Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,231
- 22,494
Hii pole imenipunguzia uchovu kabisa. Thanks😊Aah sawa. Pole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii pole imenipunguzia uchovu kabisa. Thanks😊Aah sawa. Pole
Hahaha ujue umeanza kushidikana! Hilo dogo sana lisikupe shida.Hayo ndo maneno Sasa maana juzi ulinipa ahadi hewa. Mpaka nikarudisha nanii kwenye ninii😊😊😊😊😊
Nakupendea tu hicho binti Kiziwi wangu🤣🤣🤣🤣Hahaha ujue umeanza kushidikana! Hilo dogo sana lisikupe shida.
Hahhha utani huo😁😁Hii pole imenipunguzia uchovu kabisa. Thanks😊
Nimecheka sana ulivyosema ni kiziwi ila vingine fresh! 🤣 bora nicheke maana sio kwa jua hili..Nakupendea tu hicho binti Kiziwi wangu🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ha ha ha ha ha ha. Si amemaliza lakini muende kwenye tafrija, mkafyonze asaliNimecheka sana ulivyosema ni kiziwi ila vingine fresh! 🤣 bora nicheke maana sio kwa jua hili..
Madam leo hauna kipindi nini?
Sisi wa uchumi wa "kati wa chini" tafrija haituhusu mkuu.😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ha ha ha ha ha ha. Si amemaliza lakini muende kwenye tafrija, mkafyonze asali
Kwa urefu wako, rangi yako, figure yako, uzuri wako na urembo wako I think you should have a very nice car... achana na mafuta ni mambo madogo...Nichagulie ambalo utaona litanifaa
Daaa. Basi itabidi tufanye namna vipatikane basi hata vya uchumi wa katiSisi wa uchumi wa "kati wa chini" tafrija haituhusu mkuu.
Chatting inasaidia kupumzisha akili kidogo!Hahhha utani huo😁😁
Ila sio mbaya sana. Take your time upumzike
Aya bana nakuja leo nimebanwa site na mafundi. Nimeanza kujenga kibanda changu maana nimepata mrembo wakunizalia ila kasema sharti niwe na kibanda changu.
Yah sure😊Chatting inasaidia kupumzisha akili kidogo!
Tatizo wewe upo mihangaikoni bado😊Yah sure😊
Tatizo wewe upo mihangaikoni bado😊
Mbona wewe upo diet...Tumbo linadai haliangalii mwisho wa mwezi
Me nataka niwe kipotable, nipunguze kitambiMbona wewe upo diet...