Awapi Mkuu.....kupika hata ww unajua .... mwanamke yupo Kwa ajili ya tendoShida ya Watanzania ni moja tu..kitu cha kwanza tunachowaza baada ya kuskia mke Roboti ni suala la ngono tu, yawezekana ikawa ni kwa masuala yanayohusu kupika na kusafirisha nyumba tu, hayo ya usiku unatafuta mwanadamu halisi.
yani mpaka nyonyoo una ajust tu, iwe kama niki minaji sawa, masha love sawa rahaa tu,πTumekwisha!!!
ππππTutanunua hata used .. or mtumba if possible