Eminem: Kiumbe ambacho wana hiphop wanaogopa kuwa na bifu naye, rap God

Eminem: Kiumbe ambacho wana hiphop wanaogopa kuwa na bifu naye, rap God

Nick Canon yeye huwa ni kutafuta attention tu, mbona alishaandaa show hadi ya University za marekani kushindana free style na Snoop

Tafuta freestyle za Snoop

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anabebwa na rangi yake ndio Mana uki mdis unapotea japo anajua pia
View attachment 1419347
Ndiye king of freestyles zinazomake sense na hajuna anaepinga, unashauriwa kuwa na dictionary pembeni maana nahisi anajua maneno yote, Ole wako!!Ole wako ujitie wenda wazimu uanzishe bifu na hiki kiumbe

Kumdisi eminem ni kama kumuua mbwa wa john wick, eminem na huyu bwana nahisi wana undugu maana wote wanateketeza kwa kalamu.

Yanni eminem kitendo cha kukujibu ukimdisi ni kama anakuchimia kaburi la career yako ujizike mwenyewe.

Huwezi kumdisi mtu ambaye tayari anajidiss, waliocheki 8 mile ya eminem nadhani mshanipata

Kina jarule wallijaribu wakateketea mazima, kina machine gun kelly nao wakunga tela, nick canon nahisi kaanza kutumia madawa maana sijui hata kapata hii confidence wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini asibebwe Pitbull?
Eminem habebwi na Rangi Bali Rangi yake inamfanya hao blacks wasimkubali Em kihivyo sababu wanaamini Rap in kwa blacks yaani ndo kitu chao wana bifu la asili ndo man Em hapati anachostahili.
Mi nilimsikiliza Eminem nikiwa neutral bila kujali Rangi nikakubali kweli ni Rap god huyu jamaa..
Amemfanya kitu kibaya sana Jay Z kwenye Renegade kiasi keamba Nas ana appreciate kwenye dis track yake to Jay Z inaitwa Ether anasema....Eminem killed in your own shit.
Kuhusu Em hatutamaliza Leo kumzungumzia.
 
jarule alipotezwa na bifu kati yake na 50 cent nadhnai ni at a tym 50 ametoa album yake ya kwanza get rich or die tryin


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom