makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Ndio yeye.Kwani huyu ndio yule yule To yeye sijui mama wa nyuki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio yeye.Kwani huyu ndio yule yule To yeye sijui mama wa nyuki?
Ndio yeye.
Tungejaza huu uzi kwa kuchat mi na wewe tu😊Hahaha ya kwamba kama nisingekua mihangaikoni?😁
utakonda, ukose nguvu na ufe, alafu tukukose...Me nataka niwe kipotable, nipunguze kitambi
Nalamba glucose inanipa nguvuutakonda, ukose nguvu na ufe, alafu tukukose...
Hahahha embu tujaribu kujaza nioneTungejaza huu uzi kwa kuchat mi na wewe tu😊
Ngoja aje ajitetee mwenyewe...Hahaha hana hizo tabia
Achana na glucose lamba vingine...Nalamba glucose inanipa nguvu
Nilambe niniAchana na glucose lamba vingine...
HayaNgoja aje ajitetee mwenyewe...
Nipo hapa mkuu😊Nakaziaaa.
Umepata lunch tayari?Hahahha embu tujaribu kujaza nione
Bado ila i will take soonUmepata lunch tayari?
Nitakuambia, fungua pm...Nilambe nini
Huku fresh tu, tunatumia visima vyetu, maji si shida.Mzee mwenzangu kwema? Maji yapo huko kwenu au unaoga ya baharini?
Funguo ilipotea, niambie hapa hapaNitakuambia, fungua pm...