Kitambo sana, Sikiliza kill shot ya eminem anavyomzika huyo mgk
No! Kwenye album mpya ya Em - Music to Be Murdered By. Em kam-diss Mgk tena. Mgk naye akaja tena na Bullets with Names.Kwani beef yake na MGK imeishia?
Anachopata ni kuonyesha uhodari na umahili wa kuandika mashairi.Naomba kuelezwa nini athari kwa msanii kwenye hizi dis,
Eminem anapata nini inapotokea ameshinda kwenye dis
Hawa kina Ashanti waliathirikaje??
Mashabiki wa muziki wanachukuliaje mambo ya dis wana influence gani,
Je ni kitu gani kinaimbwa hasa kwenye dis track na kinalenga nini??
Sent using Jamii Forums mobile app
Real eyes, Realise,Real lies- 2pacNna uhakika hata 2Pac haingizi mguu kwa Eminem[emoji124][emoji124]
Kaa kimya hujui chochote
Hiyo hapo
Sawa mkuu ila Eminem[emoji119]
Hivi wadau marapper wa kizazi hiki mnawaelewa kweli?
Jamaa wanarap kama wanaimba Rnb ile michano iko wapi ya kina:-
Jay Z
Lil Wayne (carter 3)
busta
twister
big boy
bun B
camelionaire
Trick daddy
Juvenile
Siku hizi marapper wanachana style za kuimba ina maana game limechange hivyo?
Ngoja na me nikasikilize aiseeSina uhakika kwa hili aisee maana pac kajifia kitambo, kajifia wakati yupo kwenye peak, no one knows peak yake ingedumu kwa muda gani enzi za uhai wake, ni kama vile messi angekufa 2009 au 2011, ama pele angekufa 1963.
Kama vile eminem angekufa 2004/05 hivi tungekosa vingi mnooo.
Kwa mimi pac huwa namuweka mbele zaidi! Katika umri wa miaka 25 alikuwa kaishafanya mabala sijui angekuwa hai mpaka 41 hivi ingekuwaje.
Eminem namkubali tena namuelewa saana! Ila sijawahi fikiria kumshindanisha na pac kwa sababu zangu hapo juu.
Ngoja nikasikilize mockingbird kisha nisikilize untill the end of time, nigonge cleanin’ out my closet kisha nisikilize i aint mad at cha, nipige loose yourself kisha nimsikilize dear mama, nile utamu wa no love, ninogeshe na keap ya head up, niisikilize my name kisha nile utamu wa do for love , nisikilize stan na the real slim shady nimalizie na so many tears, me against the world.
Kwa leo itakuwa inatosha nitakuwa nimesikiliza muziki baada ya mida mrefu mnoo kupita.
Tatizo rap imekuwa mziki wa dunia na sio wa mtu mweusi ni biashara ya mabilioni duniani kama mpira vile ulivyochakachuliwa na wazungu.Hadi wachina wanarap unategemea nini?Kuna kipindi nilikuwa namuelewa lil wayne, kuna baadhi ya ngoma alikuwa anaandika mashairi mazuri, anaflow vizuri, sijui akakutana na tope gani akadumbukia huko, amekuwa hovyo hovyo! Weezy alimalizikia katika ile carter 4 kurudi nyuma, weezy wa drop the world, john n.k yule wa no love ya gwiji eminem, japo alikimbizwa lakini huchoki kuisikiliza verse yake, weezy wa kwenye miss me ya drake na nyingine kibao
Siku hizi hata mziki wenyewe si sikilizi, hawa marapa wapya unaweza kunitajia 10 na nisiambue hata mmoja, nikimisi kusikiliza mziki basi ujue ni ngoma za kitambo! Sana sana nahisi mziki nimeacha kusikliza kam 2012,13 ama 14
Hivi wadau marapper wa kizazi hiki mnawaelewa kweli?
Jamaa wanarap kama wanaimba Rnb ile michano iko wapi ya kina:-
Jay Z
Lil Wayne (carter 3)
busta
twister
big boy
bun B
camelionaire
Trick daddy
Juvenile
Siku hizi marapper wanachana style za kuimba ina maana game limechange hivyo?
Sent using Fly in any Weather.
Mkuu kubali tu ja rule alipotezwa na 50 sio Eminem maana ja aliwaambukiza mpaka wakina fat Joe akaunga na Rick ross mpka the game ..usimsahau na mkubwa jada ( kasikilize New York,https://jamii.app/JFUserGuide 50,mafia music rmx..n.k)...mpaka Sasa beef lipo japo kwa ja japo asikiki tena..Vuta stuli nikusimulie haya mambo kijana, Kina 50 walikuja kumalizia tu na kupukuta.
Ja rule na murder inc walianzisha bifu kwa kutoa diss track ya loose change kwa sababu hawakumpenda 50 na lawama wakawapa kina dre na eminem, ila walichokosea mwishoni mwa ngoma biti limeisha ila jarule anasikika akimdisi eminem mtoto wake atakuaje akiwa mkubwa akimdisi mama yake eminem ni teja na mke wake eminem ni malaya.
Eminem na kikundi chake cha d 12 wanajibu mapigo na "do rae me", maudhui ya humo yanamtikisa kweli kweli jarule na kina murder inc, na jarule hapa kaona kakosea sana kumdisi eminem, Mauzo yanapungua, career inashuka, na 50 anazidi kugongelea msumari kwa jarule.
Huyo jamaa kaimba wimbo gani tukasikilize boss?Hivo umeshawahi kumsikia mtu anaitwa "supernatural mc(freestyle father)"...huyu ni mwamba wa miamba ya freestyle off the dome alishagawahi kuvunja recodi kwenye Guinness World Records alikuwa anafreestyle chochote utakacho mwambia chochote kilicho mbele yake kwa muda wa masaa kumi bila kurudia mistari na kila anachospit kilikuwa kinaleta maana....kwa hiyo huyo Eminem unaemzungumzia kwa hili lijamaa usimuhesabu maana ni sawa na kumlinganisha van damme na kishoka....
Sent using Jamii Forums mobile app
jamani oneni huyu kamuweka Nay wa Mitego wa USA juu ya Eminem 👆Hakuna knachowapa wakat mgumu wadau wa hiphop kama linapokuja swala la “who is best rapper of all time”
Rappers wanatofautiana vtu vng kwenye; uhandishi,michano,midondoko(flows)...kutaja flan ni mkali kwa muda wote inawia vgumu
Eminem ni mkali kuanzia uhandishi,midondoko hadi mitindo huru ktu ambacho baadhi ya rapper nguli kabsa hawawez kabsa au hawapo vzur mfano 2pac though mimi ni shabik mkubwa sana wa Pac
kuna mtu kama common kwangu ndie mwandishi bora kabsa kuwahi kutokea kwenye hiphop, kuna mtu big small(notorious) linapokuja swala la midondoko(flows) hakuna anae thubutu kugusa moto wake (rip)
kama mtoa mada alivyona kwake Em ndiye rapper bora kwa muda wote ofcourse yupo sahihi...kwangu hawa ndo rappers bora kwa muda wote
1.Pac
2.Nas
3.Jay z
4.Em
5.Biggie
ni mtazamo tu, masela msjenge chuki[emoji1]
Ney wa mitego ni yupi hapa Pac or Jay? unaonekana hujui chochote kuhusu Hiphopjamani oneni huyu kamuweka Nay wa Mitego wa USA juu ya Eminem [emoji115]