Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 6,696
- 6,734
Ile hotel ina matatizo gani mbona haifunguliwi? Agip Hotel nayo imekuwaje?Wadau siku ya Tatu sasa napita eneo hili naona mafundi wakichomelea bodi ya gari(Lori).
Ina maana ssasa ni karakana rasmi kwa kazi hiyo!?
Tujuzane jamani!