To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
- Thread starter
- #261
The Icebreaker unaulizwa huku mkuuYameisha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The Icebreaker unaulizwa huku mkuuYameisha?
😂😂😂Facebook,Facebook twitter imekuwa ndo ....wa kanisa la leoo,...eti wanachat 🎧 🎧 🎧 by Rose
Wakiwachukia nasi tutachukua bibi zetu 🏃Huo ujanja tu mtuchukulie babu zenu
😂😂Baba zetu si washalala mamaHuo ujanja tu mtuchukulie babu zenu
nauza mechi, wacha nifufue uzi wako ulambe za jioni jioniYeah,twende saw a....
Jambo miss
Tatizo mnapenda kubebwa mgongoniWakiwachukia nasi tutachukua bibi zetu 🏃
Nikopoa sana vipi wew mzimaJambo miss
Wala tu nitambeba atakayenivutia, hadi afurahieTatizo mnapenda kubebwa mgongoni
Vikongwe banaHuo ujanja tu mtuchukulie babu zenu
Mahindi yameisha Mkuu,nipo Bar najipongeza ili kesho tena nianze upya,maisha ni kuchagua uishi vipi na kila mtu na maisha yake,Yameisha?
☺️ ☺️Ya nyumbu? Ile tulia aisee
Nimesha mjibu.The Icebreaker unaulizwa huku mkuu
Babu zenu wanakitu wanapata mjukuuVikongwe bana
Piga vombo mkuuMahindi yameisha Mkuu,nipo Bar najipongeza ili kesho tena nianze upya,maisha ni kuchagua uishi vipi na kila mtu na maisha yake,
"Weitaaaa hebu lete nyingine, hujui kua hela zangu ndio mshahara wakooo"
Niko poa zaidi ya juzi na janaNikopoa sana vipi wew mzima
Ukimbeba unitumie pichaWala tu nitambeba atakayenivutia, hadi afurahie