Emirates yafanya maajabu uwanja wa ndege dar es salaam

Emirates yafanya maajabu uwanja wa ndege dar es salaam

Mimi nilipanda Quntas Boeing 747 Hongkong-Brisane kupitia Manila. Pale Manila ndege ikitua ilikanyaga runway na baadaye kupaa papo hapo! Tuliambiwa kulikuwa na foreign object 400 meters away na ikalazimisha kurudi hewani. Tulishuka baadaye after 2 hours
Ni kweli mkuu, mimi pale kwenye post yangu sikusema kwamba haiwezekani, inawezekana,lakini ni risk kubwa ajabu kufanya kitendo hicho! Shukuruni Mungu hiyo touch n' go ilifanikiwa. Inataka pilot awe na sababu very serious kucheza mchezo huo huku akiwa na abiria 250 au 300 onboard!

Pia nilisema kuwa makosa mengi kwenye ajali za ndege hutokea kwenye kitendo cha kutua au kunyanyuka pale kiwanjani, mojawapo ni condition ya namna hiyo. Inataka Pilot makini sana kuactivate harakaharaka tena ndege ambayo aliiandaa kwa kutua na kusimama.
Labda nisema kuwa mara nyingi sana ndege huwa zina'generate snags zikiwa hewani, lakini kutokana na ndege ilivyotengenezwa kwa umakini huwa zinaweza kutembea tu angani na snags hizo, hadi itakapotua, na ndipo baada ya hapo itadai matengenezo kwa lazima kwa kudisplay kwenye dashboard kuwa haiondoki hadi itengenezwe.

Sasa kwa ndege ambayo iligenerate snag ikiwa enroute, halafu pilot anatua, ghafla anaanza kupaa bila kumaliza cycle ya kutua, ujue anaandaa msala utakaotangazwa kwenye TVs za dunia nzima, na wauza magazeti watafanya biashara iliyotukuka!
 
Ni kweli mkuu, mimi pale kwenye post yangu sikusema kwamba haiwezekani, inawezekana,lakini ni risk kubwa ajabu kufanya kitendo hicho! Shukuruni Mungu hiyo touch n' go ilifanikiwa. Inataka pilot awe na sababu very serious kucheza mchezo huo huku akiwa na abiria 250 au 300 onboard!

Pia nilisema kuwa makosa mengi kwenye ajali za ndege hutokea kwenye kitendo cha kutua au kunyanyuka pale kiwanjani, mojawapo ni condition ya namna hiyo. Inataka Pilot makini sana kuactivate harakaharaka tena ndege ambayo aliiandaa kwa kutua na kusimama.
Labda nisema kuwa mara nyingi sana ndege huwa zina'generate snags zikiwa hewani, lakini kutokana na ndege ilivyotengenezwa kwa umakini huwa zinaweza kutembea tu angani na snags hizo, hadi itakapotua, na ndipo baada ya hapo itadai matengenezo kwa lazima kwa kudisplay kwenye dashboard kuwa haiondoki hadi itengenezwe.

Sasa kwa ndege ambayo iligenerate snag ikiwa enroute, halafu pilot anatua, ghafla anaanza kupaa bila kumaliza cycle ya kutua, ujue anaandaa msala utakaotangazwa kwenye TVs za dunia nzima, na wauza magazeti watafanya biashara iliyotukuka!

Mkuu PakaJimmy, asante sana kwa ufafanuzi huu! Napenda kusoma post za watu wenye uweledi na uelewa wa mambo kama wewe! I feel like I got something I never had!! Salute!!
 
Isije ikawa ni ile niloiona inahangaika nikajiuliza kunani...hili si suala la ushamba hata mimi ambaye nimeshasafiri sana hii sijawahi kuona...tumeelimika wengi...kwa kweli hata rubani angetoa maelezo yepi nisingemuamini...ningejua tunakaribia kuanguka. Huwa nilikuwa nafuatilia kipindi Fulani cha ajali za ndege..sina kumbukumbu kinaitwaje...nikagundua sharia za usalama huwa zinabadilika tokana na matukio ya hajali. Kuna ndege ilikuwa inaenda Canada kutoka nchi ya mbali sijuhi ilikuwa Japan au wapi...what I mean ni kuwa distance ilikuwa kubwa sana...rubani alitakiwa atue mahali aongeze mafuta; kwa kuwa alikuwa mzoefu na alitaka kuwahi familia yake akaamua kuruka moja kwa moja kwa kuwa alikuwa pia na uhakika mafuta yatatosha kwa root anayotumia...asikutane na hali mbaya ya hewa huko juu nini???? Alikuwa na option mbili apite sehemu ambayo amekatazwa mafuta yatoshe au azunguke ndege ianguke kwa kuishiwa mafuta...in short walikufa wote...na iliangukia kwao Canada...from that time ikawa ni sheria rubani hana say ya wapi atue au asitue...kama anatakiwa aongeze mafuta sehemu lazima atue.....................Kuna nyingine rubani alimpa mwanae ndege aendeshe...hii ilikuwa air France kama nakumbuka...ndege ikaanguka...basi toka siku hiyo rubani anayesafiri na familia haruhusiwi kuendesha ndege... marubani mtanisahihisha kama niko right...ni muda ila kipindi kilinivutia mpaka leo nakumbuka hayo kwa mbali....kinaelezea hajali popular zote na sababu ya hizo ajali.
 
Isije ikawa ni ile niloiona inahangaika nikajiuliza kunani...hili si suala la ushamba hata mimi ambaye nimeshasafiri sana hii sijawahi kuona...tumeelimika wengi...kwa kweli hata rubani angetoa maelezo yepi nisingemuamini...ningejua tunakaribia kuanguka. Huwa nilikuwa nafuatilia kipindi Fulani cha ajali za ndege..sina kumbukumbu kinaitwaje...nikagundua sharia za usalama huwa zinabadilika tokana na matukio ya hajali. Kuna ndege ilikuwa inaenda Canada kutoka nchi ya mbali sijuhi ilikuwa Japan au wapi...what I mean ni kuwa distance ilikuwa kubwa sana...rubani alitakiwa atue mahali aongeze mafuta; kwa kuwa alikuwa mzoefu na alitaka kuwahi familia yake akaamua kuruka moja kwa moja kwa kuwa alikuwa pia na uhakika mafuta yatatosha kwa root anayotumia...asikutane na hali mbaya ya hewa huko juu nini???? Alikuwa na option mbili apite sehemu ambayo amekatazwa mafuta yatoshe au azunguke ndege ianguke kwa kuishiwa mafuta...in short walikufa wote...na iliangukia kwao Canada...from that time ikawa ni sheria rubani hana say ya wapi atue au asitue...kama anatakiwa aongeze mafuta sehemu lazima atue.....................Kuna nyingine rubani alimpa mwanae ndege aendeshe...hii ilikuwa air France kama nakumbuka...ndege ikaanguka...basi toka siku hiyo rubani anayesafiri na familia haruhusiwi kuendesha ndege... marubani mtanisahihisha kama niko right...ni muda ila kipindi kilinivutia mpaka leo nakumbuka hayo kwa mbali....kinaelezea hajali popular zote na sababu ya hizo ajali.

Asante mkuu, ila sio hajali nu ajali
 
wakati mwingine ma-copilot au wanafunzi hupewa mafunzo ya touch and go hasa kama wasafiri hamkupewa sababu ujue kuna rubani anatake xpirienc na taarifa ishafika muda mrefu vyombo husika vya usafiri wa anga.
 
Mi ilishawahi kutokea wakati tupo kwenye ABOOD tunaelekea MORO ile kufika MSAMVU dereva akanyoosha njia ya DODOMA kuuliza Konda anadai pale STENDI noma kuna TRAFFIC waliyemkimbia asubuhi.

duh umetisha
 
wakati mwingine ma-copilot au wanafunzi hupewa mafunzo ya touch and go hasa kama wasafiri hamkupewa sababu ujue kuna rubani anatake xpirienc na taarifa ishafika muda mrefu vyombo husika vya usafiri wa anga.
Hakuna kitu kama hicho!
Huwezi kufanya touch and go ukiwa na passengers!...abiria wanahusikaje na mafunzo ya Pilot?
Unajua gharama ya insurance ya abiria mmoja?
Acha mzaha ndugu!
 
Above 40,000 rpm @ 45 Degree Air Turbine can Fly .........
 
Ni kweli mkuu, mimi pale kwenye post yangu sikusema kwamba haiwezekani, inawezekana,lakini ni risk kubwa ajabu kufanya kitendo hicho! Shukuruni Mungu hiyo touch n' go ilifanikiwa. Inataka pilot awe na sababu very serious kucheza mchezo huo huku akiwa na abiria 250 au 300 onboard!

Pia nilisema kuwa makosa mengi kwenye ajali za ndege hutokea kwenye kitendo cha kutua au kunyanyuka pale kiwanjani, mojawapo ni condition ya namna hiyo. Inataka Pilot makini sana kuactivate harakaharaka tena ndege ambayo aliiandaa kwa kutua na kusimama.
Labda nisema kuwa mara nyingi sana ndege huwa zina'generate snags zikiwa hewani, lakini kutokana na ndege ilivyotengenezwa kwa umakini huwa zinaweza kutembea tu angani na snags hizo, hadi itakapotua, na ndipo baada ya hapo itadai matengenezo kwa lazima kwa kudisplay kwenye dashboard kuwa haiondoki hadi itengenezwe.

Sasa kwa ndege ambayo iligenerate snag ikiwa enroute, halafu pilot anatua, ghafla anaanza kupaa bila kumaliza cycle ya kutua, ujue anaandaa msala utakaotangazwa kwenye TVs za dunia nzima, na wauza magazeti watafanya biashara iliyotukuka!

Hao Pilots wako experienced sana, nina imani kitendo hicho ni cha kitaaluma zaidi na walifanya hivyo kwa sababu za kiusalama tu!
 
Mi ilishawahi kutokea wakati tupo kwenye ABOOD tunaelekea MORO ile kufika MSAMVU dereva akanyoosha njia ya DODOMA kuuliza Konda anadai pale STENDI noma kuna TRAFFIC waliyemkimbia asubuhi.

Ha ha ha ha ha ha ha ha!
 
Isije ikawa ni ile niloiona inahangaika nikajiuliza kunani...hili si suala la ushamba hata mimi ambaye nimeshasafiri sana hii sijawahi kuona...tumeelimika wengi...kwa kweli hata rubani angetoa maelezo yepi nisingemuamini...ningejua tunakaribia kuanguka. Huwa nilikuwa nafuatilia kipindi Fulani cha ajali za ndege..sina kumbukumbu kinaitwaje...nikagundua sharia za usalama huwa zinabadilika tokana na matukio ya hajali. Kuna ndege ilikuwa inaenda Canada kutoka nchi ya mbali sijuhi ilikuwa Japan au wapi...what I mean ni kuwa distance ilikuwa kubwa sana...rubani alitakiwa atue mahali aongeze mafuta; kwa kuwa alikuwa mzoefu na alitaka kuwahi familia yake akaamua kuruka moja kwa moja kwa kuwa alikuwa pia na uhakika mafuta yatatosha kwa root anayotumia...asikutane na hali mbaya ya hewa huko juu nini???? Alikuwa na option mbili apite sehemu ambayo amekatazwa mafuta yatoshe au azunguke ndege ianguke kwa kuishiwa mafuta...in short walikufa wote...na iliangukia kwao Canada...from that time ikawa ni sheria rubani hana say ya wapi atue au asitue...kama anatakiwa aongeze mafuta sehemu lazima atue.....................Kuna nyingine rubani alimpa mwanae ndege aendeshe...hii ilikuwa air France kama nakumbuka...ndege ikaanguka...basi toka siku hiyo rubani anayesafiri na familia haruhusiwi kuendesha ndege... marubani mtanisahihisha kama niko right...ni muda ila kipindi kilinivutia mpaka leo nakumbuka hayo kwa mbali....kinaelezea hajali popular zote na sababu ya hizo ajali.

Nadhani ni kipindi cha AIR CRUSH INVESTIGATION, mara nyingi huonyeshwa kwenye chanel ya nationa geographic
 
Ni chenyewe kabisa...sikuwa nakumbuka jina kwa sababu nilikuwa nakiangalia bahati mbaya. Lol....kilikuwa kinanikuta home next to TV najikuta nakiangalia ....with time nikawa interested
Nadhani ni kipindi cha AIR CRUSH INVESTIGATION, mara nyingi huonyeshwa kwenye chanel ya nationa geographic
 
Isije ikawa ni ile niloiona inahangaika nikajiuliza kunani...hili si suala la ushamba hata mimi ambaye nimeshasafiri sana hii sijawahi kuona...tumeelimika wengi...kwa kweli hata rubani angetoa maelezo yepi nisingemuamini...ningejua tunakaribia kuanguka. Huwa nilikuwa nafuatilia kipindi Fulani cha ajali za ndege..sina kumbukumbu kinaitwaje...nikagundua sharia za usalama huwa zinabadilika tokana na matukio ya hajali. Kuna ndege ilikuwa inaenda Canada kutoka nchi ya mbali sijuhi ilikuwa Japan au wapi...what I mean ni kuwa distance ilikuwa kubwa sana...rubani alitakiwa atue mahali aongeze mafuta; kwa kuwa alikuwa mzoefu na alitaka kuwahi familia yake akaamua kuruka moja kwa moja kwa kuwa alikuwa pia na uhakika mafuta yatatosha kwa root anayotumia...asikutane na hali mbaya ya hewa huko juu nini???? Alikuwa na option mbili apite sehemu ambayo amekatazwa mafuta yatoshe au azunguke ndege ianguke kwa kuishiwa mafuta...in short walikufa wote...na iliangukia kwao Canada...from that time ikawa ni sheria rubani hana say ya wapi atue au asitue...kama anatakiwa aongeze mafuta sehemu lazima atue.....................Kuna nyingine rubani alimpa mwanae ndege aendeshe...hii ilikuwa air France kama nakumbuka...ndege ikaanguka...basi toka siku hiyo rubani anayesafiri na familia haruhusiwi kuendesha ndege... marubani mtanisahihisha kama niko right...ni muda ila kipindi kilinivutia mpaka leo nakumbuka hayo kwa mbali....kinaelezea hajali popular zote na sababu ya hizo ajali.
Mkuu,
Umenifurahisha sana!
Ulichoongea ni sahihi kabisa, na mifano yote miwili uliyoona kwenye hiyo program ya TV ni sahihi kabisa!.
Kwa kawaida kila tukio la ajali inayohusisha ndege huwa ni darasa kubwa sana kwa sekta nzima ya Aviation.
Kawaida mwenendo wa safari nzima ya ndege huwa inarekodiwa, ikiwa ni pamoja na mawasiliano anayofanya rubani na waongoza ndege wa maeneo mbalimbali anayopita. Hii inakuja kusaidia sana endapo ajali inatokea, maana itarahisisha kazi ya wachunguzi wa ajali, na huwa ripoti za ajali zote zinazotokea zinasambazwa kwa wadau wote ili wajifunze, lakini pia sheria kadha zinabadilishwa ili ku'suite hali isijirudie.

Mfano mwingine ni lile tukio la September 11th , ambapo lilisababisha mabadiliko makubwa sana ya sheria za Aviation Security za dunia nzima! Ni baada ya tukio hilo ndipo ukaguzi intensive wa abiria viwanjani ulipoanza.

Amerika iliamua kusupply mashine za kukagulia abiria na mizigo bure kwa nchi nyingi kabisa ikiwemo Tanzania, ili kuwezesha kuondoa au kupunguza matukio ya abiria kusafiri na silaha.

Sambaba na hilo walianzisha fund maalum kwaajili ya mafunzo kwa Security Staff kwa nchi zote member wa ICAO, ambapo hadi leo watu wanapiga semina za now and then viwanjani, na wanajenga majumba na fedha hizo hizo.Kwa kweli sekta ya aviation wako makini vibaya mno linapokuja suala la specs na standards.

 
Pia emergncy landing inasababisha ndege ya kwanza iliopewa ruhusa ku tua ikapewa amri ya kurruka tena ili kuipisha ndege nyengne kutua ilio request may day

Mhhhh may day.....

Ya wafanyakaz? Lugha za watu bhana,
May day kwa watu wa Aviation au Maritime ni Distress Call or Signal.

Rubani anapotransmit Mayday ni kwamba ni maneno yanayoonyesha kuwa CHOMBO AU watu walio katika chombo iwe ndege au meli wako katika hali ya hatari kabisa ya kupoteza maisha, na hivyo wanahitaji msaada wa mwisho na wa haraka kabiosa!...

Mkiwa kiwanjani na mkaambiwa na Control Tower kwamba kuna muito wa Mayday, basi shughuli zingine zote zinasimama, na ndege zote zilizokuwa zije hapo zinakuwa diverted kwenda sehemu zingine ili kuandaa mazingira ya kupokea dharula!

Kwa ufupi ni Neno ambalo kila mfanyakazi wa Viwanjani au kwenye Meli asingependa kulisikia 'LIVE' hadi anapostaafu kazi!

Kuna distress signals nyingine nyingi kama vile S.O.S (Save Our Souls)etc, ambazo zikiwa transmitted na chombo chenye madhila, basi vyombo vingine vyote vya jirani vinanapokea msg hiyo na kuweza kutoa msaada unaowezekana!
 
Acha uwongo wako wewe, hahahahaaaa! Air traffic controller ndio anaetoa wind direction ambayo imepimwa na ofisi ya mamlaka ya Hali ya hewa dakika chache kabla ya ndege kutua. Pia air traffic controller ndio anaemshauri rubani atue kwa njia ipi kulingana na upepo aliomtajia.
Sababu za ku overshoot kwa ndege ni Kama rubani ameona runway si salama kutua,Kama moja ya landing procedure haikukamilika,Kama rubani ameamriwa na aircraft controller ku overshoot,Hali ya hewa,misaproach.hivyo rubani wa ndege husika ndiye anayejua sababu ni ipi ya kufanya overshoot.
 
Ninachojiambiaga siku zote na kujipa moyo ni kuwa hakuna usafiri salama duniani kama wa ndege...watu wame invest sana kwenye research kwa kweli...

Ni hiki kipindi ndio kilinipa huo ukweli kuwa kwa dakika ni ndege nyingi sana zinaruka; lakini ajali sio nyingi ukilinganisha na namba ya safari...


Afu kumbe ndege haichakai (kama used cars); wanabadili engine na vifaa tu...ni kweli?


Mkuu,
Umenifurahisha sana!
Ulichoongea ni sahihi kabisa, na mifano yote miwili uliyoona kwenye hiyo program ya TV ni sahihi kabisa!.
Kwa kawaida kila tukio la ajali inayohusisha ndege huwa ni darasa kubwa sana kwa sekta nzima ya Aviation.
Kawaida mwenendo wa safari nzima ya ndege huwa inarekodiwa, ikiwa ni pamoja na mawasiliano anayofanya rubani na waongoza ndege wa maeneo mbalimbali anayopita. Hii inakuja kusaidia sana endapo ajali inatokea, maana itarahisisha kazi ya wachunguzi wa ajali, na huwa ripoti za ajali zote zinazotokea zinasambazwa kwa wadau wote ili wajifunze, lakini pia sheria kadha zinabadilishwa ili ku'suite hali isijirudie.

Mfano mwingine ni lile tukio la September 11th , ambapo lilisababisha mabadiliko makubwa sana ya sheria za Aviation Security za dunia nzima! Ni baada ya tukio hilo ndipo ukaguzi intensive wa abiria viwanjani ulipoanza.

Amerika iliamua kusupply mashine za kukagulia abiria na mizigo bure kwa nchi nyingi kabisa ikiwemo Tanzania, ili kuwezesha kuondoa au kupunguza matukio ya abiria kusafiri na silaha.

Sambaba na hilo walianzisha fund maalum kwaajili ya mafunzo kwa Security Staff kwa nchi zote member wa ICAO, ambapo hadi leo watu wanapiga semina za now and then viwanjani, na wanajenga majumba na fedha hizo hizo.Kwa kweli sekta ya aviation wako makini vibaya mno linapokuja suala la specs na standards.

 
Back
Top Bottom