Embu tuchat wawili wawili humu

Embu tuchat wawili wawili humu

Gari jipya unafungua vioo vya nini...

Jirani kukununulia gari siyo tatizo... tatizo ni mkataba wake utauweza? Unanitafutia lawama...
Si unafungua vioo majirani waone uko na ndinga mpya.

Mkataba ukoje jirani.
Em niambie halafu nijipime, japo naamini siwezi shindwa
 
Si unafungua vioo majirani waone uko na ndinga mpya.

Mkataba ukoje jirani.
Em niambie halafu nijipime, japo naamini siwezi shindwa
Jirani twende baharini hapo na dera lako tuka discuss mkataba wa gari vizuri huku tukiwa kwenye maji, nakuahidi sitakuzamisha jirani...
 
Mpaka sasa hivi kwangu ni pakavu! hakuna aliyeni tag japo hata kukumbushia deni analonidai!

Acha kwanza nigeuze haya mahindi naona yanaungua upande mmoja tu.
 
Back
Top Bottom