DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Ndi utajua hujui[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]Ile unachomeka kitu, kinang'atwa humo ndani na hakitoki 😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndi utajua hujui[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]Ile unachomeka kitu, kinang'atwa humo ndani na hakitoki 😀😀
Sahii KABISA,kuanziaSaafi maana WAnawake WA Sasa ni bandia 50% na bado wanataka watambuliwe kama 100% origin
Anajua kuiminyia kwa ndaniRipoti zinasema kwamba Elon Musk na kampuni yake wako kwenye hatua za mwisho za kutengeneza Mke wa Roboti.
Mke wa Robot atatumia betri ambazo hudumu kwa mujibu wa mzunguko wa hedhi. Betri zitachajiwa kwa siku tatu kamili pekee na kufanya kazi kwa mwezi mmoja.
Kufanya mapenzi na Mke wa Roboti itahitaji Nenosiri, Mchoro au Alama ya Kidole ili kuepuka kukasirika.
Bei ya Mke Roboti itagharimu kuanzia Dola $32,000(Tsh.Milion 75.3) mpaka Dola $79,000(Tsh.Milion 186..)
Mke Roboti anategemewa kuingia sokoni September 2023 na mpaka kufikia Afrika inategemewa kuingia November 2023.
Source: Mula star newz
NB: wale introverts hatimaye tumekumbukwa[emoji23][emoji23]View attachment 2625084
Sijaiona bro, kama unayo naomba unitumie PM.Picha yake umeonea wapi Hadi useme Ni mrembo? Acha ujinga dogo
Bro angalia izo picha kwa makini sio halisiaRipoti zinasema kwamba Elon Musk na kampuni yake wako kwenye hatua za mwisho za kutengeneza Mke wa Roboti.
Mke wa Robot atatumia betri ambazo hudumu kwa mujibu wa mzunguko wa hedhi. Betri zitachajiwa kwa siku tatu kamili pekee na kufanya kazi kwa mwezi mmoja.
Kufanya mapenzi na Mke wa Roboti itahitaji Nenosiri, Mchoro au Alama ya Kidole ili kuepuka kukasirika.
Bei ya Mke Roboti itagharimu kuanzia Dola $32,000(Tsh.Milion 75.3) mpaka Dola $79,000(Tsh.Milion 186..)
Mke Roboti anategemewa kuingia sokoni September 2023 na mpaka kufikia Afrika inategemewa kuingia November 2023.
Source: Mula star newz
NB: wale introverts hatimaye tumekumbukwa[emoji23][emoji23]View attachment 2625084
huyu jamaa ni mpumbavu sana, na nikimwangalia hata kama ni kwenye picha tu, huwa naona sura ya shetani ipo usoni kwake, sio mtu wa kawaida. hawa watu wenye pesa ndefu huwa na mikataba ya mashetani ya kuharibu ubinadamu. imagine mtu anasema anatengeneza mwanamke wa kuoa ili watu wasioe binadamu halisi waowe midoli, wafanye ngono na midoli. huyu ni shetani halisi hapo amevaa tu huo mwili wake ila ndani yake ni shetani mwenye mapembe kabisa.Ripoti zinasema kwamba Elon Musk na kampuni yake wako kwenye hatua za mwisho za kutengeneza Mke wa Roboti.
Mke wa Robot atatumia betri ambazo hudumu kwa mujibu wa mzunguko wa hedhi. Betri zitachajiwa kwa siku tatu kamili pekee na kufanya kazi kwa mwezi mmoja.
Kufanya mapenzi na Mke wa Roboti itahitaji Nenosiri, Mchoro au Alama ya Kidole ili kuepuka kukasirika.
Bei ya Mke Roboti itagharimu kuanzia Dola $32,000(Tsh.Milion 75.3) mpaka Dola $79,000(Tsh.Milion 186..)
Mke Roboti anategemewa kuingia sokoni September 2023 na mpaka kufikia Afrika inategemewa kuingia November 2023.
Source: Mula star newz
NB: wale introverts hatimaye tumekumbukwa[emoji23][emoji23]View attachment 2625084
waheshimiwa wabunge hili nalo mlitizameTunataka mademu maroboti ambayo K zinabada. Tumechoka kutapeliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna batani mgongoni una adjust mtelezo unao taka na features nyingi za kushatoInakua ina utelezi pia?
na umeme wetu wa mgao tutaweza kwel😂??Mara utamu umekolea umebonyeza kitufe cha hatari! Aisee ataondoka na tunyanya chungu [emoji23][emoji13][emoji13]
robot wa kikuu😂Kwa hiyo bei bongo tusubiri roboti wa mitumba baada ya miaka 20 hivi ndiyo tutawamudu.
Hyo Hapana mkuuNasikia kuna sehem ya kuadjust ukitaka bikra unaseti hapo hadi damu unaziona ukitaka kisima kuna sehemu unaweka maji kabisa yaani ukichomeka na yenyewe yanaanza kumwagika ukitaka bwanga unaseti tu linakua kama hizi za mitaani pia kuna sehemu ya kusetia joto nimekaa nawaza nikiseti kabikra af nikaset joto had nyuzi 80 kitendo nachomeka kwa usongo tako 1 ya pili sirudii kudadeeek wapunguze bei aseee
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Ni kweli ni kama musk kaja kuutimiza unabii[emoji23]huyu jamaa ni mpumbavu sana, na nikimwangalia hata kama ni kwenye picha tu, huwa naona sura ya shetani ipo usoni kwake, sio mtu wa kawaida. hawa watu wenye pesa ndefu huwa na mikataba ya mashetani ya kuharibu ubinadamu. imagine mtu anasema anatengeneza mwanamke wa kuoa ili watu wasioe binadamu halisi waowe midoli, wafanye ngono na midoli. huyu ni shetani halisi hapo amevaa tu huo mwili wake ila ndani yake ni shetani mwenye mapembe kabisa.
Figure ya kibantu roboti litakua ghali zaidi maana itabidi lifungashieMchina aje nalo la bei tatizo hawana figure ya kibantu....
Lifungashe kuzingatia matakwa ya mteja,sasa huyo hapo ukichapa kofi la saidong'i utaishia kuumia tu... 😎Figure ya kibantu roboti litakua ghali zaidi maana itabidi lifungashie