...In kweli mkuu. Ila nasikia kuna Wajanja pale katikati ya mji wameifanya Embassy Hotel kama guest house ya short time fasta na wanajikunjia uchache wao na kutajirika huku serikali yetu ikiendelea kung'aa macho tu. Very sad.WanaJF,
Ni jambo la kutia huzuni kuona vijana wanaangaika wanakosa hostel wakati kuna majengo yanaoza, Kama hawataki kiyaendeleza basi watangaze tenda watu wayakarabati yawe hostel za bei nafuu Serikali iendelee kupata kodi kuliko kuyaacha yakioza.
Hivi kweli Serikali haiyatambui mpaka kutelekezwa miaka yote?
Kuna kesi mahakamani ya mafao ya wafanyakazi.Kila mwekezaji anàyekuja ni lazima umalizane na wafanyakazi mahakamani ndio uchukue hio hotel. Nafikiri ndio linapoanzia.20Yrs ni muda mrefu sana,kuna nini hasa kilitokea...
Nakumbuka mmiliki wa majengo hayo(Embassy) alikuwa naWanaJF,
Ni jambo la kutia huzuni kuona vijana wanaangaika wanakosa hostel wakati kuna majengo yanaoza, Kama hawataki kiyaendeleza basi watangaze tenda watu wayakarabati yawe hostel za bei nafuu Serikali iendelee kupata kodi kuliko kuyaacha yakioza.
Hivi kweli Serikali haiyatambui mpaka kutelekezwa miaka yote?
Nchi ya ajabu sana..sector ya hoteli ni ngumu sana nchini! Embassy ilivyokaa pale centre ni kwa kufungiwa miaka 20 kweli?wizara za utalii na biashara kweli zipo serious na nchi hii?sio hizo tu kuna hoteli kama Blue Pearl pale ubungo ni mambo ya kusikitisha,WanaJF,
Ni jambo la kutia huzuni kuona vijana wanaangaika wanakosa hostel wakati kuna majengo yanaoza, Kama hawataki kiyaendeleza basi watangaze tenda watu wayakarabati yawe hostel za bei nafuu Serikali iendelee kupata kodi kuliko kuyaacha yakioza.
Hivi kweli Serikali haiyatambui mpaka kutelekezwa miaka yote?
hilo nimelichunguza ni kweli kabisa ni gest elfu tano unamaliza kabisa...In kweli mkuu. Ila nasikia kuna Wajanja pale katikati ya mji wameifanya Embassy Hotel kama guest house ya short time fasta na wanajikunjia uchache wao na kutajirika huku serikali yetu ikiendelea kung'aa macho tu. Very sad.
Weka pichaWanaJF,
Ni jambo la kutia huzuni kuona vijana wanaangaika wanakosa hostel wakati kuna majengo yanaoza, Kama hawataki kiyaendeleza basi watangaze tenda watu wayakarabati yawe hostel za bei nafuu Serikali iendelee kupata kodi kuliko kuyaacha yakioza.
Hivi kweli Serikali haiyatambui mpaka kutelekezwa miaka yote?
WanaJF,
Ni jambo la kutia huzuni kuona vijana wanaangaika wanakosa hostel wakati kuna majengo yanaoza, Kama hawataki kiyaendeleza basi watangaze tenda watu wayakarabati yawe hostel za bei nafuu Serikali iendelee kupata kodi kuliko kuyaacha yakioza.
Hivi kweli Serikali haiyatambui mpaka kutelekezwa miaka yote?
Unaamasha Sir lile lifreemason lililokubuhu?Matunda ya namna mbovu za ubinafsishaji. Zile hotel zinahitaji kufufuliwa. Wahindi waligawana mali zote nzuri nzuri. Wakiongowa na Sir(RIP).
Inashindikana nini kuzifufua hizo hotel? Basi zivunjwe tuwe tunapaki magari yetu tujue moja
Umeshuhudia au kuitumia mkuu?Embassy hotel ucku watu wanadinyana
Tu
Ova
Nenda mjni kachkue gomaUmeshuhudia au kuitumia mkuu?
We utakuwa umezaliwa 2003Ziko wapi hizo hotel?