Zinedine
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,187
- 694
Si kitu cha ajabu wala si kitu cha kawaida sana, lakini huwa kinatokea mara kadhaa. Binafsi kimewahi kunitokea mara nne (4); 2 hapo DIA, moja Nairobi (JKIA) na Oman-Muscat Int. Airport, ila presha yake si mchezo. Kwa Dar huwa inatokea sana ndege zinapotua south-north direction. Yaani zinapotua kutokea upande wa kusini wa uwanja (sijui kesi yako ilikuwa ikitua vipi siku hiyo). Na vilevile Dar Airport kuna kiupepo flani kikorofi sana.
Mbali na sababu walizozitoa wana JF ambazo nyingi ni possible reason, sababu nyingine ni missed direction. Ndege huwa haikati kona inapokuwa kwenye ground speed ya kutua, hivyo ni wajibu wa rubani kuhakikisha kwamba anaiweka kwenye straight line at the ground level wakati wa kutua. Kwani akiikosa itabidi afuate direction husika ambayo huenda ikamtoa kwenye lami na kumpeleka kwenye majani na hatimaye dhahama kutokea. Hivyo akigundua kwamba hayuko kwenye straight line hana budi kuruka tena na kuanza mzunguko mpya (Kumbuka rubani wanaona chini ya ndege, teknolojia ambayo imeshawekwa kwenye magari mengi hivi sasa). Na huenda mbali kidogo ili kuwaondoa abiria na presha waliyoipata wakati wa kuruka ghafla na kuruhusu logistic nyingine uwanjani kama hazijabadilika/kuanza upya. Ya Nairobi ambayo hii ilikuwa kitambo kidogo (six years ago) ilisababishwa na ukungu ambayo ilimkosesha rubani kuuona kwa usahihi huo 'straight line at the ground', hivyo naye alipaa tena na alienda kutua Mombasa.
Mbali na sababu walizozitoa wana JF ambazo nyingi ni possible reason, sababu nyingine ni missed direction. Ndege huwa haikati kona inapokuwa kwenye ground speed ya kutua, hivyo ni wajibu wa rubani kuhakikisha kwamba anaiweka kwenye straight line at the ground level wakati wa kutua. Kwani akiikosa itabidi afuate direction husika ambayo huenda ikamtoa kwenye lami na kumpeleka kwenye majani na hatimaye dhahama kutokea. Hivyo akigundua kwamba hayuko kwenye straight line hana budi kuruka tena na kuanza mzunguko mpya (Kumbuka rubani wanaona chini ya ndege, teknolojia ambayo imeshawekwa kwenye magari mengi hivi sasa). Na huenda mbali kidogo ili kuwaondoa abiria na presha waliyoipata wakati wa kuruka ghafla na kuruhusu logistic nyingine uwanjani kama hazijabadilika/kuanza upya. Ya Nairobi ambayo hii ilikuwa kitambo kidogo (six years ago) ilisababishwa na ukungu ambayo ilimkosesha rubani kuuona kwa usahihi huo 'straight line at the ground', hivyo naye alipaa tena na alienda kutua Mombasa.