Embu tuchat wawili wawili humu

Embu tuchat wawili wawili humu

Mahindi yameisha Mkuu,nipo Bar najipongeza ili kesho tena nianze upya,maisha ni kuchagua uishi vipi na kila mtu na maisha yake,

"Weitaaaa hebu lete nyingine, hujui kua hela zangu ndio mshahara wakooo"
Siyo vizuri,kwann hunialiki....mi ungeninunulia dompo moja tu nirudi nayo skani ninywe two days
 
Kama yupo unaeshibana nae humu iwe mpenz,au rafiki embu mtag muanze kuchat chochote hata mlichofanya Jana usiku ila nas tujifunze,ikiwa mliduu,au biashara au chimbo....

Nianze na hawa Criston Cole na harakati za siri endeleeni kuchat hapa.

Kuhusu Mimi ninao wengi ivo nitatag wengi mno ila naomba nianze na dronedrake
Madame B eb njoo tuchat mamy nakusud vby sanaaaa
 
Back
Top Bottom