya

Ndio miili mipya tuliyoahidiwa na vitabu
Hata huu mfumo wa kisiasa kikundi Fulani kukusanya Kodi na kujimilikisha maisha ya wengine nao utacolaplse. Ni suala la muda tu
 
Hata huu mfumo wa kisiasa kikundi Fulani kukusanya Kodi na kujimilikisha maisha ya wengine nao utacolaplse. Ni suala la muda tu
Yaani hiyo Haina hata 20 years mkuu

Proper governance will come with sigitizatikn

Political parties will be obsolete… constitution and national roadmap will lead us
 
View attachment 3192823

Hata mimi naungana na bwana Musk, binafsi inaenda miaka 2 sasa nimeshasahau kitu inaitwa redio, runinga kutizama ni mara moja moja sana, tena siyo taarifa ya habari, natazama vipindi vingine kama mpira, wildlife nk.

Mainstream media za bongo zimejipangaje na hii transition inayoenda kutokea?
biashara ya magazeti ndio imekufa kabisa, sijui wanauza nakala ngapi kwa mwezi! Mindaoni unapata habari na taarifa haraka sana
 
Back
Top Bottom