Emirates yafanya maajabu uwanja wa ndege dar es salaam

Emirates yafanya maajabu uwanja wa ndege dar es salaam

Isije ikawa ni ile niloiona inahangaika nikajiuliza kunani...hili si suala la ushamba hata mimi ambaye nimeshasafiri sana hii sijawahi kuona...tumeelimika wengi...kwa kweli hata rubani angetoa maelezo yepi nisingemuamini...ningejua tunakaribia kuanguka. Huwa nilikuwa nafuatilia kipindi Fulani cha ajali za ndege..sina kumbukumbu kinaitwaje...nikagundua sharia za usalama huwa zinabadilika tokana na matukio ya hajali. Kuna ndege ilikuwa inaenda Canada kutoka nchi ya mbali sijuhi ilikuwa Japan au wapi...what I mean ni kuwa distance ilikuwa kubwa sana...rubani alitakiwa atue mahali aongeze mafuta; kwa kuwa alikuwa mzoefu na alitaka kuwahi familia yake akaamua kuruka moja kwa moja kwa kuwa alikuwa pia na uhakika mafuta yatatosha kwa root anayotumia...asikutane na hali mbaya ya hewa huko juu nini???? Alikuwa na option mbili apite sehemu ambayo amekatazwa mafuta yatoshe au azunguke ndege ianguke kwa kuishiwa mafuta...in short walikufa wote...na iliangukia kwao Canada...from that time ikawa ni sheria rubani hana say ya wapi atue au asitue...kama anatakiwa aongeze mafuta sehemu lazima atue.....................Kuna nyingine rubani alimpa mwanae ndege aendeshe...hii ilikuwa air France kama nakumbuka...ndege ikaanguka...basi toka siku hiyo rubani anayesafiri na familia haruhusiwi kuendesha ndege... marubani mtanisahihisha kama niko right...ni muda ila kipindi kilinivutia mpaka leo nakumbuka hayo kwa mbali....kinaelezea hajali popular zote na sababu ya hizo ajali.

Ni Air Crash Investigation cha National Geographic. Pia Discovery Channel na wao wana kipindi cha ajali za ndege na uchunguzi.
 
Ninachojiambiaga siku zote na kujipa moyo ni kuwa hakuna usafiri salama duniani kama wa ndege...watu wame invest sana kwenye research kwa kweli...

Ni hiki kipindi ndio kilinipa huo ukweli kuwa kwa dakika ni ndege nyingi sana zinaruka; lakini ajali sio nyingi ukilinganisha na namba ya safari...


Afu kumbe ndege haichakai (kama used cars); wanabadili engine na vifaa tu...ni kweli?

Katika kipindi hicho cha Air Crash Investigation kuna siku nilikoma kuwa body ya ndege huwa inachoka, wanaita metal fatigue, kutokana na kuruka na kutua, stress ya hapo huwa inachosha body. Kuna ndege moja sehemu ya roof ilifumuka nadhani ni huko Hawaii na mhudumu mmoja wa kike alitupwa nje na kufa. Ila Kingine nilichojifunza baada ya tukio Hilo ukawa utaratibu kukagua ndege kwa kile square inch kuona kama kuna dalili zozote zile za metal fatigue. Fikiria kukagua dude kama A380!
 
Aaaaah duh humu kiboko ya vibok aiseeh,dah iv watu wanapatag wap hay majibu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
acheni ushamba wenu kwani ndege kutua na kupaa kuna ajabu gani ?mbona gari inasimama na kuondoka ?
 
Naskia marubani wa hapo jirani kq wanalewa kwanza mpk muda wa kurusha ndege.wakiambiwa wanadai we acha usilalamike utafika muda uliopangwa.ni kwamba pilot anachelewa nusu saa au zaidi akichomoa ndege anaipepeza km mabasi Akamba express na anafika muda ule ule uliopangwa au anawahi
Chanzo:niliisoma humu Jf
 
Landing programme ilikuwa haijakamilika rubani akaamua kurudi hewani kuicommand upya.ndege za kisasa ni semiautomatic rubani anacheza na kompyuta siyo manual kama za zamani nawaonea wivu marubani hawahitaji kuchezea video game kazi yao ni video game tosha.
 
Maelezo ya kitaalamu nikuwa rubanaliamua ku - "Arbort landing", Hii ni kawaida kutokea iwapo rubani amechelewa kushusha ndege na kusababisha runway kuwa fupi, ana Arbort kuzuia kitu kinachoitwa "runway overshoot" Angetua kuna kunauwezekano ndege ingepitiliza na kusimama nje ya uwanja. Ndio maana viwanja vya kimataifa mwisho wa uwanja kuna sehemu yenye mchanga ili rubani akishindwa ku Arbort ndege iweze kutitia mchangani.
 
Back
Top Bottom