Embu tuchat wawili wawili humu

Embu tuchat wawili wawili humu

Jirani jana nilikua natalii sehemu fulani nilipokuambia kule... hilo vazi walivyokua wanalifanyia aisee...
Kule ni balaa, bora wangevaa tu vimini ijulikane moja kuliko ile tabu wanayopata kulipandisha.

Kwahyo jirani ukatulia mahali ukawa unawacheki...
 
Kule ni balaa, bora wangevaa tu vimini ijulikane moja kuliko ile tabu wanayopata kulipandisha.

Kwahyo jirani ukatulia mahali ukawa unawacheki...
Hapana jirani, aibu nilikua naona mimi... Maana aisee hatari sana... Yani binadamu ana dera bila pichu, anashikwashikwa hata hashituki anakatika tu...
 
Hapana jirani, aibu nilikua naona mimi... Maana aisee hatari sana... Yani binadamu ana dera bila pichu, anashikwashikwa hata hashituki anakatika tu...
Aisee watu wana balaa sana.
Sema ndio utaratibu wa watu wa kule, wenyewe wanaona kawaida
 
Inabidi kufungua vioo fresh air iwe ya kutosha.

Jirani ninunulie gari, nipumzishe miguu
Gari jipya unafungua vioo vya nini...

Jirani kukununulia gari siyo tatizo... tatizo ni mkataba wake utauweza? Unanitafutia lawama...
 
Back
Top Bottom