George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Sema ukweli.
Baada ya Eminem kutoa diss track ya "Kill Shot", MGK alisema hawezi tena kumjibu Eminem.Kwani beef yake na MGK imeishia?
Hivi mnamjua Canibus ninyi.Baada ya Eminem kutoa diss track ya "Kill Shot", MGK alisema hawezi tena kumjibu Eminem.
Pia tangu diss track ya "Kill Shot" itoke, MGK amekuwa sio MGK yuleyule.
Career yake ya music inahitaji muujiza kufufuka.
Don't mess up with Slim Shady yoh.
2pac shakur unamuweka wapi?Eminem ndiye mwana Hip Hop bora kuwahi kutokea/kuwepo hapa duniani, sijui kuhusu sayari zingine.
kumchafua tu mtu overNaomba kuelezwa nini athari kwa msanii kwenye hizi dis,
Eminem anapata nini inapotokea ameshinda kwenye dis
Hawa kina Ashanti waliathirikaje??
Mashabiki wa muziki wanachukuliaje mambo ya dis wana influence gani,
Je ni kitu gani kinaimbwa hasa kwenye dis track na kinalenga nini??
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika moja ya namba zinazobaki ukitoa namba moja.
Ndio nani huyo?
COVID - 19 Ijiandae kupata kibano, jamaa akitokea Continental Hotel, nani atapata shavu la kupata zile Gold Coins as a Favour? πUmenifurahisha apo kumuua mbwa wa John wick View attachment 1419369
πππNgoja tuone kitakacho ikuta corona
huyu mwamba anapenda ugomvi kuliko kula πππCOVID - 19 Ijiandae kupata kibano, jamaa akitokea Continental Hotel, nani atapata shavu la kupata zile Gold Coins as a Favour? π