Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa kulike na comments mnatuchafulia uziEminem ni noma kupitiliza [emoji119]
Sema alibug sana ile beef yake na mtoto wa kike Mariah Carey maana ilimnufaisha zaidi Mariah
Hah!
Eminem ndiye mwana Hip Hop bora kuwahi kutokea/kuwepo hapa duniani, sijui kuhusu sayari zingine.
Hebu nipe sababu za kumcredit Eminem kuliko Dre na ShakurNna uhakika hata 2Pac haingizi mguu kwa Eminem[emoji124][emoji124]
Hebu nipe sababu za kumcredit Eminem kuliko Dre na Shakur
Free style? Trick style?
M waiting
Sent using Jamii Forums mobile app
Kidogo Kendrick Lamar anaweza kujaribu kubattle na Slim Shady.Habari yako Kafiri!!
Na wewe unamkubali Eminem?
Kuliko hata Joyner Lucas? Kuliko hata Kendrick?
Live you life ft Rihanna🙌🙌Hapo kwenye misamiati migumu kwenye rap nampa T.I credit
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
View attachment 1419347
Ndiye king of freestyles zinazomake sense na hajuna anaepinga, unashauriwa kuwa na dictionary pembeni maana nahisi anajua maneno yote, Ole wako!!Ole wako ujitie wenda wazimu uanzishe bifu na hiki kiumbe
Kumdisi eminem ni kama kumuua mbwa wa john wick, eminem na huyu bwana nahisi wana undugu maana wote wanateketeza kwa kalamu.
Yanni eminem kitendo cha kukujibu ukimdisi ni kama anakuchimia kaburi la career yako ujizike mwenyewe.
Huwezi kumdisi mtu ambaye tayari anajidiss, waliocheki 8 mile ya eminem nadhani mshanipata
Kina jarule wallijaribu wakateketea mazima, kina machine gun kelly nao wakunga tela, nick canon nahisi kaanza kutumia madawa maana sijui hata kapata hii confidence wapi.
Sijakuelewa Mama KafiriHabari yako Kafiri!!
Na wewe unamkubali Eminem?
Kuliko hata Joyner Lucas? Kuliko hata Kendrick?
Kwanini asibebwe Pitbull?Anabebwa na rangi yake ndio Mana uki mdis unapotea japo anajua pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Eminem habebwi na Rangi Bali Rangi yake inamfanya hao blacks wasimkubali Em kihivyo sababu wanaamini Rap in kwa blacks yaani ndo kitu chao wana bifu la asili ndo man Em hapati anachostahili.Kwanini asibebwe Pitbull?